I am not motivated on gaining materials which I don’t think I have worked hard to gain them.
Nor being given positions which I don’t, I earned on merit.
There was something na malezi ys Arusha School ya miaka yetu, alichosema Mange ndio uhalisia wa wengi wetu, hatuko comfortable na kupewa vitu ambavyo atujapigania.
Personal imefikia hatua, vigogo wakubwa wa usalama wanataka nirudi.
Siamini kwenye mafanikio ya kupewa, isipokuwa ya kuyapigania. Na tafsiri yangu ya mafanikio na mtu kama Lugumi ni tofauti sana.