Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 15,692
- 23,038
Mkuu, civil service ilikuwepo awamu ya kwanza na baadae awamu ya pili na baada ya hapo hakuna kitu.You, I and other reasonable people, the puzzle to how Samia got there it’s obvious. Mainly due to poor CCM.
Bado ujauweka wazimu wa ‘civil
services’ wanaoruhusu promotion ya huyu mama. Hawa watu wanakaa nae kwenye vikao.
Sasa unadhani hawaoni uwezo wake mdogo.
Nisamehe mkubwa, I got better things to amuse my mind for now. Nikikuta mada ipo nitashiriki.
Hila hawa watu lazima waambiwe, ukweli Samia ni zero; huo ndio ukweli wenyewe hana analolijijua.
👋👋👋
Hatuna Civil Servants wanotambulika wala special advisers.
Mambo ya kuivugura Tanganyika yamefanywa deliberately.