LGE2024 Mimi na familia yangu tumeshajiandikisha kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Mimi na family yangu tunajiandikisha ili kupata vitambulisho tuuu,Mambo ya uchaguzi,daaa
 
Unafikiri huu uchaguz utakuwa na haki 😄

Ova
 
Nimekuwa nikiunga mkono Hoja zako nyingi sana ambazo umekuwa ukizileta hapa jukwaani ambazo kwa hakika huwa zinagusa Moja kwa Moja maslahi mapana zaidi ya umma. Lakini kwa Hoja yako hii ya leo nasikitika Sana kukujulisha ya kwamba kamwe sitaiunga mkono.
Kwa mtu mwenye akili timamu sawa sawa kabisa, LAZIMA atakubaliana na Ukweli kwamba sanduku la kura kwa hapa Tanzania linafaa kupuuzwa kabisa kwa ujumla wake.
Hakuna Uchaguzi wa Siasa hapa Tanzania, hizo ni ghiriba na geresha tu ili kuwazuga Wananchi, ni maigizo ya wanasiasa wenye hila kwa nia ovu ya kuhujumu haki za raia. I can't waste my time to participate in a such idiotic event.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…