Mimi na Mchumba wangu tumeamua kumchuna huyu Mbunge. Atakoma safari hii kaingia choo cha kike

Atakuja kukula wewe na huyo mchumba wako. Acha kupenda vya bure na Kama huna hela ujue tu huyo demu wako ataliwa tu na huyo mbunge. Tafuta hela acha kudanga kwa kupitia mpenzi wako. Hivi unqjiskiaje kula hela alio toa mwanamume mwenzio.!?
 

Kwa hiyo wewe na mchumba mma danga? Wanaume wengine n wa hovyo sana, unafikiri mwish wa hayo mambo ni mzuri?
 
Kwa hiyo wewe na mchumba mma danga? Wanaume wengine n wa hovyo sana, unafikiri mwish wa hayo mambo ni mzuri?
Mbona umetumia maneno ya kuudhi nami sijawahi kukutukana hata chembe?
 
Atakuja kukula wewe na huyo mchumba wako. Acha kupenda vya bure na Kama huna hela ujue tu huyo demu wako ataliwa tu na huyo mbunge. Tafuta hela acha kudanga kwa kupitia mpenzi wako. Hivi unqjiskiaje kula hela alio toa mwanamume mwenzio.!?
Wewe bwege sana. Yaani unadhani yeye anavyomtongoza sababu mimi nampendezesha natumia nini?mimi nimewekeza we fala. Acha nami nile pesa zake. Kuliko akaja kumla bure tu.
 
sasa wewe ndio huna akili si atasoma huu uzi na atakata kila kitu ungekaa kimya ili mle vingi
 
Hiyo kitendo si sawa kwako na huyo mwanamke mnafanya
 
Kwenye rangi ya ule upinde, imeongezeka rangi moja ikiitwa Danga la kiume
 
Ndio maana nimeshangaa leo umenitumia 200,000 bila sababu kumbe umedanga kwa mbunge??? Na unatufanya mimi na mwanao tule hela ya kudanga kweli??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Utakuja kupakiwa mkongo harafu ndo utatuliwe malinda bila zutu, Qmmake pesa ya mwanaume hailiwi kizembe
 
Atakuja kukula wewe na huyo mchumba wako. Acha kupenda vya bure na Kama huna hela ujue tu huyo demu wako ataliwa tu na huyo mbunge. Tafuta hela acha kudanga kwa kupitia mpenzi wako. Hivi unqjiskiaje kula hela alio toa mwanamume mwenzio.!?
Kwani pesa huwa zinatolewa na wanawake? We bwege sana. Pesa miaka yote watoaji ni wanaume ndo maana tunazotumia sababu tunabadilishana. Wewe unaliwa bure na mkeo analiwa bure si afadhali mimi nimejiongeza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…