blastus mwakimonya
Member
- Dec 11, 2015
- 62
- 127
Nliwaambia mchumba wangu yupo Dodoma kahamia Dar. Kumbe kuna mbunge bwege alikuwa anamfukuzia. Sasa anaandika msg anasikitika kuwa yaani ndo amekosa K hivi hivi..
Mi nliona mchumba anachat nikamwambia anipe simu yake nione anachat na nani. Akataka kukataa maana alikuwa anaona naweza enda mpasua matumbo huyo mtu. Ndo nikalazimisha simu.
Sasa nachat na mbunge nimemwambia atume tsh 500,000 katuma aisee... Kumbe wabunge wana pesa ya mchezo sana..nimemwambia my wife to be hapo yeye namwamchia 100,000 ya voucher mi nachukua 400,000.
Nimemwambia Mbunge anitumie na Iphone mpya kasema nimpe siku mbili atatuma. Hapo anajua anachat na mchumba. yaani bwege sana huyu mbunge. Hivi hawa ndo wanatunga sheria kweli? Daaah ndo maana sheria nyingine ni mbovu.
Nawashauri wanaume tafute mademu wakali mnaweza kuwa mnapata pesa kirahisi tu. Nimemwambia wife asimpoteze huyu mbunge tupige pesa zake.
Mbona umetumia maneno ya kuudhi nami sijawahi kukutukana hata chembe?Kwa hiyo wewe na mchumba mma danga? Wanaume wengine n wa hovyo sana, unafikiri mwish wa hayo mambo ni mzuri?
Wewe bwege sana. Yaani unadhani yeye anavyomtongoza sababu mimi nampendezesha natumia nini?mimi nimewekeza we fala. Acha nami nile pesa zake. Kuliko akaja kumla bure tu.Atakuja kukula wewe na huyo mchumba wako. Acha kupenda vya bure na Kama huna hela ujue tu huyo demu wako ataliwa tu na huyo mbunge. Tafuta hela acha kudanga kwa kupitia mpenzi wako. Hivi unqjiskiaje kula hela alio toa mwanamume mwenzio.!?
sasa wewe ndio huna akili si atasoma huu uzi na atakata kila kitu ungekaa kimya ili mle vingiNliwaambia mchumba wangu yupo Dodoma kahamia Dar. Kumbe kuna mbunge bwege alikuwa anamfukuzia. Sasa anaandika msg anasikitika kuwa yaani ndo amekosa K hivi hivi..
Mi nliona mchumba anachat nikamwambia anipe simu yake nione anachat na nani. Akataka kukataa maana alikuwa anaona naweza enda mpasua matumbo huyo mtu. Ndo nikalazimisha simu.
Sasa nachat na mbunge nimemwambia atume tsh 500,000 katuma aisee... Kumbe wabunge wana pesa ya mchezo sana..nimemwambia my wife to be hapo yeye namwamchia 100,000 ya voucher mi nachukua 400,000.
Nimemwambia Mbunge anitumie na Iphone mpya kasema nimpe siku mbili atatuma. Hapo anajua anachat na mchumba. yaani bwege sana huyu mbunge. Hivi hawa ndo wanatunga sheria kweli? Daaah ndo maana sheria nyingine ni mbovu.
Nawashauri wanaume tafute mademu wakali mnaweza kuwa mnapata pesa kirahisi tu. Nimemwambia wife asimpoteze huyu mbunge tupige pesa zake.
Ni bora nami nirudishe pesa zangu. Unaweza jifanya eti we mgumu halafu demu wako akawa analiwa hupati kitu. Mi nimewekeza pia kwa huyu demu.
Umecoment Kwa hisia kweli yaniUnadanga ujue
Mwezi ulikuwa mbaya.... Watu hawanipendi. Humu duniani watu wana wivu. Wanaweza kukuroga sababu tu unavutia.
😂😂 Kwahiyo atamzunguka!!Soon atanogewa huyo. Atampindua demu wake kwa huyo mbunge
Hiyo kitendo si sawa kwako na huyo mwanamke mnafanyaNliwaambia mchumba wangu yupo Dodoma kahamia Dar. Kumbe kuna mbunge bwege alikuwa anamfukuzia. Sasa anaandika msg anasikitika kuwa yaani ndo amekosa K hivi hivi..
Mi nliona mchumba anachat nikamwambia anipe simu yake nione anachat na nani. Akataka kukataa maana alikuwa anaona naweza enda mpasua matumbo huyo mtu. Ndo nikalazimisha simu.
Sasa nachat na mbunge nimemwambia atume tsh 500,000 katuma aisee... Kumbe wabunge wana pesa ya mchezo sana..nimemwambia my wife to be hapo yeye namwamchia 100,000 ya voucher mi nachukua 400,000.
Nimemwambia Mbunge anitumie na Iphone mpya kasema nimpe siku mbili atatuma. Hapo anajua anachat na mchumba. yaani bwege sana huyu mbunge. Hivi hawa ndo wanatunga sheria kweli? Daaah ndo maana sheria nyingine ni mbovu.
Nawashauri wanaume tafute mademu wakali mnaweza kuwa mnapata pesa kirahisi tu. Nimemwambia wife asimpoteze huyu mbunge tupige pesa zake.
Ni bora nami nirudishe pesa zangu. Unaweza jifanya eti we mgumu halafu demu wako akawa analiwa hupati kitu. Mi nimewekeza pia kwa huyu demu.
Wote wawili ni mbogaHiyo kitendo si sawa kwako na huyo mwanamke mnafanya
trudie njoo ujitetee hapa mpendwaLa huyu manzi ndo linayumba. Akigongwa anatangaza JF nzima na kashfa juu...mi huwa simwelewi kabisa. Alishaniponda sana humu. Na kuna jamaa nahisi nashare naye
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tamaa ndogo ndogo kama hizi, adhabu yataenda kupata marinda yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ajiandae aanze tembea na mafuta atafute yanayomfaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio maana nimeshangaa leo umenitumia 200,000 bila sababu kumbe umedanga kwa mbunge??? Na unatufanya mimi na mwanao tule hela ya kudanga kweli??
Hayupo humu. Hayupo JFsasa wewe ndio huna akili si atasoma huu uzi na atakata kila kitu ungekaa kimya ili mle vingi
Kwani pesa huwa zinatolewa na wanawake? We bwege sana. Pesa miaka yote watoaji ni wanaume ndo maana tunazotumia sababu tunabadilishana. Wewe unaliwa bure na mkeo analiwa bure si afadhali mimi nimejiongeza?Atakuja kukula wewe na huyo mchumba wako. Acha kupenda vya bure na Kama huna hela ujue tu huyo demu wako ataliwa tu na huyo mbunge. Tafuta hela acha kudanga kwa kupitia mpenzi wako. Hivi unqjiskiaje kula hela alio toa mwanamume mwenzio.!?