Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Kabisa. Yeye ndio atakuwa anasikilizia ta ta ta π π π πSio shida zetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa. Yeye ndio atakuwa anasikilizia ta ta ta π π π πSio shida zetu
Kwa raha zakeKabisa. Yeye ndio atakuwa anasikilizia ta ta ta π π π π
Sema hiyo ta ta ta inanichekesha, sijui hata ulifikiria Nini π π πKwa raha zake
Nilishaitoa mapema huyu kawaida yake kuridisha muamala halafu anasema ameikopa atailipa. Namjua vizuriShemeji trudie katoa hiyo hela kabisa, maana mumeo Chizi Maarifa dishi lake halielewekagi
We ukienda huko sikilizia inavyolia πSema hiyo ta ta ta inanichekesha, sijui hata ulifikiria Nini π π π
π π π Nikienda wapi?We ukienda huko sikilizia inavyolia π
Serious Hebu fungeni ndoa, Mimi nitakuwa kamati ya chakulaπ trudie, na Chizi MaarifaNilishaitoa mapema huyu kawaida yake kuridisha muamala halafu anasema ameikopa atailipa. Namjua vizuri
Siku atakapotaka umpe vitu sijui utasemaje. Wote watatu mnachezeana. Mpaka wanachati hujui wameishapeana nini na kwa muda gani. Kama unaweza kumfanyia biashara your wife to be it is too bad. Watafanya kweli halafu unaanza kuja hapa unalialia. Kama naye anapenda pesa ya dezo kama wewe, lazima atanunuliwa hata kukuuza wewe kama unavyomuuza mwananguNliwaambia mchumba wangu yupo Dodoma kahamia Dar. Kumbe kuna mbunge bwege alikuwa anamfukuzia. Sasa anaandika msg anasikitika kuwa yaani ndo amekosa K hivi hivi..
Mi nliona mchumba anachat nikamwambia anipe simu yake nione anachat na nani. Akataka kukataa maana alikuwa anaona naweza enda mpasua matumbo huyo mtu. Ndo nikalazimisha simu.
Sasa nachat na mbunge nimemwambia atume tsh 500,000 katuma aisee... Kumbe wabunge wana pesa ya mchezo sana..nimemwambia my wife to be hapo yeye namwamchia 100,000 ya voucher mi nachukua 400,000.
Nimemwambia Mbunge anitumie na Iphone mpya kasema nimpe siku mbili atatuma. Hapo anajua anachat na mchumba. yaani bwege sana huyu mbunge. Hivi hawa ndo wanatunga sheria kweli? Daaah ndo maana sheria nyingine ni mbovu.
Nawashauri wanaume tafute mademu wakali mnaweza kuwa mnapata pesa kirahisi tu. Nimemwambia wife asimpoteze huyu mbunge tupige pesa zake.
Heri ya siku ya wanawake. Mkamua mnawezaNliwaambia mchumba wangu yupo Dodoma kahamia Dar. Kumbe kuna mbunge bwege alikuwa anamfukuzia. Sasa anaandika msg anasikitika kuwa yaani ndo amekosa K hivi hivi..
Mi nliona mchumba anachat nikamwambia anipe simu yake nione anachat na nani. Akataka kukataa maana alikuwa anaona naweza enda mpasua matumbo huyo mtu. Ndo nikalazimisha simu.
Sasa nachat na mbunge nimemwambia atume tsh 500,000 katuma aisee... Kumbe wabunge wana pesa ya mchezo sana..nimemwambia my wife to be hapo yeye namwamchia 100,000 ya voucher mi nachukua 400,000.
Nimemwambia Mbunge anitumie na Iphone mpya kasema nimpe siku mbili atatuma. Hapo anajua anachat na mchumba. yaani bwege sana huyu mbunge. Hivi hawa ndo wanatunga sheria kweli? Daaah ndo maana sheria nyingine ni mbovu.
Nawashauri wanaume tafute mademu wakali mnaweza kuwa mnapata pesa kirahisi tu. Nimemwambia wife asimpoteze huyu mbunge tupige pesa zake.
Hapana bwana. Umetumia neno kali sana. Ni kumfunza tu huyu bwege. Na kurudisha pesa zetu wanazolipwa bure.Unadanga ujue
Huu uzoefu ulisema unao. Enheeeh ilikuaje kuaje?Tamaa ndogo ndogo kama hizi, adhabu yataenda kupata marinda yako.
Upo vizuri.Soon atanogewa huyo. Atampindua demu wake kwa huyo mbunge
Mwezi ulikuwa mbaya.... Watu hawanipendi. Humu duniani watu wana wivu. Wanaweza kukuroga sababu tu unavutia.Ahhahaha ngoja aje maana chiz alipotea sijui alifichwa na nani
Kama ambavyo mz*** wako alivyoolewa kimasikhara.Utaolewa na mbunge very soon
Aache kutongoza wanawake wa watuFikiria huyo mbunge ndio anasoma hapa hii thread anakuwazia nin
Kama humtaki mtu si umwambie ukweli . Unafikiri unamkomoa unaweza kukomolewa usisahau maisha. Kama unajua ni mchumba wako si umwambie waachane. Unitumie ndio fursa ya kutatua matatixo yako.Nliwaambia mchumba wangu yupo Dodoma kahamia Dar. Kumbe kuna mbunge bwege alikuwa anamfukuzia. Sasa anaandika msg anasikitika kuwa yaani ndo amekosa K hivi hivi..
Mi nliona mchumba anachat nikamwambia anipe simu yake nione anachat na nani. Akataka kukataa maana alikuwa anaona naweza enda mpasua matumbo huyo mtu. Ndo nikalazimisha simu.
Sasa nachat na mbunge nimemwambia atume tsh 500,000 katuma aisee... Kumbe wabunge wana pesa ya mchezo sana..nimemwambia my wife to be hapo yeye namwamchia 100,000 ya voucher mi nachukua 400,000.
Nimemwambia Mbunge anitumie na Iphone mpya kasema nimpe siku mbili atatuma. Hapo anajua anachat na mchumba. yaani bwege sana huyu mbunge. Hivi hawa ndo wanatunga sheria kweli? Daaah ndo maana sheria nyingine ni mbovu.
Nawashauri wanaume tafute mademu wakali mnaweza kuwa mnapata pesa kirahisi tu. Nimemwambia wife asimpoteze huyu mbunge tupige pesa zake.
Yule manzi kichefuchefu. Hajielewi. Ukimgonga anakutangazia JF nzima na kashfa juu...Hivi hawa ni wazazi kweli au umeamua kumtania tu?? Ule uzi wao niliishia katikati kuufuatilia sikuumalizaga π.
JF inavituko sana aise. ππ
La huyu manzi ndo linayumba. Akigongwa anatangaza JF nzima na kashfa juu...mi huwa simwelewi kabisa. Alishaniponda sana humu. Na kuna jamaa nahisi nashare nayeAisee bro Chizi Maarifa amekuaa, ila kuwa makini usije kuwa muamala fekii. Maana hilo dishi lake linayumba Sana
Huyu Mbunge Fala sana anambembeleza mchumba wa mtu kwa maneno ya namna hiii... Na kodi zetu anatumia vibaya. Ngoja tuzirudisheKama humtaki mtu si umwambie ukweli . Unafikiri unamkomoa unaweza kukomolewa usisahau maisha. Kama unajua ni mchumba wako si umwambie waachane. Unitumie ndio fursa ya kutatua matatixo yako.