Mimi na Mchumba wangu tumeamua kumchuna huyu Mbunge. Atakoma safari hii kaingia choo cha kike

Mimi na Mchumba wangu tumeamua kumchuna huyu Mbunge. Atakoma safari hii kaingia choo cha kike

Nliwaambia mchumba wangu yupo Dodoma kahamia Dar. Kumbe kuna mbunge bwege alikuwa anamfukuzia. Sasa anaandika msg anasikitika kuwa yaani ndo amekosa K hivi hivi..

Mi nliona mchumba anachat nikamwambia anipe simu yake nione anachat na nani. Akataka kukataa maana alikuwa anaona naweza enda mpasua matumbo huyo mtu. Ndo nikalazimisha simu.

Sasa nachat na mbunge nimemwambia atume tsh 500,000 katuma aisee... Kumbe wabunge wana pesa ya mchezo sana..nimemwambia my wife to be hapo yeye namwamchia 100,000 ya voucher mi nachukua 400,000.

Nimemwambia Mbunge anitumie na Iphone mpya kasema nimpe siku mbili atatuma. Hapo anajua anachat na mchumba. yaani bwege sana huyu mbunge. Hivi hawa ndo wanatunga sheria kweli? Daaah ndo maana sheria nyingine ni mbovu.

Nawashauri wanaume tafute mademu wakali mnaweza kuwa mnapata pesa kirahisi tu. Nimemwambia wife asimpoteze huyu mbunge tupige pesa zake.

Ni bora nami nirudishe pesa zangu. Unaweza jifanya eti we mgumu halafu demu wako akawa analiwa hupati kitu. Mi nimewekeza pia kwa huyu demu.
Never Trust a woman
Happy women's Day
 
Hivi hawa ni wazazi kweli au umeamua kumtania tu?? Ule uzi wao niliishia katikati kuufuatilia sikuumalizaga [emoji23].

JF inavituko sana aise. [emoji23][emoji23]
Hawezi kuwa na mama mtoto kama mimi sema anajitahidi kukeep umaarufu kwa kutunga stories. Alinianzishia mpaka uzi so na mimi nimeona kuliko kumkana chizi bora nimsapoti ajisikie furaha. In real world hatujuani
 
La huyu manzi ndo linayumba. Akigongwa anatangaza JF nzima na kashfa juu...mi huwa simwelewi kabisa. Alishaniponda sana humu. Na kuna jamaa nahisi nashare naye
Sasa unashare na nani wakati unasema ulishaniacha....au mbunge kashakuagizia mabaunsa na mafuta ya vaseline nini baba mtoto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
trudie njoo ujitetee hapa mpendwa
Amechanganyikiwa maana nyuzi zake ndio anatangaza aliowatumia nauli na aliowagonga. Mkuu naanza kupata mashaka wazee wa Vaseline na parachute weshamtembelea masikini maana amerudi ana hasira kweli.

Akome ameacha kuuza matunda kahamia kudanga matokeo yake wanatindua nanhii[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa unashare na nani wakati unasema ulishaniacha....au mbunge kashakuagizia mabaunsa na mafuta ya vaseline nini baba mtoto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna maneno akiandika mwanamke nashindwa cha kujibu kabisa. Ni maneno ambayo for a decent lady haifai hata kuyafikiria. Ni ya aibu. But kwa wewe nakuelewa.
 
Mwambie mkeo ampee vizuri hawanaga hawasara hao wanatoa adi nyumba mpaka utashangaa kuna watu wanajua kuhonga
 
Back
Top Bottom