Mimi naamini kila dhambi lazima uilipie

Inakutafuna tu ndani ya nafsi yako Huku huyo mtu muda huo hana hata habare nawewe!! Anakula maishaaa tuuu
Karrrrmmmmaaaaaaaaaahhh
Muda unaongea mama,kila jambo na wakati wake
 
wakuu kila mtu ana maex kla mtu anaoaliowakosea kw neno la mapenz hapa ndy panatabu....!! muhmu tujfunze kuombana smahan tunapokosea na tusameheane pia mung atatusameh, ukiamua kuvunja mahsuiano vunjen kw amani bas svyo hi karma itatubatua wote wakuu
Kabisa👊
 
unamwahidi kumwoa unamwachia mimba unasepa,
hii itasepa na kijiji cha vidume, ila na nyie kina To yeye mnachangia...unasema nimekupa kitumbo halafu badae nakuja kugundua ni mchepukaji kiwango cha SGR unadhania kitachofuata nini...hata Mimba yenyewe nitahisi umenibambikia na shughuli yote inaishia hapo.!
 
Siamini kama nitalipia dhambi zangu, unless kifo ndio kitalipa madhambi yangu. Hapa nilipo napatilizwa madhambi ya wazee wangu, yangu watapatilizwa madogo wakikua...
Kama si kwako kwa wanao
 
So good muendelee kuhisi
 
Sasa babu yangu kala misambwanda, mimi nazichapa hatari. Sasa kajukuu huko nako kanakuja kunyanduliwa kwasababu ya uzembe wetu🤣🤣. Waiter safari lager 🍺 nyengine letraaa hapa
Hataree
 
Inaumiza sana
 
Nasema coz yapo na hutokea...kama we umeona ivo ni sawa
 
Hatimaye Ngome Imetikiswa Chap Chap, Wahuni Jamani
Lulu Ya Mji Mkongwe (Pearl Of Stone Town)




Haa Haa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…