Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😝😝😝🙌Carrasco putin naona karma imeanza kukula adoado huna amani kabisaa kunguru wa zenji weeh pambana nahare yako😁😁!
Kabisa👊wakuu kila mtu ana maex kla mtu anaoaliowakosea kw neno la mapenz hapa ndy panatabu....!! muhmu tujfunze kuombana smahan tunapokosea na tusameheane pia mung atatusameh, ukiamua kuvunja mahsuiano vunjen kw amani bas svyo hi karma itatubatua wote wakuu
hii itasepa na kijiji cha vidume, ila na nyie kina To yeye mnachangia...unasema nimekupa kitumbo halafu badae nakuja kugundua ni mchepukaji kiwango cha SGR unadhania kitachofuata nini...hata Mimba yenyewe nitahisi umenibambikia na shughuli yote inaishia hapo.!unamwahidi kumwoa unamwachia mimba unasepa,
So good muendelee kuhisihii itasepa na kijiji cha vidume, ila na nyie kina To yeye mnachangia...unasema nimekupa kitumbo halafu badae nakuja kugundua ni mchepukaji kiwango cha SGR unadhania kitachofuata nini...hata Mimba yenyewe nitahisi umenibambikia na shughuli yote inaishia hapo.!
...hapo maziwa yanakuwa yashatumbukia nyongo na hayatafaa hata kwa mtindi..!itabidi upambanie dhambi yako.So good muendelee kuhisi
Inaumiza sanaDunia haijawahi kuwa na usawa katika ulipaji wa dhambi, tunaishi kwenye dunia ambayo mwenye uwezo fulani atamuonea asiyenao kwa namna fulanifulani.
Everything about Karma ni habari ya kuwatia faraja wasiokuwa na huo uwezo, kitu ambacho sio kibaya kwakua kinaepusha visasi.
Nasema coz yapo na hutokea...kama we umeona ivo ni sawaKarma inafanya kazi kama wee ni Mtakatifu kwelikweli.
Lkn Et kisa umetendwa basi ndo karma impate mtu, wakati we mwenyewe ni mmbeya, muongo, mzushi ,mfitini , unadharau watu n.k
Hiyo ni utasubir karma mpaka macho yatapofuka na hujaona !!.
ALAFU, UKITENDWA ,MTU AKAKUUMIZA, WEE ACHA KUMWOMBEA NJAA
DUNIA NI KUBWA, WANAUME WAMEJAA, WANAWAKE WAMEJAAA !!
utajisikiaje, Unayemaombea Njaa, ndo anazidi Kunona??..... Watu wengi mnatabia ya kuwaombea Ma Ex wenu wakongoroke, wasifanikiweee.
Weweeeee, ungejua Hilo, usingetiana mpaka Wakati wa NDOA .!!
KAMA HUKUSIKILIZA BIBLIA NA MAFUNDISHO YA DINI UNGALI MTOTO, KUA TENDO LA NDOA, LIFANYWE WAKATI WANDOA TU.
wee umelianza mapema, alafu unaombea Karma??.
Aaahhh wajubaa, msifanye mambo kua magumu !!.