Mimi naamini kila dhambi lazima uilipie

Mimi naamini kila dhambi lazima uilipie

wakuu kila mtu ana maex kla mtu anaoaliowakosea kw neno la mapenz hapa ndy panatabu....!! muhmu tujfunze kuombana smahan tunapokosea na tusameheane pia mung atatusameh, ukiamua kuvunja mahsuiano vunjen kw amani bas svyo hi karma itatubatua wote wakuu
Kabisa👊
 
unamwahidi kumwoa unamwachia mimba unasepa,
hii itasepa na kijiji cha vidume, ila na nyie kina To yeye mnachangia...unasema nimekupa kitumbo halafu badae nakuja kugundua ni mchepukaji kiwango cha SGR unadhania kitachofuata nini...hata Mimba yenyewe nitahisi umenibambikia na shughuli yote inaishia hapo.!
 
Siamini kama nitalipia dhambi zangu, unless kifo ndio kitalipa madhambi yangu. Hapa nilipo napatilizwa madhambi ya wazee wangu, yangu watapatilizwa madogo wakikua...
Kama si kwako kwa wanao
 
hii itasepa na kijiji cha vidume, ila na nyie kina To yeye mnachangia...unasema nimekupa kitumbo halafu badae nakuja kugundua ni mchepukaji kiwango cha SGR unadhania kitachofuata nini...hata Mimba yenyewe nitahisi umenibambikia na shughuli yote inaishia hapo.!
So good muendelee kuhisi
 
Sasa babu yangu kala misambwanda, mimi nazichapa hatari. Sasa kajukuu huko nako kanakuja kunyanduliwa kwasababu ya uzembe wetu🤣🤣. Waiter safari lager 🍺 nyengine letraaa hapa
Hataree
 
Dunia haijawahi kuwa na usawa katika ulipaji wa dhambi, tunaishi kwenye dunia ambayo mwenye uwezo fulani atamuonea asiyenao kwa namna fulanifulani.

Everything about Karma ni habari ya kuwatia faraja wasiokuwa na huo uwezo, kitu ambacho sio kibaya kwakua kinaepusha visasi.
Inaumiza sana
 
Karma inafanya kazi kama wee ni Mtakatifu kwelikweli.
Lkn Et kisa umetendwa basi ndo karma impate mtu, wakati we mwenyewe ni mmbeya, muongo, mzushi ,mfitini , unadharau watu n.k

Hiyo ni utasubir karma mpaka macho yatapofuka na hujaona !!.

ALAFU, UKITENDWA ,MTU AKAKUUMIZA, WEE ACHA KUMWOMBEA NJAA

DUNIA NI KUBWA, WANAUME WAMEJAA, WANAWAKE WAMEJAAA !!


utajisikiaje, Unayemaombea Njaa, ndo anazidi Kunona??..... Watu wengi mnatabia ya kuwaombea Ma Ex wenu wakongoroke, wasifanikiweee.


Weweeeee, ungejua Hilo, usingetiana mpaka Wakati wa NDOA .!!

KAMA HUKUSIKILIZA BIBLIA NA MAFUNDISHO YA DINI UNGALI MTOTO, KUA TENDO LA NDOA, LIFANYWE WAKATI WANDOA TU.

wee umelianza mapema, alafu unaombea Karma??.


Aaahhh wajubaa, msifanye mambo kua magumu !!.
Nasema coz yapo na hutokea...kama we umeona ivo ni sawa
 
Hatimaye Ngome Imetikiswa Chap Chap, Wahuni Jamani
Lulu Ya Mji Mkongwe (Pearl Of Stone Town)




Haa Haa
 
Back
Top Bottom