Hapa sijazungumzia wale wanaofanya ushoga kama sexual identity yao bali wale wanaofanya ushoga ili kutafuta urahisi wa maisha na hao ndio wengi sasa mimi sijui kuwatofautisha kwa majina ndio maana nikawa address tu kama mashoga, mimi huwa siwalaani mashoga na at times huwa nawatetea lakini huwezi kuwaweka kundi moja watu kama kina Steve Jobs au Tim Cook na hawa vijana wa mitaani wanaofanya ushoga kama kazi ili wapunguze ukali wa maisha na si kwamba eti wanapenda, ndio maana nikawaweka kundi moja na machawa maana wao wanaona hizo ni kazi lakini ukweli ni kwamba hawana akili kiasi cha kuwalinganisha na baadhi ya wanawake