Mimi naona dunia iachane na mfumo dume na rasmi 50/50 ishike hatamu

Mimi naona dunia iachane na mfumo dume na rasmi 50/50 ishike hatamu

Hapa sijazungumzia wale wanaofanya ushoga kama sexual identity yao bali wale wanaofanya ushoga ili kutafuta urahisi wa maisha na hao ndio wengi sasa mimi sijui kuwatofautisha kwa majina ndio maana nikawa address tu kama mashoga, mimi huwa siwalaani mashoga na at times huwa nawatetea lakini huwezi kuwaweka kundi moja watu kama kina Steve Jobs au Tim Cook na hawa vijana wa mitaani wanaofanya ushoga kama kazi ili wapunguze ukali wa maisha na si kwamba eti wanapenda, ndio maana nikawaweka kundi moja na machawa maana wao wanaona hizo ni kazi lakini ukweli ni kwamba hawana akili kiasi cha kuwalinganisha na baadhi ya wanawake
Hapo sawa nimekuelewaa dada.
 
Ukifuata nadharia za nchi za magharibi wanataka kuwe na mambo ambayo ni kinyume na maelekezo ya Mungu kupitia 50/50. Inatakiwa kuwa makini sana. Kiuhalisia 50/50 imevuka mipaka na imetumika vibaya kupitisha mambo yasiyo ya kawaida ikiwemo ushoga.
Ushoga unahusu nn hapa? Km huna hoja kaa kimya.
 
Mkuu sijui kwanini unakazania hili suala la ushoga kama vile ni jambo geni duniani, ushoga ulikuwepo toka enzi za Sodoma na Gomora ambako kulikuwa na mfumo dume, maovu yote haya tunayoyaona yalikuwepo toka enzi za mfumo dume huo mfumo ulifanya nini kuzuia maovu hayo
Achana naye huyo hana hoja.
 
Dunia inahitaji Equity sio Equality ,mkilitambua hili basi mtaondoa huu upumbavu wenu kichwani.

Yule superpower ,the father of democracy nchi yake na purukushani za kidunia hajawahi kumpa mwanamke aongoze.

Ni mjinga anaweza kukubali usawa wakati hata vikojoleo vipo tofauti
Sasa kama mnajua vikojoleo viko tofauti hizi kelele za wanaume kukataa kuhudumia wanawake, na kutaka wajitafutie pesa zao zinatoka wapi, mnatakiwa muuoneshe huo utofauti wa vikojoleo na kwenye majukumu
 
Ushoga unahusu nn hapa? Km huna hoja kaa kimya.
Ukifikiri kwa juu juu lazima utaona hakuna hoja lakini ajenda za hayo maovu yanapitia kwenye 50/50 na demokrasia. Utaona ni mambo mazuri lakini ndani yake wanapitisha mambo kumaliza maadili taratibu hadi unakuja kutambua umechelewa.

Labda huenda sina hoja kwa sababu ushoga ni sehemu ya maisha yako siwezi kujua, lakini ni laana na ni kati ya dhambi ambazo ni mbaya zaidi kuwahi kutokea ulimwenguni.

Kuwa makini katika hilo.
 
Sasa kama mnajua vikojoleo viko tofauti hizi kelele za wanaume kukataa kuhudumia wanawake, na kutaka wajitafutie pesa zao zinatoka wapi, mnatakiwa muuoneshe huo utofauti wa vikojoleo na kwenye majukumu
Nyie mnataka kuhudumiwa tu ndio haki sawa ! We ufanye kazi pesa upeleke wapi .

Unataka kuhudumiwa baki nyumbani.!
 
Nyie mnataka kuhudumiwa tu ndio haki sawa ! We ufanye kazi pesa upeleke wapi .

Unataka kuhudumiwa baki nyumbani.!
Sasa kama mnajua kuwa wanawake wanafanya kazi mbona bado huwa mnataka wafanye majukumu ya nyumbani
 
Sasa kama mnajua kuwa wanawake wanafanya kazi mbona bado huwa mnataka wafanye majukumu ya nyumbani
Mbona pesa ya kazini huchangii matumizi ya nyumbani? Mbona umetolewa mahari?

Kiufupi kama mnataka ndoa na kuhudumiwa ,acheni kazi!
 
Mbona pesa ya kazini huchangii matumizi ya nyumbani? Mbona umetolewa mahari?

Kiufupi kama mnataka ndoa na kuhudumiwa ,acheni kazi!
Na akiacha kazi utahudumia na kwao na una uhakika hutamnyanyasa kwa kisingizio kwamba unamhudumia, kama anafanya kazi na anatimiza majukumu yake ya nyumbani bado unatakiwa umhudumie, na usiulizie pesa zake we timiza majukumu yako tu kama ambavyo anatimiza yake
 
Ulichosema si kwa wanawake wa kiafrika ni maneno ya mdomoni wanawake hawahawa ambao anakazi yake lakini haujui pato linaenda wapi bado utampa elfu kumi ya mboga au mahitaji na bado anafikiria atabania vipi hata mia aende kwenye vikoba na bado mwisho wa siku unaambiwa vitu vinabebwa ndani, nadhani umeandika kwa mihemko mingii kuliko kufikiri hata wewe mwenyewe kukiishi ulichoandika hauna ubavu huo according to nature na malezi ya kiafrika. Wanayaweza waloyaanzisha wenyewe kwa afrika mmeyapokea lakini nyie wenyewe mnakataana.
 
Tatizo wanaume wa sasa hivi hawawezi kubeba majukumu Yao kwa 100% Kwa vile nguvu Yao inapotezwa tangu utotoni Kwa utapeli kama vile 50 Kwa 50, ladies first, sijui women empowerment.
 
Haiwezekani. Women always hata wakipewa all right and privileges mfano katika elimu still watachagua low paying professions. Hili ndio linazuia 50/50 kuwa reality
 
Hiz nyoko nyoko bhna sijui zann. Na kinatafutwa kitu gani hapa
Rais Mmama
Spika Mmama
Afy Mmama
Elimu Mmama
Sehem nying za viongoz zimeshikwa na wamama.
Lakin bado tuu nyoko nyokoo nyokoo
 
Ulichosema si kwa wanawake wa kiafrika ni maneno ya mdomoni wanawake hawahawa ambao anakazi yake lakini haujui pato linaenda wapi bado utampa elfu kumi ya mboga au mahitaji na bado anafikiria atabania vipi hata mia aende kwenye vikoba na bado mwisho wa siku unaambiwa vitu vinabebwa ndani, nadhani umeandika kwa mihemko mingii kuliko kufikiri hata wewe mwenyewe kukiishi ulichoandika hauna ubavu huo according to nature na malezi ya kiafrika. Wanayaweza waloyaanzisha wenyewe kwa afrika mmeyapokea lakini nyie wenyewe mnakataana.
Wanawake bado wanafanya hayo yote kwa sababu wanaume bado mnataka mfumo dume, mnataka kupewa utii na bado mnaona kazi za nyumbani ni majukumu ya wanawake, siku mkiachana na hiyo mitazamo basi hata wanawake nao wataacha kufanya hayo mambo yote
 
Tatizo wanaume wa sasa hivi hawawezi kubeba majukumu Yao kwa 100% Kwa vile nguvu Yao inapotezwa tangu utotoni Kwa utapeli kama vile 50 Kwa 50, ladies first, sijui women empowerment.
Hakuna shida, kama hawataki kubeba majukumu yao na wanataka kusaidiwa na wanawake basi wakubali kupoteza mamlaka ya kuwatawala wanawake, na wachukulie kufanya kazi za nyumbani na kulea watoto kama majukumu yao pia na si ya wanawake tu
 
Haiwezekani. Women always hata wakipewa all right and privileges mfano katika elimu still watachagua low paying professions. Hili ndio linazuia 50/50 kuwa reality
Mkuu sidhani kama unao uhakika na ulichokiandika
 
Hiz nyoko nyoko bhna sijui zann. Na kinatafutwa kitu gani hapa
Rais Mmama
Spika Mmama
Afy Mmama
Elimu Mmama
Sehem nying za viongoz zimeshikwa na wamama.
Lakin bado tuu nyoko nyokoo nyokoo
Hapa tunaongelea katika family level huko bado ni tatizo
 
Kwa wanaoamini katika Biblia itakuwaje? Ni kwa nini Mungu asiwaumbe Adam na Eva kwa wakati mmoja? Ubavu mmoja wa Eva utalinganisha na mbavu za Adam?. Tuje kwa kitu kidogo, angalia masomo ya sayansi, lini itafika 50 kwa 50?
 
Back
Top Bottom