Hahaha hapana sasa si ndio mfumo dume wenyewe mnaoutaka huo mkuuHiyo sentensi ya kugawana mali pasu kwa pasu huwa inachekesha sana.Kwani huwa hamuwezi kuondoka bila pasupasu?Au mnafidia "uchakavu wa godoro"?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu tatizo hivyo vidada ambavyo havijaolewa na vyenyewe huwa mnataka viwe na sifa zote kama wake na mnataka viwatreat ninyi kama waume zao, sasa kama mwanamke anafanya majukumu yake ya nyumbani na bado unataka akusaidie majukumu yako wewe utakuwa unafanya nini hebu nieleweshe hapo kidogo, kuhusu mwanamke wa mithali 31 nimeshaandika kwenye uzi pale juu kuwa hayo yalikuwa mawazo binafsi ya mfalme Suleiman na si maagizo ya muumbaHakuna mwanaume aliyeoa akamwita mke wake omba omba ,labda awe na matatizo ya akili !! Omba omba ni vidada ambavyo havijaolewa vinavyotaka kutunzwa kama mke ! (hii issue tuwaachie mabachela ) Pia haimaanishi mwanamke akiolewa anafungwa mikono au akae abweteke na awe mvivu hapo maana ya msaidizi haipo tena sasa. kitabu cha mithali 31 kimeeleza vizuri mwanamke anavyotakiwa kuwa mchapakazi
10 Mke hodari ni nani anaweza kumpata? Thamani yake ni zaidi kuliko vito.
11 Moyo wa mume wake humwamini, na hatakuwa masikini.
12 Humtendea mambo mema na wala si mabaya siku zote za maisha yake.
13 Huchagua sufu na kitani, na hufanya kazi yake ya mikono kwa furaha.
14 Yupo kama meli za wafanyabiashara; huleta chakula chake kutoka mbali.
15 Huamka wakati wa usiku na kuwapa chakula watu wa kaya yake, na kugawa kazi kwa watumishi wake wa kike.
16 Hulifikiria shamba na kulinunua, kwa tunda la mikono yake hupanda shamba la mizabibu.
17 Yeye mwenyewe hujivika nguvu na kuimarisha mikono yake.
18 Huangalia ni kipi kitaleta faida nzuri kwake; usiku wote taa yake haizimishwi.
19 Mikono yake huiweka kwenye mpini wa kisokotea nyuzi na hushikilia kisokotea nyuzi.
20 Mkono wake huwafikia watu masikini; mikono yake huwafikia watu wahitaji.
21 Haogopi theluji kwa ajili ya kaya yake, kwa maana nyumba yake yote imevika kwa nguo nyekundu. 22 Hutengeneza matandiko ya kitanda chake, na huvaa nguo za kitani ya dhambarau safi.
23 Mume wake anajulikana malangoni, anapoketi na wazee wa nchi.
24 Hutengeneza mavazi ya kitani na kuyauza, na naleta mishipi kwa wafanyabiashara.
25 Amevaa nguvu na heshima, na wakati ujao huucheka.
26 Anafumbua kinywa chake kwa hekima na sheria ya ukarimu ipo kwenye ulimi wake.
27 Huangalia njia za nyumba yake na hawezi kula mkate wa uvivu.
28 Watoto wake huinuka na kumwita heri na mume wake humsifia, akisema,
29 “Wanawake wengi wamefanya vizuri, lakini wewe umewapita wote.”
30 Madaha ni udanganyifu, uzuri ni ubatili; bali mwanamke amchaye Yehova, atasifiwa.
Mkuu ndio maana nikasema wanawake hawawezi kuikubali hiyo 50/50 ikiwa wanaume bado mnataka kupewa heshima na utii na bado kuna majukumu ambayo mnayaona ni ya wanawake tu, ofcourse na mimi sijalazimisha watu wachague huo mfumo wa 50/50 bali nimesema mwanaume anapochagua mfumo fulani ahakikishe anakubaliana na sifa zote zinazokuja na mwanamke wa huo mfumo, sasa wewe hutaki 50/50 lakini hapo hapo hutaki kumhudumia mwanamke wako unataka ajitafutie pesa zake ajihudumie mwenyewe na pia akusaidie kuhudumia familia ambalo ni jukumu lako mwanaumeInawezekana ww unaona hawafanyi majukumu yao,sababu ndani ya nyuma nao wanataka 50-50,hamna mwanamke anaye kubali hii 50-50 na hamuipendi,hasa ikifiki kipindi cha kuchangia hiyo 50.
Hicho unacho kitaka haiwezekani kiasili, na hakito kuja kutokea.Nchi ya Europe wameshindwa hiko ukitakacho ww, ushajiuliza why?
Hivi ushajiuliza why jamii zote pamoja na mwanzoni hazikuwa hazijuani, ila majukumu ya mwanaume yana fanana na zote ziliendeshwa na mfume dume.
Huwezi shindana asili 50-50 hata wazungu hawaitaki, ndio maana siku hizi kuna kundi kubwa la wazungu kutoka ulaya wanaitwa Passport Bro,wanaoa wanawake kutoka mataifa mengine nje na ya kwao kama Africa,Thailand, Philippines na baadhi ya nchi za Latin America. Ushajiuliza wanakimbia nini?
Huku sasa ni kujifariji, kwa sababu kwa mambo yanavyoenda sasa hali haiko kama unavyoandika hapa, hasira hazisaidii lazima ifike pahala tukubaliana na ukweli hatuwezi kuyazuia mafuriko kwa mikonoTuna mamlaka ya kuamua nini kifanyike na nini kisifanyike kwa wakati wowote na mahala popote na tutaendelea kua na hayo mamlaka hadi mwisho wa dunia na hakuna atakae weza kubadilisha hilo, huo ndio ukweli
Hahaha mkuu mimi nafahamu bado wapo wanawake wengi sana, ambao wakiolewa wako tayari kuwa wamama wa nyumbani, hawa wanaendana na wale wanaume ambao hawataki wake zao wafanye kaziMajukumu ni natural instict, pindi mwanaume au mwanamke anapoanza kupata akili, anafunzwa na kujifunza maarifa yenye kubainisha majukumu kulingana na utofauti wa kijinsia...
Hivyo si jambo la kutaraji kwamba mwanaume ata delege majukumu fulani afanye mwanamke na mwengine afanye yeye...
Mwanamke anapaswa ajue wajibu na majukumu yake, hivyo hivyo mwanamume pia, isipokuwa endapo mwanamke atakengeuka ndiposa mwanaume kama kiongozi anarekebisha au anaelekeza usahihi wake (lead by example)...
Mwanamke kutoka kwenda kusaka pesa kwa ajili ya familia, hili sio jukumu lake la kwanza bali ni ziada tu, ni hadi pale mwanamume akiridhia...Swali, je wanawake mpo tayari mkiolewa mkae tu nyumbani?
Kwenye mfumo dume mwanamke kuhudumiwa ni haki yake, kwahiyo pale mwanamke anapodai haki yake msianze kumuita majina ya ajabu sijui malaya sijui ombaomba, kama unaona kuhudumia mwanamke ni mzigo then try 50 50Always malaya ndiye ana demand kuhudumiwa na anaendekeza tamaa.
Mwanamke mwema hana tamaa na anaridhika na anachopewa.
Hakuna mwanamme asiyependa kumuhudumia mwanamke wake.
Endelea kusubiria muujiza wa kuokota nazi chini ya mwembe nilicho andika ndio ukweli halisi haijalishi unataka au hutaki, hakuna anaeweza kubadilisha hatma endelea kujifariji "miss feminist" 🚮🚮🚮🚮Huku sasa ni kujifariji, kwa sababu kwa mambo yanavyoenda sasa hali haiko kama unavyoandika hapa, hasira hazisaidii lazima ifike pahala tukubaliana na ukweli hatuwezi kuyazuia mafuriko kwa mikono
Huwa tunahudumia mwanamke automatically, huna haja ya kuomba huduma.Kwenye mfumo dume mwanamke kuhudumiwa ni haki yake, kwahiyo pale mwanamke anapodai haki yake msianze kumuita majina ya ajabu sijui malaya sijui ombaomba, kama unaona kuhudumia mwanamke ni mzigo then try 50 50
Hapa suala siyo mimi kutaka au kutotaka suala ni uhalisia uliopo kwenye ulimwengu wa sasa, malalamiko ya wanaume wengi siku hizi kuhusu wanawake yanatoa picha halisi ya wapi tulipo, hatuwezi kujadili mawazo binafsi ya watu wanaojifariji na kuleta mihemko kwenye uhalisiaEndelea kusubiria muujiza wa kuokota nazi chini ya mwembe nilicho andika ndio ukweli halisi haijalishi unataka au hutaki, hakuna anaeweza kubadilisha hatma endelea kujifariji "miss feminist" [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Oohh so mwanaume naye anapokosea basi anakuwa hastahili tena heshima na utii toka kwa mke wake pamoja na kutimiziwa majukumu ya nyumbaniHuwa tunahudumia mwanamke automatically, huna haja ya kuomba huduma.
Ukiona hupewi huduma au mpaka uombe, jitafakali mara mbili mbili, lazima kuna sehemu unakosea.
Tumia hesabu ya uwiano kila tajiri mwanaume ana mke kaoa na wengi ufa na kuwaachia mabilioni ila baada ya hapo ni chini ya asilimia 1 ya hao wanawake ndiyo wanaweza japo kulinda huo utajiri kidogo tu wote walio salia utajiri unapukutika usijulikane ulipo tokomea ...tutizame kwa samia na jpm tu ...jpm ameacha mambo yapo kwenye mstari chanya ila kwa sasa samia katutoa na kutudumbukiza kwenye giza kila kitu kinasambaratika...huwezo wa akili wa mwanamke ni robo tu ya mwaname kwa wastaniMkuu kwani hakuna wanaume ambao wameachiwa utajiri na wazazi au ndugu zao na wakashindwa kuuendeleza au hili linakuwa tatizo likifanywa na mwanamke tu, kwahiyo unataka kusema kwamba wanaume wote ni intellectually superior kuliko wanawake wote na umetumia vigezo gani, kwamba other factors being constant hata kama mwanaume ni kibaka wa mtaani basi ana akili kuliko mwanamke ambaye ni boss wa kampuni fulani
Basi nishaelewa hapa kumbe najadiriana na Dume lenzangu,Mkuu lugha ya wenyewe inakupiga chenga au, kwamba hujui tofauti kati ya personal na general, kiasi cha kushindwa kuona kwamba hilo swali uliloniuliza ni personal
Na mlivyojaaliwa mdomo ndefu na utunzi bora wa matusi hamtakawia kumuita mchoyo,domozege,shoga nk.Hamkosi ubatizo mpya.Yeah na pia mwanaume ambaye hataki kumhudumia mwanamke asioe akomae na maisha yake mwenyewe tu
Kama cha shangazi yako wa kisiju, mjusi weeeUna uelewa mdogo sana, kichwa panzi wewe
"Mwanaume ni mtafutaji/mtoaji na kiongizi.Mwanamke ni mpokeaji na mtumiaji wa alichotafuta mwanaume.Sasa,wanawake wanataka kuwa watoaji.Kitu ambacho hakiwezekani!Hata ukifikiria,mwanaume mzima umekaa nyumbani unalea watoto,utajisikiaje?Haiingii akilini kabisa.Kizazi hiki bwana!🤣🤣🤣".Masculine ni provider na kiongozi, feminine ni receiver na ana nurture kile masculine ame kitafuta. Sasa wanawake wanataka wawe provider which will never work. Hata ukifikiria kawaida et mwanaume mzima umekaa home unalea watoto how will you feel? Haimek sense kbs. Hii generation bana🤣🤣🤣
Nyie ndo mnaopendaga mserereko/kitonga hamtakagi kujituma, Dunia ya Sasa ukipenda mserereko au kitonga utaishia kupakuliwa kwenye sahani, utafirwa wewe shauri zako watakuingilia njia zote marinda yatatuliwe uanze kujinyea ovyo na ndo skuiz wanavofanyiwa wanawake kama wewe wapenda vitonga.Kama cha shangazi yako wa kisiju, mjusi weee
Asante mkalimani🤣🤣"Mwanaume ni mtafutaji/mtoaji na kiongizi.Mwanamke ni mpokeaji na mtumiaji wa alichotafuta mwanaume.Sasa,wanawake wanataka kuwa watoaji.Kitu ambacho hakiwezekani!Hata ukifikiria,mwanaume mzima umekaa nyumbani unalea watoto,utajisikiaje?Haiingii akilini kabisa.Kizazi hiki bwana!🤣🤣🤣".