Mimi naona dunia iachane na mfumo dume na rasmi 50/50 ishike hatamu

Mimi naona dunia iachane na mfumo dume na rasmi 50/50 ishike hatamu

Mkuu ndio maana nikasema wanawake hawawezi kuikubali hiyo 50/50 ikiwa wanaume bado mnataka kupewa heshima na utii na bado kuna majukumu ambayo mnayaona ni ya wanawake tu, ofcourse na mimi sijalazimisha watu wachague huo mfumo wa 50/50 bali nimesema mwanaume anapochagua mfumo fulani ahakikishe anakubaliana na sifa zote zinazokuja na mwanamke wa huo mfumo, sasa wewe hutaki 50/50 lakini hapo hapo hutaki kumhudumia mwanamke wako unataka ajitafutie pesa zake ajihudumie mwenyewe na pia akusaidie kuhudumia familia ambalo ni jukumu lako mwanaume
Mara nyingi tabia mlizo kuwa nazo na matendo mnayo tendeana kipindi cha uchumba ndivyo kwenye ndoa mtatendeana hivyo hivyo,kwani tabia hujenga mazoea.

Sasa na kuuliza ww na wanawake wenzako, NANI HUENDESHA MAHUSIANO YAKE KIPINDI CHA UCHUMBA KWA MTINDO WA 50/50?

Maana kama uchumba wenu hamkuliishi hili la 50/50 husitegemee kwenye ndoa ndio utaweza.
 
Mwanamke ameumbwa kutombwer

Ukikitafakari hicho kitendo kwa Makini kabisa, utajua pasi na shaka kuwa Kutombwer Ni kutawaliwa

Mwanamke aanze kukataa kutendewa hicho kitendo kwanza!
Hapo atakuwa amefanikiwa kwa 100% kujikomboa kutoka kwenye makucha ya utawala wa mwanaume
 
Wewe sidhani hata kama unaelewa unachokiandika naona unabwabwaja tu hivi unafahamu maana ya sentensi "other factors being constant", kama ni kutoa hayo matobo mbona hata wanaume wengi tu siku hizi wanatoa na wengine wanadanga kwa mijimama ili wapate urahisi wa maisha, kama kweli wanawake wote wangekuwa vilaza tusingeendelea kuona maboss wa makampuni wanawake either wangekuwa wanafukuzwa kazi au wanashushwa vyeo kila siku
Ndiyo maana nikakuambia wewe zuzu kuwa Uongozi ni swala la AKILI KUBWA NA SIYO MAMBO YA JINSIA WALA 50/50 tumia akili wacha kutumia kijambio kufikili kama sa100 kwenye vitabu vya dini tunasoma kuwa mungu alimpongeza selemani kwa kuombq akili ya uongozi.....hivyo swala la nani awe kiongozi linatakiwa kuangalia zaidi AKILI ZAIDI WALA SI ELIMU ZAIDI WALA JINSIA ZAIDI .....AWE MWANAUME AU MWANAMKE HAIJALISHI KIKUBWA NI AKILI ...NDIYO MAANA HOJA YAKO YA 50 /50 TUNAIKATAA KAMA WANAWAKE WAKIWA NA AKILI ZAIDI YA UONGOZI BASI HATA WAKISHIKA 90% ISINGEKUWA SHIDA TATIZO NI KWAMBA AKILI YA MWANAMKE NI FINYU SANA KWENYE MAMBO YA UONGOZI WA NCHI....pia uongozi bora siyo kuwa boss ni nini umebuni na kufanye venye tija na akili binafsi ndani ya huo uongozi wako ambavyo wengine wameshindwa kufanya. Siyo kukaa ofisini kama boss kisha kusema hiyo ndiyo akili .. wanawake maboss wapo wengi ila hakuna chochote wanacho fanya cha maana chenye kuonyesha uwezo wao wa kiakili na wengi utegemea akili za wanaume walio chini yao kufanikisha chochote ...nchi yoyote ikiongozwa na wanawake zaidi laziwa iwe fukara na kupoteza mwelekeo ....viongozi wengi wanawake wapo kwenye uongozi kama bosheni tu maana nyuma yao wana wategemea wanaume .
 
Mara nyingi tabia mlizo kuwa nazo na matendo mnayo tendeana kipindi cha uchumba ndivyo kwenye ndoa mtatendeana hivyo hivyo,kwani tabia hujenga mazoea.

Sasa na kuuliza ww na wanawake wenzako, NANI HUENDESHA MAHUSIANO YAKE KIPINDI CHA UCHUMBA KWA MTINDO WA 50/50?

Maana kama uchumba wenu hamkuliishi hili la 50/50 husitegemee kwenye ndoa ndio utaweza.
Basi kama wanaume hawataki 50 50 waanze kuhudumia wanawake wao tangu kipindi cha uchumba au unasemaje hapo
 
Mwanamke ameumbwa kutombwer

Ukikitafakari hicho kitendo kwa Makini kabisa, utajua pasi na shaka kuwa Kutombwer Ni kutawaliwa

Mwanamke aanze kukataa kutendewa hicho kitendo kwanza!
Hapo atakuwa amefanikiwa kwa 100% kujikomboa kutoka kwenye makucha ya utawala wa mwanaume
Umetumia vigezo gani kusema kwamba kufanyiwa hivyo ndio kutawaliwa, nguvu ya mwanaume kumtawala mwanamke iko katika kumhudumia tu na si vinginevyo, kama hutaki na huwezi kumhudumia mwanamke basi usimtawala simple tu
 
Ndiyo maana nikakuambia wewe zuzu kuwa Uongozi ni swala la AKILI KUBWA NA SIYO MAMBO YA JINSIA WALA 50/50 tumia akili wacha kutumia kijambio kufikili kama sa100 kwenye vitabu vya dini tunasoma kuwa mungu alimpongeza selemani kwa kuombq akili ya uongozi.....hivyo swala la nani awe kiongozi linatakiwa kuangalia zaidi AKILI ZAIDI WALA SI ELIMU ZAIDI WALA JINSIA ZAIDI .....AWE MWANAUME AU MWANAMKE HAIJALISHI KIKUBWA NI AKILI ...NDIYO MAANA HOJA YAKO YA 50 /50 TUNAIKATAA KAMA WANAWAKE WAKIWA NA AKILI ZAIDI YA UONGOZI BASI HATA WAKISHIKA 90% ISINGEKUWA SHIDA TATIZO NI KWAMBA AKILI YA MWANAMKE NI FINYU SANA KWENYE MAMBO YA UONGOZI WA NCHI....pia uongozi bora siyo kuwa boss ni nini umebuni na kufanye venye tija na akili binafsi ndani ya huo uongozi wako ambavyo wengine wameshindwa kufanya. Siyo kukaa ofisini kama boss kisha kusema hiyo ndiyo akili .. wanawake maboss wapo wengi ila hakuna chochote wanacho fanya cha maana chenye kuonyesha uwezo wao wa kiakili na wengi utegemea akili za wanaume walio chini yao kufanikisha chochote ...nchi yoyote ikiongozwa na wanawake zaidi laziwa iwe fukara na kupoteza mwelekeo ....viongozi wengi wanawake wapo kwenye uongozi kama bosheni tu maana nyuma yao wana wategemea wanaume .
Wewe huna hoja na huelewi hata unachoandika mara useme uongozi unaangalia akili hauangalii jinsia mara hapo hapo tena unasema mwanamke hana akili ya uongozi, kikawaida kwenye makampuni au mataasisi mtu kuwa boss anateuliwa na akionekana hana ufanisi anatolewa anawekwa mwingine sasa wanawake wangekuwa hawana ufanisi si wangetolewa au wanaogopwa, hebu nitajie nchi ambazo zimetawaliwa na wanawake na ni masikini kulinganisha na zilizotawaliwa na wanaume na nilikuuliza hapa Tanzania katika kipindi cha miaka 60 hao wanaume wamefanya nini la maana ikiwa mambo muhimu kama maji, umeme, afya, elimu, uchumi na teknolojia hadi leo bado ni tatizo kwenye nchi yetu hujanijibu
 
Basi wanaume waanze kuhudumia wanawake zao tangu kipindi cha uchumba au unasemaje hapo
Wewe si unataka 50/50.... nimekuuliza swali jepesi huko kwenye uchumba 50/50 unaitumia na kama hauitumii why?Husiongee kitu husicho weza kukiishi na kama huukiishi au kukitenda wakati wa uchumba kwenye ndoa hutaweza (So hicho unachowaza na kukitaka hakiwezekani).

"Sasa na kuuliza ww na wanawake wenzako, NANI HUENDESHA MAHUSIANO YAKE KIPINDI CHA UCHUMBA KWA MTINDO WA 50/50?"

Hili nimekuuliza najua hutojibu, baadae utasema hujibu maswali yangu,swali langu la kwanza hujajibu.

Wanaume mbona wana hudumia wachumba zao tokea kipindi cha uchumba, tena wengine hifika mbali uhudumia mpaka wakwe zao kipindi cha uchumba.Mwanaume akipenda na mwanamke akamuheshimu, mbona mwanaume atamuhudumia MAHITAJI YAKE YOTE YA MSINGI, landa ulete tamaa na presha za trends za nguo na simu,vikoba na michezo, ila hamna mwanaume anaye shindwa kumpa mpenzi wake mahitaji ya msingi.
 
Wewe si unataka 50/50.... nimekuuliza swali jepesi huko kwenye uchumba 50/50 unaitumia na kama hauitumii why?Husiongee kitu husicho weza kukiishi na kama huukiishi au kukitenda wakati wa uchumba kwenye ndoa hutaweza (So hicho unachowaza na kukitaka hakiwezekani).

"Sasa na kuuliza ww na wanawake wenzako, NANI HUENDESHA MAHUSIANO YAKE KIPINDI CHA UCHUMBA KWA MTINDO WA 50/50?"

Hili nimekuuliza najua hutojibu, baadae utasema hujibu maswali yangu,swali langu la kwanza hujajibu.

Wanaume mbona wana hudumia wachumba zao tokea kipindi cha uchumba, tena wengine hifika mbali uhudumia mpaka wakwe zao kipindi cha uchumba.Mwanaume akipenda na mwanamke akamuheshimu, mbona mwanaume atamuhudumia MAHITAJI YAKE YOTE YA MSINGI, landa ulete tamaa na presha za trends za nguo na simu,vikoba na michezo, ila hamna mwanaume anaye shindwa kumpa mpenzi wake mahitaji ya msingi.
Hilo swali sijakujibu makusudi kwa sababu hakuna sehemu kwenye huu mjadala nimesema mimi nipo kwenye uchumba kwahiyo wewe ndio ulikurupuka na kuassume kuwa mimi nipo kwenye uchumba, na ndio maana huwa nasema tujaribu kuepusha ad hominem attacks na personal questions kwenye public discussions kitu ambacho wanaume wengi wa jf hamuwezi mtu akishashindwa hoja anaanza "umeolewa" au mwingine from nowhere anaamua tu kukuita malaya, kwani hamuwezi kujikita kwenye hoja bila kumshambulia mtoa hoja kama wengine tunavyofanya yani ni kama vile kumtukana mtoa hoja ndio njia yenu ya kujifariji baada ya kuona hamna majibu ya hoja zake
 
Hilo swali sijakujibu makusudi kwa sababu hakuna sehemu kwenye huu mjadala nimesema mimi nipo kwenye uchumba kwahiyo wewe ndio ulikurupuka na kuassume kuwa mimi nipo kwenye uchumba, na ndio maana huwa nasema tujaribu kuepusha ad hominem attacks na personal questions kwenye public discussions kitu ambacho wanaume wengi wa jf hamuwezi mtu akishashindwa hoja anaanza "umeolewa" au mwingine from nowhere anaamua tu kukuita malaya, kwani hamuwezi kujikita kwenye hoja bila kumshambulia mtoa hoja kama wengine tunavyofanya yani ni kama vile kumtukana mtoa hoja ndio njia yenu ya kujifariji baada ya kuona hamna majibu ya hoja zake


Mimi swali langu nimeliuliza based on hiki ulicho kiandika..

".......Na vile vile kwa mfano mume akiweka laki mezani na mke naye aweke laki mezani mahitaji yote ya nyumbani wanunue kwa usawa bills zote walipe kwa usawa, na watoto wao wawahudumie kwa usawa ikiwemo kuwalipia ada na mahitaji yao mengine yote kwa usawa, hiyo ndio maana halisi ya 50 50 siyo mmoja anamtegea mwenzie eti mtu anataka pesa mtafute wote na bills mlipe wote, ila kazi za nyumbani na kulea watoto afanye mmoja na bado huyo mmoja amtii mwenzie na amlee kama anavyowalea watoto wake, what kind of cockamamie logic is this...."

Ndio maana nimewauliza wewe na wanawake wenzako.sija mshambulia mtu..... kama mjifanyie wenyewe evaluation based on mahusiano yenu mliyokuwa nayo......

""Sasa na kuuliza ww na wanawake wenzako, NANI HUENDESHA MAHUSIANO YAKE KIPINDI CHA UCHUMBA KWA MTINDO WA 50/50?"

Nikasisitiza "...ukishindwa 50/50 kwenye uchumba husitegemee kuiishi ukiwa kwenye ndoa...:

Wewe si unapendekeza watu waishi 50/50 kwenye ndoa? Mimi nataka kujua nani huendesha mahusiano ya uchumba kwa mtindo 50/50 kama yupo anyooeshe kidole,maana husipo weza kwenye uchumba basi kwenye ndoa huwezi.
 
As for me.......mimi sina tatizo lolote na ninyi feminine.

Ila kinachonifurahisha zaidi wengi wenu mnajua kabisa kwamba haya hata hao mnaoishi nao mkiwaletea wanawaacha au mmeshaachwa sasa mnarandaranda mitaani kubadilisha mabwana na size za dildos hakuna lingine!
 
Mimi swali langu nimeliuliza based on hiki ulicho kiandika..

".......Na vile vile kwa mfano mume akiweka laki mezani na mke naye aweke laki mezani mahitaji yote ya nyumbani wanunue kwa usawa bills zote walipe kwa usawa, na watoto wao wawahudumie kwa usawa ikiwemo kuwalipia ada na mahitaji yao mengine yote kwa usawa, hiyo ndio maana halisi ya 50 50 siyo mmoja anamtegea mwenzie eti mtu anataka pesa mtafute wote na bills mlipe wote, ila kazi za nyumbani na kulea watoto afanye mmoja na bado huyo mmoja amtii mwenzie na amlee kama anavyowalea watoto wake, what kind of cockamamie logic is this...."

Ndio maana nimewauliza wewe na wanawake wenzako.sija mshambulia mtu..... kama mjifanyie wenyewe evaluation based on mahusiano yenu mliyokuwa nayo......

""Sasa na kuuliza ww na wanawake wenzako, NANI HUENDESHA MAHUSIANO YAKE KIPINDI CHA UCHUMBA KWA MTINDO WA 50/50?"

Nikasisitiza "...ukishindwa 50/50 kwenye uchumba husitegemee kuiishi ukiwa kwenye ndoa...:

Wewe si unapendekeza watu waishi 50/50 kwenye ndoa? Mimi nataka kujua nani huendesha mahusiano ya uchumba kwa mtindo 50/50 kama yupo anyooeshe kidole,maana husipo weza kwenye uchumba basi kwenye ndoa huwezi.
Umeniuliza hivi "wewe si unataka 50/50.... sasa nimekuuliza swali jepesi huko kwenye uchumba 50/50 unaitumia na kama hauitumii why?" sasa hilo siyo personal question au what is a personal question to you, kwani lazima kila ninachokiandika niwe nakifanya au kimenitokea je kama nakiona na nakisikia kwa watu wengine sitakiwi kukiandika hadi kiwe kinanihusu mimi, naweza kuwa siko kwenye mahusiano lakini nawafahamu watu wengi tu walioko kwenye uchumba na wanaiishi hiyo 50/50 hilo halinizuii mimi kuwaongelea na kuwatumia kama mifano

Ndio maana nikakuambia hivi wanawake wengi wanaitaka 50/50 ila hawawezi kukubali kuiishi kwa asilimia mia kwa sababu wanaume bado mnaendekeza mfumo dume, labda nikuulize wewe je mwanamke wako akisema muwe mnasaidiana majukumu ya kutafuta pesa na kuhudumia familia pasu kwa pasu je nawe utakubali kumsaidia majukumu yake ya nyumbani na utakubali asikupe ile heshima na utii kama mume, kama hautakubali basi hiyo ndio sababu kwanini wanawake wengi bado wanasitasita kuiishi hiyo 50/50 yani wanaume mnataka msaidiwe majukumu na bado muendeleze mfumo dume hilo ni gumu kutekelezeka

Kwenye comment yako iliyopita ulisema wanaume huwa wanahudumia wanawake kwenye uchumba sasa kama ni hivyo mbona malalamiko ni mengi kutoka kwa wanaume kuwa wanawake wanapenda kuhudumiwa mara mnawaita ombaomba mara kausha damu, mind you hapa siongelei zile luxury stuffs naongelea hayo hayo mahitaji ya msingi uliyosema ambayo nayo hata mkiombwa huwa mnalalamika lakini hapo hapo huwa mnataka hao wachumba wenu wawape zile treatment za mke, mfano wakija kwenye mageto yenu wawafanyie majukumu ya kimke na kuwapa heshima na utii sasa kama mnaamua kuchagua mfumo fulani kwanini msikubaliane na sifa zinazoambatana na mfumo husika
 
HAKUNA 50/50 KATIKA NDOA.......SHETANI YUPO KAZINI...Hapo ndio shetani atakapo chukua hatamu...!! Katika biblia na Quran hakuna panapooonyesha umoja wa kimadaraka kat ya mume(mwanaume) na mke(mwanamke). Mwanamke lazima awe chini ya mwanaume mana alitokana na mwanaume....!!
Umeoa Mke hakutii PIGA CHINI we mwanaume ww ni MFALME uliumbwa kuutawala ulimwengu mwanamke akaja badaye kuwa msaidizi wako....!!!
MWANAMKE ASIYE NA HESHIMA KWA MUMEWAKE HUYO NI SHETANI...!!
 
As for me.......mimi sina tatizo lolote na ninyi feminine.

Ila kinachonifurahisha zaidi wengi wenu mnajua kabisa kwamba haya hata hao mnaoishi nao mkiwaletea wanawaacha au mmeshaachwa sasa mnarandaranda mitaani kubadilisha mabwana na size za dildos hakuna lingine!
Sasa hao wanaume unaowasemea huwa wanatimiza majukumu yao hawaombi msaada toka kwa wake zao wala kutaka kujua hela zao zinaenda wapi, tatizo linakuja kwa wale wanaotaka kusaidiana maisha na wake zao halafu hapo hapo wanalazimisha mfumo dume, ni lazima wachague moja watimizie majukumu yao na wahudumie wake zao bila vinyongo au la wawape 50/50 wanayotaka
 
HAKUNA 50/50 KATIKA NDOA.......SHETANI YUPO KAZINI...Hapo ndio shetani atakapo chukua hatamu...!! Katika biblia na Quran hakuna panapooonyesha umoja wa kimadaraka kat ya mume(mwanaume) na mke(mwanamke). Mwanamke lazima awe chini ya mwanaume mana alitokana na mwanaume....!!
Umeoa Mke hakutii PIGA CHINI we mwanaume ww ni MFALME uliumbwa kuutawala ulimwengu mwanamke akaja badaye kuwa msaidizi wako....!!!
MWANAMKE ASIYE NA HESHIMA KWA MUMEWAKE HUYO NI SHETANI...!!
Sasa kama mnataka hayo yote timizeni majukumu yenu, hudumieni wake zenu bila kutaka wawasaidie wala kutaka kujua hela zao zinaenda wapi, siyo mnajifanya hamtaki wanawake tegemezi halafu hapo hapo mnataka mfumo dume
 
Umeniuliza hivi "wewe si unataka 50/50.... sasa nimekuuliza swali jepesi wewe kwenye uchumba unatumia 50/50 na kama huitumii why?" sasa hilo siyo personal question au what is a personal question to you, kwani lazima kila ninachokiandika niwe nakifanya au kimenitokea je kama nakiona na nakisikia kwa watu wengine sitakiwi kukiandika hadi kiwe kinanihusu mimi, naweza kuwa siko kwenye mahusiano lakini nawafahamu watu wengi tu walioko kwenye uchumba na wanaiishi hiyo 50/50 hilo halinizuii mimi kuwatumia kama mifano

Ndio maana nikakuambia hivi wanawake wengi wanaitaka 50/50 ila hawawezi kukubali kuiishi kwa asilimia mia kwa sababu wanaume bado mnaendekeza mfumo dume, labda nikuulize wewe je mwanamke wako akisema muwe mnasaidiana majukumu ya kutafuta pesa na kuhudumia familia pasu kwa pasu je nawe utakubali kumsaidia majukumu yake ya nyumbani na utakubali asikupe ile heshima na utii kama mume, kama hautakubali basi hiyo ndio sababu kwanini wanawake wengi bado wanasitasita kuiishi hiyo 50/50 yani wanaume mnataka msaidiwe majukumu na bado muendeleze mfumo dume hilo ni gumu

Kwenye comment yako iliyopita ulisema wanaume huwa wanahudumia wanawake kwenye uchumba sasa kama ni hivyo mbona malalamiko ni mengi kutoka kwa wanaume kuwa wanawake wanapenda kuhudumiwa mara mnawaita ombaomba mara kausha damu, mind you hapa siongelei zile luxury stuffs naongelea hayo hayo mahitaji ya msingi uliyosema ambayo nayo hata mkiombwa huwa mnalalamika lakini hapo hapo huwa mnataka hao wachumba wenu wawape zile treatment za mke, mfano wakija kwenye mageto yenu wawafanyie majukumu ya kimke na kuwapa heshima na utii sasa kama mnaamua kuchagua mfumo fulani kwanini msikubaliane na sifa zinazoambatana na mfumo husika
Umeniuliza hivi "wewe si unataka 50/50.... sasa nimekuuliza swali jepesi huko kwenye uchumba 50/50 unaitumia na kama hauitumii why?" sasa hilo siyo personal question au what is a personal question to you, kwani lazima kila ninachokiandika niwe nakifanya au kimenitokea je kama nakiona na nakisikia kwa watu wengine sitakiwi kukiandika hadi kiwe kinanihusu mimi, naweza kuwa siko kwenye mahusiano lakini nawafahamu watu wengi tu walioko kwenye uchumba na wanaiishi hiyo 50/50 hilo halinizuii mimi kuwaongelea na kuwatumia kama mifano

Ndio maana nikakuambia hivi wanawake wengi wanaitaka 50/50 ila hawawezi kukubali kuiishi kwa asilimia mia kwa sababu wanaume bado mnaendekeza mfumo dume, labda nikuulize wewe je mwanamke wako akisema muwe mnasaidiana majukumu ya kutafuta pesa na kuhudumia familia pasu kwa pasu je nawe utakubali kumsaidia majukumu yake ya nyumbani na utakubali asikupe ile heshima na utii kama mume, kama hautakubali basi hiyo ndio sababu kwanini wanawake wengi bado wanasitasita kuiishi hiyo 50/50 yani wanaume mnataka msaidiwe majukumu na bado muendeleze mfumo dume hilo ni gumu kutekelezeka

Kwenye comment yako iliyopita ulisema wanaume huwa wanahudumia wanawake kwenye uchumba sasa kama ni hivyo mbona malalamiko ni mengi kutoka kwa wanaume kuwa wanawake wanapenda kuhudumiwa mara mnawaita ombaomba mara kausha damu, mind you hapa siongelei zile luxury stuffs naongelea hayo hayo mahitaji ya msingi uliyosema ambayo nayo hata mkiombwa huwa mnalalamika lakini hapo hapo huwa mnataka hao wachumba wenu wawape zile treatment za mke, mfano wakija kwenye mageto yenu wawafanyie majukumu ya kimke na kuwapa heshima na utii sasa kama mnaamua kuchagua mfumo fulani kwanini msikubaliane na sifa zinazoambatana na mfumo husika

1.".......mahusiano lakini nawafahamu watu wengi tu walioko kwenye uchumba na wanaiishi hiyo 50/50 hilo halinizuii mimi kuwaongelea na kuwatumia kama mifano......."

2.".....Ndio maana nikakuambia hivi wanawake wengi wanaitaka 50/50......".

Kuwa mkweli dada hatupo humu kubishana,tuongee uhalisia...... ila hiyo moja na mbili kama wapo hawazidi hata asilimia tatu.

Hivi humu kuna mwanmke siku ya kwanza ya uchumba anapo tolewa out ,bili mwanamke analipia nusu na mwanume nusu...? na ile mitoko mingine ya kipindi cha uchumba mnalipa bili mwendo wa 50/50.

Hivi humu yupo mwanamke hela ya barua ya uchumba, mwanaume na mwanamke hutoa nusu nusu?

Hapo sija zungumzia kodi,mahali,hela ya muda wa maongezi,mavazi na vinginevyo vingi.Hivi hivi vyote kwenye ngazi ya uchumba kuna mwanamke hufanya nusu nusu na mchumba wake?. (Natamani nipate wanawake wengine wanijibu haya maswali).

Kuwa mkweli huwezi kupingana na asili utashindwa,nyie wanawake hii 50/50 hamuowezi na hamtokuja kuiweza,hizi unazo ongea ni imagination na sio reality,amka kwenye hiyo ndoto.
 
Sasa hao wanaume unaowasemea huwa wanatimiza majukumu yao hawaombi msaada toka kwa wake zao wala kutaka kujua hela zao zinaenda wapi, tatizo linakuja kwa wale wanaotaka kusaidiana maisha na wake zao halafu hapo hapo wanalazimisha mfumo dume, lazima wachague moja watimizie majukumu yao na wahudumie wake zao au la wawape 50/50 wanayotaka
Mfano mumeo leo akakwama kodi ya nyumba Tsh 300K akakwamba uilipe na ukailipa basi ndiyo mfumo dume umelazimishwa?sasa kwanini unaenda kazini kama hata 300K huna au unayo na hutaki kuitoa?

Main post pale juu nimekusoma ukisema kitu kama 50/50 as long as wote mnagharamika ndani ya nyumba basi asiwepo wa kumuuliza mwenzake lolote sababu kila mmoja anajiongoza;ukimuangalia huyo mumeo unaeishi nae unaweza leo usirudi nyumbani ukarudi kesho asubuhi akakuelewa utakapomwambia ulikuwa unatafuta hela kwa sababu kuna share yako ktk matumizi ya familia?na kwa sababu wote mnajiongoza hata ikitokea siku msirudi wote basi asiwepo wa kumuuliza mwenzake alikokuwa unaona pana maisha hapo?!

Nyie dada’zangu mnakuwa mmesoma lakini sijawahi kuona elimu zenu zikiwasaidia zaidi ya ku-earn hizo laki 8 au million na IST za mkopo kuuzia sura mjini ila kiukweli elimu ndiyo inazidi kuudidimisha uanamke wenu,sasa kama umesoma na ume-come up na mawazo haya huyo asiyesoma atakuwaje?
 
........Kwanza hapo huyo mke anakuwa siyo msaidizi tena bali ni kama business partner tu hivyo ondoa kichwani suala la kumlazimisha akutii, hivi mnadhani mwanamke aliambiwa amtii mwanaume kwa misingi gani kama siyo kuhudumiwa maana huwezi kukitawala kiumbe usichokihudumia, hakuna binadamu mwenye akili timamu anayefurahia kutawaliwa na binadamu mwenzie asiyewajibika kwa lolote juu yake na kiuhalisia ukitoa huduma zinazohusisha pesa hakuna wajibu mwingine mwanaume alionao juu ya mwanamke.......
Ameongea kimapokeo ila nadharia ya msingi au asili ilikuwa kumlisha na kumlinda mwanamke huyo naye awe mtiifu kwa mume. Maswala ya pesa hayakuwepo huko mwanzo.
 
Haki sawa inahubiriwa kwenye vitu simple

Hususani kwenye mgawanyo wa mali ndio sera hii inatumika sana.

Kwenye mambo magumu hili swala halipo na hata wao wanajua.

50/50 ni myths ya wanaharakati wa mitandaoni wala haipo applied mitaani.

Dada zetu wanaamini huo ndio mfumo uliokuja kumuokoa mwanamke lakini binafsi naona majibu ni tofauti.

Mwanaume akiwa na hela wakivunja ndoa na mkewe utasikia 50/50 kwenye mali.

Mwanamke mwenye hela akiolewa na na mwanaume choka mbaya then ndoa ikavunjika, mwanaume ataondoka kama alivyokuja. Hapo hakuna tena 50/50.
Wanaitakaga hio kwenye mambo ambayo wananufaika nayo tu.
 
HAKUNA 50/50 KATIKA NDOA.......SHETANI YUPO KAZINI...Hapo ndio shetani atakapo chukua hatamu...!! Katika biblia na Quran hakuna panapooonyesha umoja wa kimadaraka kat ya mume(mwanaume) na mke(mwanamke). Mwanamke lazima awe chini ya mwanaume mana alitokana na mwanaume....!!
Umeoa Mke hakutii PIGA CHINI we mwanaume ww ni MFALME uliumbwa kuutawala ulimwengu mwanamke akaja badaye kuwa msaidizi wako....!!!
MWANAMKE ASIYE NA HESHIMA KWA MUMEWAKE HUYO NI SHETANI...!!
Hapa hakuna cha shetani wala mama yake shetani kuwa kazini hapa kinachojidhihiri ni baadhi ya viumbe kuwa na uelewa mdogo kuhusu mazingira ya dunia hii.

Ktk hili shetani awekwe pembeni.
 
Back
Top Bottom