Tapeli hili apa limewaingiza mkenge kwamba linagawana Mali za uizi na mungu wakeUkkristo ni utapeli
Koran8:1. Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Allah na Muhammad.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tapeli hili apa limewaingiza mkenge kwamba linagawana Mali za uizi na mungu wakeUkkristo ni utapeli
Yesu hayupo kwenye Koran wala uislam, uislam na Koran una mtu anaitwa Issa ambae babu yake ni ImranYesu katika Uislamu amejaa tele
Eti Mungu ndiye muasisi wa dini zote? unajiskia unachokisema lakini?Mbinguni hakuna dini.
Yupo Mungu ambaye ndiye muasisi wa dini zote.
Tulia tu hapo ulipo, je ukienda kwingine isipopapenda itakuwaje ?
Ukitaka hivo basi hata huyo mnaemuita Yesu yeye mwenyewe halijui hilo jina!Yesu hayupo kwenye Koran wala uislam, uislam na Koran una mtu anaitwa Issa ambae babu yake ni Imran
Acha kutumia takiya
Hakuna Yesu ambae babu yake ni ImranUkitaka hivo basi hata huyo mnaemuita Yesu yeye mwenyewe halijui hilo jina!
AminJiweke wazi ndugu , uungane na ndugu zako katika kumuabudu Mungu muumba wa mbingu na ardhi.
Uislamu wa moyoni haiwezi kukufaa kwa lolote Hadi utamke kwa ulimi baada ya kuamini moyoni kwamba hapana mwenye kuabudiwa, kunyenyekewa, kupendwa, kusujudiwa na kuogopwa kwa haki isipokuwa Allaah na uamini moyoni na utamke kwa ulimi kwamba Muhammadi ni mja na mtume wa Allaah na baada ya hapo usimamishe swala Tano, utoe zaka kama una uwezo , ufunge mwezi wa Ramadhani na ukafanye ibada ya hijja makka kama una uwezo , ufuate yote aliyoyaamrisha Allaah na mtu wake na uache yote aliyoyakataza Allaah na mtume wake. Huna haja ya kumuogopa mke Wala familia yako kwa sababu hao I'ma utakufa na kuwaacha duniani au wao watakufa na kukuacha wewe duniani lakini Allaah yupo na wewe duniani Hadi Akhera huwezi kuachana nae.
KARIBU SANA KATIKA UISLAMU.
Swali gumu hili kwa mtu kama huyu ambaye amegeuka na kuwa nguzo ya chumvi.Swali hili likusaisldie: Wewe ni mkirsto wa Mchungaji/nabii/dini/dhehebu, au mkirsto wa Yesu Kristo?
Naughty by nature, post: 48023315, member: 696661 Hakuna ukristo unaohamasisha ushenzi kama huo. "Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? msidanganyike, waasherati hawata urithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala WAFIRAJI, wala WALAWITI, ... wala walevi, wala watukanaji..." 1 WAKORINTHO 6:9..Ukristo unahamasisha
Ah pointless kijana sasa kugawanya nyanya ilo ni jukumu lake sio la muuzaji etyTwende na fact kashfa hazifunzi hapa tunawekana sawa kwa yale tunayoweza tukawa hatuyajui,pale juu nimekuuliza Tanzania hii waislam wangapi unaowajua wewe wanaweza kuoa wake zaidi ya mmoja wakawazalisha wakaa-afford kufanya aliyofanya baba yako kama ulivyojinasibu hapa?
Naishi Dar naishi na jamii yenu hunidanganyi kitu,baadhi ya mahitaji ya familia yangu huwa naenda mwenyewe kuchukua sokoni kuna siku nimekuta aliyenitangulia kwa muuzaji wanapigishana makelele kwamba mteja anataka nyanya zake chungu ziwekwe kwenye vifuko zaidi ya kimoja kwa kipimo sawa muuzaji anaona ni hasara yeye anamuelewesha kwamba ana familia zaidi ya moja na lazima wapate sawa.
Unadhani baba yako angekuwa na maisha haya ungekuwa ulivyo leo eti!
Lakini yupo Yesu asiyejijua kama jina lake ni Yesu, au sio?Hakuna Yesu ambae babu yake ni Imran
Isa akija kwenye vitabu vya biblia tunnamuweka na Musa na haruni kitu ambacho hakiwezekani
Hatuongelei jina , ninekupa maelezo kwamba Issa hayupo kwenye biblia kutoka na kuwa na babu Imran na ndugu na haruniLakini yupo Yesu asiyejijua kama jina lake ni Yesu, au sio?
Kwani wewe unamuabudu Muhammad ama unamuamini yeye na alichokuletea???Ndio Mashia hawamuamini Muhammad wao mtume wao ni mwingine kabisaa
Wanamkubali Allan ila Muhammad hawamkubali na wanamzushia mengi tu
Ukitaka Elimu kaa chini Usome kwa wenye Elimu Sahihi
Niishie hapa
Jifunze kwanza kuandika ndio uje ujibu nilichoandika. Angalizo nimeandika vya kuletewa hata ukristo umeletwa acha mihemko kafiriKwani wakati ukirito inaletwa Afrika waliwafundisha disiko viminj mazingaombwe kulia usiku na mchana uragai?
Mh mbona mungu wenu alikua malaya hatusemi. Jitu lina wanawake kama wote😂😂😂😂mungu wa ukweli aliyeumba mbingu na ardhi na asie kuwa na mtoto mungu huyo ndie atakaekuokoa kutoka kwenye giza kuja kwenye mwanga uislamu, wahi usichelewe mauti ya kakukuta upo huko hasara kwako utazikwa na tai na suti