Mimi ni Mkristu ila nimeamua kukiri kwa ridhaa yangu kua Uislamu ndio dini ya haki ya mwenyezi Mungu

Mimi ni Mkristu ila nimeamua kukiri kwa ridhaa yangu kua Uislamu ndio dini ya haki ya mwenyezi Mungu

Hiyo dini ya haki inawalipa sh ngapi hao wafuasi wao,? Maana mwisho wa yote no đź’° no maisha, kwahyo hata ujue kabisa bila pesa usingeweza kupost hata hichi ulichopost.
Tafuta elaaa wachana na haki na ujinga mwingne.
 
bibilia si maneno ya mungu
Umenena kweli, biblia si maneno ya mungu - kwakuwa mungu ni shetani.
2 Kor 4:4-6 SUV
ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu.

Ninayemuabudu mimi haitwi mungu. Anaitwa Mungu
Yohana 4:23-24:
"Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli; kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu. Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli."
 
Nimezaliwa kwenye Ukristu na nimekulia kwenye imani ya kikristu ila baada ya kupata akili nimegundua kua Uislamu ndio dini ya haki

Ukristu umekua kama kichwa cha mwendawazimu kila kanjanja anaingiza maigizo yake ukristu umekua dini ya ajabu mpk inafikia hatua mtu unaona aibu kujiita mkristu ni vituko kila kukicha.

Tumeshuudia pastor anaogesha wanawake madhabahuni...manabii wanatabiri mambo ya uongo...juzi tumeshuhudia wachungaji wanalambana ndimi...ni mambo machafu yanayoendelea kwenye Ukristu na mbaya zaidi Wakristu wenyewe hawana uchungu na dini yao wao wanachoamini ni kua Mungu mwenyewe atajipigania na dini yake.mnaacha kukemea uchafu mungu aje akemee kwa niaba yenu?!

Uislamu ndo dini ya haki na wenye dini yao wanajua kukemea mambo ambao yako kinyume na dini yao hata kama yapo ndani ya utandawazi lakini ni lazima yawe yanaendana na mafundisho ya mtume wao.

Anachoamini Muislamu wa Tanzania ndo hiko hiko anachoamini muislamu alieko Kenya ..Nigeria..Saudia na kwingineko...kwa mfano Muislamu anaetoka saudia leo hii anaweza kuingia kwenye msikiti wowote wa hapa Tanzania na akaswali bila tatizo lolote kwasababu ni dini iliyonyooka na aina maigizomaigizo tofauti na Ukristo ambao kila mchungaji anataka kubuni la kwake kutoka kwenye kichwa chake

Hatukatai kwamba kuna tofauti zipo za kiimani ndani ya Uislamu lakini tofauti ni za kutafuta kumlingania allah na pia tofauti zao zina hoja ya mafundisho ndani ya quran hadithi na sunnah za mtume wao na hata kama zinaweza kua ni hoja dhaifu ila lengo ni kujenga na kuitafuta kweli lakini sio maigizo ya sisi wakristu ambayo mengine ni kufuru hata mungu mwenyewe akiona anaona aibu

Ingefaa sana kama dunia nzima ingekua na dini moja uislamu naamini maovu yangepungua ulimwenguni kama kuna muislamu atakaesoma hili bango naomba anipe utaratibu wa kuslimu nimechoka na komedi na utapeli wa sisi makafiri

Sijaongea haya kwa ubaya au kutafuta kuleta chuki kwa waislamu na wakristu ila kama wakristu inabidi wajitafakari Ukristu wao unaelekea kubaya. Dini haina fomula maalum kila mtu anatafsiri maandiko kwa namna yake kwa faida yake na wengine kwa ajili ya kupiga hela.

Umesema umeamua kwenda kwenye uislam, sasa unaleta andiko lako hapa la nini, kama siyo unafiki?? Nenda kimya kimya huko unakokuamini. Umewahi kusikia hata wanaoenda kwa waganga wa kienyeji, wanaleta maandiko yao hapa.
Ila jambo moja hzingatie kuwa hutaurithi ufalme wa mbingu kwa kwenda kwenye dini fulani, bali kwa matendo yako yanayompendeza Mungu.

Na ufahamu kuwa kwenye dini zote, wapo waovu. Hata Yesu alivyokuja Duniani aliwakuta mafarisayo waliosali kila siku, wenye kufunga mara 3 kwa wiki, lakini Masiha Kristo kwa kuwa alikuwa na uwezo wa kuyaona yaliyopo kwenye mioyo yao, aluwaambia, "Ole wenu mafarisayo na waandishi kwa sababu mnafanana na makaburi yaliyopambwa kwa nje, lakini ndani yamejaa uchafu". Wewe utaukosa ufalme wa mbingu kwa sababu ya matendo yako, siyo kwa sababu ya mchungaji.
 
Skia Nikwambie acha ujuaji wa ki puuzi, yaani ni sawa na mtu aulize kuhusu chakula kizuri cha kumpa afya alafu eti wewe una mshauri alale njaa kisa wewe huna hela , ajakwambia haamini mungu na ndio maana kataja ukristo na uislamu, sasa je wewe upo wapi hapo
Mfano wako hauhusiani na hoja zangu.

Hoja zangu zimejikita katika kuthibitisha ukweli.

Huo mfano wako haujajikita katika kuthibitisha ukweli.

This logical fallacy is called non sequitur.

Wewe hujui tofauti ya "ajakwambia" na "hajakwambia", "alafu" na "halafu", hata herufi za Kiswahili hujui.
 
Mfano wako hauhusiani na hoja zangu.

Hoja zangu zimejikita katika kuthibitisha ukweli.

Huo mfano wako haujajikita katika kuthibitisha ukweli.

This logical fallacy is called non sequitur.

Wewe hujui tofauti ya "ajakwambia" na "hajakwambia", "ujui" na "hujui", "alafu" na "halafu", hata herufi za Kiswahili hujui.
Inaonekana philosophy imekuharibu mkuu
 
Tofauti yao hawa wanaabudu Mungu hao waroma wanaabudu sanamu
Hilo jiwe jeusi ni Mungu?

Hili jiwe jeusi ambalo watu wanalipia mawe kumpiga shetani kumbe ni Mungu nilikuwa sijui kuwa Mungu anaishi maka
FB_IMG_1741263761448.jpg
 
Nini kilikufanya uamini hivyo
Kwanza kabisa, sikuamini hivyo.

Katika muktadha wa mantiki, nilielewa, nilithibitisha, nilifahamu kuwa Mungu huyo hayupo.

Kwa kutumia mantiki, kwa kutumia proof by contradiction, kwa kutumia Epicurean Paradox, kwa kutumia the problem of evil, kwa kutumia mutual exclusivity.
 
Hilo jiwe jeusi ni Mungu?

Hili jiwe jeusi ambalo watu wanalipia mawe kumpiga shetani kumbe ni Mungu nilikuwa sijui kuwa Mungu anaishi makaView attachment 3261851
Sasa unasema wanalipiga mawe alafu unauliza tena ni mungu? We uliona wapi Mungu anapigwa mawe?

anyway Kumbe wanalipiga mawe hawaliabudu? Haya leta elfu 40 ninunue mifuko miwili ya cement nikutengenezee kasanamu kako na wewe uwe unakaomba toba na baraka kama huyu mwenzako
downloadfile.png
 
Nimezaliwa kwenye Ukristu na nimekulia kwenye imani ya kikristu ila baada ya kupata akili nimegundua kua Uislamu ndio dini ya haki

Ukristu umekua kama kichwa cha mwendawazimu kila kanjanja anaingiza maigizo yake ukristu umekua dini ya ajabu mpk inafikia hatua mtu unaona aibu kujiita mkristu ni vituko kila kukicha.

Tumeshuudia pastor anaogesha wanawake madhabahuni...manabii wanatabiri mambo ya uongo...juzi tumeshuhudia wachungaji wanalambana ndimi...ni mambo machafu yanayoendelea kwenye Ukristu na mbaya zaidi Wakristu wenyewe hawana uchungu na dini yao wao wanachoamini ni kua Mungu mwenyewe atajipigania na dini yake.mnaacha kukemea uchafu mungu aje akemee kwa niaba yenu?!

Uislamu ndo dini ya haki na wenye dini yao wanajua kukemea mambo ambao yako kinyume na dini yao hata kama yapo ndani ya utandawazi lakini ni lazima yawe yanaendana na mafundisho ya mtume wao.

Anachoamini Muislamu wa Tanzania ndo hiko hiko anachoamini muislamu alieko Kenya ..Nigeria..Saudia na kwingineko...kwa mfano Muislamu anaetoka saudia leo hii anaweza kuingia kwenye msikiti wowote wa hapa Tanzania na akaswali bila tatizo lolote kwasababu ni dini iliyonyooka na aina maigizomaigizo tofauti na Ukristo ambao kila mchungaji anataka kubuni la kwake kutoka kwenye kichwa chake

Hatukatai kwamba kuna tofauti zipo za kiimani ndani ya Uislamu lakini tofauti ni za kutafuta kumlingania allah na pia tofauti zao zina hoja ya mafundisho ndani ya quran hadithi na sunnah za mtume wao na hata kama zinaweza kua ni hoja dhaifu ila lengo ni kujenga na kuitafuta kweli lakini sio maigizo ya sisi wakristu ambayo mengine ni kufuru hata mungu mwenyewe akiona anaona aibu

Ingefaa sana kama dunia nzima ingekua na dini moja uislamu naamini maovu yangepungua ulimwenguni kama kuna muislamu atakaesoma hili bango naomba anipe utaratibu wa kuslimu nimechoka na komedi na utapeli wa sisi makafiri

Sijaongea haya kwa ubaya au kutafuta kuleta chuki kwa waislamu na wakristu ila kama wakristu inabidi wajitafakari Ukristu wao unaelekea kubaya. Dini haina fomula maalum kila mtu anatafsiri maandiko kwa namna yake kwa faida yake na wengine kwa ajili ya kupiga hela.
Haya mzee wa uarabuni umesikika. Kwani Ulisema wewe ni muislam nani atakupinga ? Una haki zote kutangaza uislam wako bila kudanganya na kujifanya eti mkristo. Imani zote ni za kiulimwengu, kuanzia waroma, wasabato, Anglican nk,, kasoro EAGT kwa aina zake. Somo la wasabato la jumamosi hii ni la dunia nzima. Somo la waroma la Juma hili la dunia nzima. Waislam hawana umaalum kuliko wengine.
 
Kumbe wanalipiga mawe hawaliabudu? Haya leta elfu 40 ninunue mifuko miwili ya cement nikutengenezee kasanamu kako na wewe uwe unakaomba toba na baraka kama huyu mwenzakoView attachment 3261859
Hao ni Waromani ambao ndio walianzisha Uislamu

Ndio maana wote mnaabudu masanamu na mawe

Unawacheka wakatoliki ,hujui hao ndio mabosi zenu

Ona wenzako Hawa wanaabudu jiwe jeusi la makka

Eti dini ya haki
FB_IMG_1741290421433.jpg
FB_IMG_1741290409482.jpg
 
Ukishaongelea dini, tayari ushamtoa Mungu umeweka tamaduni za watu. If there's one powerful God, there's no religion.
Hizi upuuzi sijui hii ya haki, hii ya sanamu, hii ya ng'ombe, ni kulishana ujinga tu ili utawalike vizuri. Dini ni kama vyama vya siasa, kimoja kina nguvu kingine kina upinzani
 
Back
Top Bottom