Mimi ni Mkristu ila nimeamua kukiri kwa ridhaa yangu kua Uislamu ndio dini ya haki ya mwenyezi Mungu

Mimi ni Mkristu ila nimeamua kukiri kwa ridhaa yangu kua Uislamu ndio dini ya haki ya mwenyezi Mungu

Huna ujualo. Na aliewadanganya ndio hovyo kabisa, Paulo kaamzisha kanisa gani kwa mfano? Waislam bana, wanahangaika na Paulo bila kujua kanisa lilivyoanza. Shida ata mtume wenu hakuwa anajua kusoma kwahiyo nae alikuwa anaskiliza story anachanganya na zake, na majini tena yale kichwani ukiweka na hallucinations dah. 😅 Eti Paulo.

Paulo anakwambia

Warumi 7

18 Kwa maana ninafahamu kwamba hakuna wema wo wote ndani yangu mimi, yaani katika mwili wangu wa asili. Ingawa nina nia ya kutenda lililo jema, lakini ninashindwa kulitenda. 19 Sitendi lile jema nipendalo bali lile ovu nisilopenda, ndilo nitendalo. 20 Basi kama ninafanya lile nisilopenda kufanya, si mimi tena nifanyaye hivyo, bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu.
 
Yes Ni zaidi ya wazazi wangu. Sababu maishani Kuna Mambo ambayo wazazi wanaweza kuyamudu kukusaidia na wakaweza. Lkn Kuna Mambo ambayo ukiwaambia wazazi wakusaidie wanaweza kubaki wanalia tu kwa kushindwa wafanye Nini. Happy ndipo mfalme wa amani anapohusika Sasa.
Siyo nyie mnaojinadi kuwa Mzazi ni Mungu wa pili?

Na je wasiyomuamini huyo yesu wako wanasaidiwa na nani?

Huyo yesu kasaidia nini ktk matatizo ya dunia hii ikiwemo magonjwa,vita,ibadhirifu,nk iwapo anaweza ambayo Wazazi hawezi?

Mzazi kakunyonyesha,kakusomesha,kakupa chakula,nk je huyo yesu amewahi kukipa chakula?

Nyie wenyewe mnajinadi kuwa yesu ana mzazi wake ambaye ni mariam sasa iweje yesu awe zaidi ya mzazi wake aliyemleta duniani?

My friend za kulishwa boost na za kwako inamaana yesu ni bora kuliko mariam?
 
Paulo anakwambia

Warumi 7

18 Kwa maana ninafahamu kwamba hakuna wema wo wote ndani yangu mimi, yaani katika mwili wangu wa asili. Ingawa nina nia ya kutenda lililo jema, lakini ninashindwa kulitenda. 19 Sitendi lile jema nipendalo bali lile ovu nisilopenda, ndilo nitendalo. 20 Basi kama ninafanya lile nisilopenda kufanya, si mimi tena nifanyaye hivyo, bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu.
Ebu wekeni wazi nani aliyekuwa anaandika hayo aliyoyasema paulo,yesu,issa,nk wakati kipindi hicho hawakujua kusoma wala kuandika??
 
Huna ujualo. Na aliewadanganya ndio hovyo kabisa, Paulo kaamzisha kanisa gani kwa mfano? Waislam bana, wanahangaika na Paulo bila kujua kanisa lilivyoanza. Shida ata mtume wenu hakuwa anajua kusoma kwahiyo nae alikuwa anaskiliza story anachanganya na zake, na majini tena yale kichwani ukiweka na hallucinations dah. 😅 Eti Paulo.

Endelea kumfuata kichaa

1741521073346.jpeg
 
Mkristo wa kanisa lolote. Kanisani huendi kumfata mchungaji, unapeleka moyo wako ulio wazi kwa yesu.
Uwe mkristo wa kanisa lipi , kwani kuna madhehebu ya Baptist tu peke yake zaidi ya elfu 10 tofauti, hujaja madhehebu mengine . Halafu biblia ndio hazina idadi na kila moja inasema vyake
 
Paulo anakwambia

Warumi 7

18 Kwa maana ninafahamu kwamba hakuna wema wo wote ndani yangu mimi, yaani katika mwili wangu wa asili. Ingawa nina nia ya kutenda lililo jema, lakini ninashindwa kulitenda. 19 Sitendi lile jema nipendalo bali lile ovu nisilopenda, ndilo nitendalo. 20 Basi kama ninafanya lile nisilopenda kufanya, si mimi tena nifanyaye hivyo, bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu.
Sasa kwani hiyo verse ina shida gani? Au unataka kuleta tafsiri yako wewe maamuma usiejua exegesis yake? Muislam koma na kamwe hutokaa unifundishe kuhusu ukristo wala historia ya bibilia. Unadhani hiyo ni kama makori
Kichaa ni Muhammad alafu huwezi kunifundisha kuhusu bibilia kamwe muislam. Hujui mantiki wala context ya hivyo vitabu. Bibilia hairukiwirukiwi kama makorokocho yenu ya kiarabu. Alafu kanisa lilianzishwa na Petro, na ndio Papa wa kwanza, Paulo hajawahi kuwa papa. Wajinga kweli.
 
Mkristo wa kanisa lolote. Kanisani huendi kumfata mchungaji, unapeleka moyo wako ulio wazi kwa yesu.

Jehovah witness hawamtambui Yesu kama ni mungu , Mkatoliki anamuona ni mungu , Kuna gay church wanaona yesu aliruhusu ushoga , wewe utafuata ?? kuna Satanic church wanamwona yesu ni shetani jee wewe utafuata ??
 
Sasa kwani hiyo verse ina shida gani? Au unataka kuleta tafsiri yako wewe maamuma usiejua exegesis yake? Muislam koma na kamwe hutokaa unifundishe kuhusu ukristo wala historia ya bibilia. Unadhani hiyo ni kama makori

Kichaa ni Muhammad alafu huwezi kunifundisha kuhusu bibilia kamwe muislam. Hujui mantiki wala context ya hivyo vitabu. Bibilia hairukiwirukiwi kama makorokocho yenu ya kiarabu. Alafu kanisa lilianzishwa na Petro, na ndio Papa wa kwanza, Paulo hajawahi kuwa papa. Wajinga kweli.

Umekusudia biblia ipi ilyokuwa hairukiwi rukiwi kama makorokocho , ni Gay bible, Satanic bible , NKJV QJV, AV, au maelfu ya biblia zilizo tofauti ??
 
Jehovah witness hawamtambui Yesu kama ni mungu , Mkatoliki anamuona ni mungu , Kuna gay church wanaona yesu aliruhusu ushoga , wewe utafuata ?? kuna Satanic church wanamwona yesu ni shetani jee wewe utafuata ??
Kama wanatumia biblia unasali lkn kwa kupima je neno linalotoka Ni la uzima?

Utapata hasara Kama umeenda bila yesu. Lkn Kama yesu unae hakuna wa kukuweza Bali wewe utawabadili wao.
 
Nimezaliwa kwenye Ukristu na nimekulia kwenye imani ya kikristu ila baada ya kupata akili nimegundua kua Uislamu ndio dini ya haki

Ukristu umekua kama kichwa cha mwendawazimu kila kanjanja anaingiza maigizo yake ukristu umekua dini ya ajabu mpk inafikia hatua mtu unaona aibu kujiita mkristu ni vituko kila kukicha.

Tumeshuudia pastor anaogesha wanawake madhabahuni...manabii wanatabiri mambo ya uongo...juzi tumeshuhudia wachungaji wanalambana ndimi...ni mambo machafu yanayoendelea kwenye Ukristu na mbaya zaidi Wakristu wenyewe hawana uchungu na dini yao wao wanachoamini ni kua Mungu mwenyewe atajipigania na dini yake.mnaacha kukemea uchafu mungu aje akemee kwa niaba yenu?!

Uislamu ndo dini ya haki na wenye dini yao wanajua kukemea mambo ambao yako kinyume na dini yao hata kama yapo ndani ya utandawazi lakini ni lazima yawe yanaendana na mafundisho ya mtume wao.

Anachoamini Muislamu wa Tanzania ndo hiko hiko anachoamini muislamu alieko Kenya ..Nigeria..Saudia na kwingineko...kwa mfano Muislamu anaetoka saudia leo hii anaweza kuingia kwenye msikiti wowote wa hapa Tanzania na akaswali bila tatizo lolote kwasababu ni dini iliyonyooka na aina maigizomaigizo tofauti na Ukristo ambao kila mchungaji anataka kubuni la kwake kutoka kwenye kichwa chake

Hatukatai kwamba kuna tofauti zipo za kiimani ndani ya Uislamu lakini tofauti ni za kutafuta kumlingania allah na pia tofauti zao zina hoja ya mafundisho ndani ya quran hadithi na sunnah za mtume wao na hata kama zinaweza kua ni hoja dhaifu ila lengo ni kujenga na kuitafuta kweli lakini sio maigizo ya sisi wakristu ambayo mengine ni kufuru hata mungu mwenyewe akiona anaona aibu

Ingefaa sana kama dunia nzima ingekua na dini moja uislamu naamini maovu yangepungua ulimwenguni kama kuna muislamu atakaesoma hili bango naomba anipe utaratibu wa kuslimu nimechoka na komedi na utapeli wa sisi makafiri

Sijaongea haya kwa ubaya au kutafuta kuleta chuki kwa waislamu na wakristu ila kama wakristu inabidi wajitafakari Ukristu wao unaelekea kubaya. Dini haina fomula maalum kila mtu anatafsiri maandiko kwa namna yake kwa faida yake na wengine kwa ajili ya kupiga hela.
Takbiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiir!!!!!!!
 
Haya soma alicho sema yesu

Mathayo 19
10. Wanafunzi wake wakamwambia, Mambo ya mtu na mkewe yakiwa hivyo, haifai kuoa.
11. Lakini yeye akawaambia, Si wote wawezao kulipokea neno hili, ila wale waliojaliwa.
12. Maana wako matowashi waliozaliwa hali hiyo toka matumboni mwa mama zao; tena wako matowashi waliofanywa na watu kuwa matowashi; tena wako matowashi waliojifanya kuwa matowashi kwa ajili ya ufalme wa mbinguni. Awezaye kulipokea neno hili, na alipokee.
Hii ni "reported speech" siyo yesu aliyeandika haya maandiko mjitambue unajua ujinga ukizidi unakuwa dhambi, ilipaswa yesu aandike mwenyewe siyo watu ambao ni wakoloni ndiyo waje kuandika baadae wakati ueye aliyesema hayupo na wao hawakuwepo wakati anasema.
 
Siyo nyie mnaojinadi kuwa Mzazi ni Mungu wa pili?

Na je wasiyomuamini huyo yesu wako wanasaidiwa na nani?

Huyo yesu kasaidia nini ktk matatizo ya dunia hii ikiwemo magonjwa,vita,ibadhirifu,nk iwapo anaweza ambayo Wazazi hawezi?

Mzazi kakunyonyesha,kakusomesha,kakupa chakula,nk je huyo yesu amewahi kukipa chakula?

Nyie wenyewe mnajinadi kuwa yesu ana mzazi wake ambaye ni mariam sasa iweje yesu awe zaidi ya mzazi wake aliyemleta duniani?

My friend za kulishwa boost na za kwako inamaana yesu ni bora kuliko mariam?
Mzazi Ni Mungu wa pili. Yaani unaleta nahau kwenye imani. Hii Ni nahau za mitaani huko acha kuchanganya mambo.

Nitakuuliza swali na unijibu usilete mbwembwe hapa.
Ikiwa mzazi wako amekulea amekulisha na kukuvisha Hadi unakua then ukashindwa kumuheshimu, ukamdharau ukamkana mbele ya ndugu jamaa na marafiki utapata matatizo gani maishani?
 
Kama wanatumia biblia unasali lkn kwa kupima je neno linalotoka Ni la uzima?

Utapata hasara Kama umeenda bila yesu. Lkn Kama yesu unae hakuna wa kukuweza Bali wewe utawabadili wao.
Ujinga yesu si chochote wala lolote angekuwa wa maana wewe hapo unayemfia siungekuwa na hali tofauti kwa yeye kukuwezesha kila kitu
 
Mzazi Ni Mungu wa pili. Yaani unaleta nahau kwenye imani. Hii Ni nahau za mitaani huko acha kuchanganya mambo.

Nitakuuliza swali na unijibu usilete mbwembwe hapa.
Ikiwa mzazi wako amekulea amekulisha na kukuvisha Hadi unakua then ukashindwa kumuheshimu, ukamdharau ukamkana mbele ya ndugu jamaa na marafiki utapata matatizo gani maishani?
Wewe ni mjinga na unafuata mkumbo hujui ulikotoka,ulipo na unakokwenda ,hivi unapinga kuwa wafia dini mnajinadi MZAZI ni Mungu wa pili pia waheshimu wazazi wako upate kuishi miaka mingi duniani?

Kinachowasimbua Wafia dini ni unafiki na uongouongo tu kwa kukariri ujinga,MZAZI akichukizwa kwa matendo yako mabaya baada ya kukuapiza na akakulaani lazima utadhurika lakini leo hii wangapi mnaapa kwa biblia na misahafu kupitia majina ya yesu na muhamadi na bado mkafanya maovu na msidhurike??

Wachungaji,maaskofu,mapadei,nk wangapi wanawaibia watu mali na pesa kwa kisingizio cha sadaka na zaka na kuwa matajiri wakubwa na kuwaacha waumini wao wakiwa masikini huku wao wakilindwa na mabodigadi/walinzi na silaha kwanini wasilindwe na huyo "yesu" wako?

Yesu si chochote wala lolote ni mhusika mkuu ktk kitabu cha riwaya cha biblia na hao wengine walio ktk biblia ni wahusika wadogowadogo kama walivyo wahusika wengine kwenye riwaya zoote za kusadikika/fiction
 
Jibu maswali shetani wewe acha kejeli.
Ni kujibu swali gani ambalo sijakujibu? Hivi mimi na wewe nani anastahili kuwa shetani iwapo unamtangulia yesu mzungu wa kuhadithiwa usiye na nasaba naye na kuwakana wazazi wako ambao ni nasaba yako?
 
"nyoka in said:
Mzazi Ni Mungu wa pili. Yaani unaleta nahau kwenye imani. Hii Ni nahau za mitaani huko acha kuchanganya mambo.

Nitakuuliza swali na unijibu usilete mbwembwe hapa.
Ikiwa mzazi wako amekulea amekulisha na kukuvisha Hadi unakua then ukashindwa kumuheshimu, ukamdharau ukamkana mbele ya ndugu jamaa na marafiki utapata matatizo gani maishani?"

Hivi hapa kuna swali gani unataka nikujibu nini wakati umeshajijibu kuwa MZAZI ananguvu ukimdharau au kutomuheshimu utapata matatizo maishaishani/LAANA sasa yesu ana nguvu gani iwapo waislam wanamtukana kila leo na kumdhihaki lakini hawapati matatizo wala kudhurika??

Jikomboe kifikra na ujitambue yesu au muhamad si chochote ukilinganisha na WAZAZI kwani hata wao walizaliwa na WAZAZI WAO kwa njia ileile ya sex, kwa kuwa wafia dini mpo kutetea ujinga mliolishwa na mabwana zenu haya komaa na akili zako kuwa yesu ni zaidi!!
 
Hii ni "reported speech" siyo yesu aliyeandika haya maandiko mjitambue unajua ujinga ukizidi unakuwa dhambi, ilipaswa yesu aandike mwenyewe siyo watu ambao ni wakoloni ndiyo waje kuandika baadae wakati ueye aliyesema hayupo na wao hawakuwepo wakati anasema.
Atuangalii nani kaandika tunacho angalia alicho andikika ni cha HAKI na CHEMA na KWELI hata elimu ya dunia tunayo soma imetoka kwa hao hao wakoloni
 
Kwa uandishi huu we ni muislam tangu zamani.
Sasa sikia, Mungu hahitaji mwanadamu apiganie dini yake, tupo sahihi kabisa kutokuwa na upuuzi wa kupigania dini. Mwenye dini yake ndo anajua atafanya nini ili iendelee.
Ukristo sio matendo ya wachungaji, ukristo ni mafundisho yaliyo ndani ya bible. Ikiwa bible ina mafundisho ya hovyo hapo upo sahihi kuhama ila kama unahama kwa sababu ya maovu ya watu wengine then you are wrong.

Uislam ni dini yenye mafundisho ya kipumbavu saaaana, nakushauri pitia kwanza mafundisho yao ndo ujiunge nao. Ukikurupuka tu tutajikuta upo kwa wapumbavu
Shida ya Uislam kuingia ni sekunde mbili, ila kutoka adhabu yake ni KIFO.
 
Back
Top Bottom