codes
JF-Expert Member
- Jan 13, 2015
- 344
- 514
Unashabikia ujinga wewe acha hizo kalale bhana.
Kwamba Jambo fulani ni la kijinga or not ;inategemea na Uelewa,mtizamo na ufahamu(IQ) wa mtu anayelitafakari jambo husika.Lina weza kuwa la kijinga kwa uelewa,mtizamo na IQ yako ,afu ni la maana kwa watu wengine.
Hope you have got me@ClaudiaEliakimu