Unashabikia ujinga wewe acha hizo kalale bhana.
serikali tayari inazo mahakama za kiserikali. Ilizianzisha na inazigharamia. Upande wa pili wanazo tatatibu zao za kimahakama za kushughulika na masuala ya waumini wake. Hata gharama zake hazitoki serikalini. Ugunu upo wapi kwa waislamu kuanzisha mahakama zake na kuziendesha? Hawaoni kuwa serikali inaweza kuzianzisha zikiwa na mapingufu kadhaa? Tuamke waislam na tuwe na chetu! Tuanzishe na serikali isituinhilie!
kwamba jambo fulani ni la kijinga or not ;inategemea na uelewa,mtizamo na ufahamu(iq) wa mtu anayelitafakari jambo husika.lina weza kuwa la kijinga kwa uelewa,mtizamo na iq yako ,afu ni la maana kwa watu wengine.
Hope you have got me@claudiaeliakimu
Mbna unachanganya frequency humu ndani wewe mambo yanshule wapi na wapi, mambo ya dini wapi na wapi?Mbona shulezetu serekali haitaki kuzirudisha mbona wakristo mmerudishiwa huu n
Acha uwongo kijana wapi hiyo uliskia au unaona raha kuongea hivyo?juzi nilisikia hata waganga wa kienyeji watapiga kura ya hapana kisa hawajatambuliwa na katiba.
#TutafikaTu #UdiniAdui #MaslahiYaTaifa
Mbona shulezetu serekali haitaki kuzirudisha mbona wakristo mmerudishiwa huu n
hata sikubaliani na wewe kwa hayo mambo unayotuleta humu ndani,unaota wewe ndoto za alinacha,tanzania nayoijua mimi pamoja na watu wake hawajafikia kiwango ch kuburuzwa kama unavyowaza, wana maamuzi sahihi, jifunze na ukubari mabadiliko.
Elewa kuwa suala la kura ni suala la siri ya mtu unapokuja na hoja ya kutangaza hiyo kura yako humu unaonekana kwanza mshamba na pili unaonekana umetimiza umri wa miaka 18 hivi majuzi.Nasema HAPANA
mzalendo wa kweli ataikataa katiba pendekezwa
Kaumza acha ukauzu umetokea wapi wewe,naona umepotea njia humu malumbano ya dini hayana nafasi hivi wewe Katiba na masuala ya dini wapi na wapi,Kwa taarifa yako katiba pendekezwa imeweka usawa kwa dini zote, sasa unataka wewe dini yako iingizwe kwenye katiba Daaaa ama kweli una upungufu wa madini joto afu unahamasisha iwe mvua iwe jua nenda oman,iraq au somalia tuachie Tanzania yetu ya Mwalimu Nyerere SOMA IBARA YA 41 uhuru wa imani ya dini Katiba Pendekezwa (3) Shughuli za uendeshaji wa jumuiya za dini itakua nje ya shughuli za mamlaka ya serikali, katiba yenye kifungu hiki ndiyo itakayopigiwa kura na watu wa dini zote.
Kwahiyo maskofu wote washamba
hujambooo........mmmhh?... bibie claudiaeliakimu sijakuona ibadani leo!