Mimi ni mwalimu wa science (Physics), ninaombeni kazi ndugu zangu

Pole sana...nchi hii haithamini watu wa science alafu wanataka kuwa dona kantriii 🀣🀣🀣
Watu kama wewe mlipaswa moment mpo chuo tuu tayari kazi mnayo.
Njoo nikuoe bodaboda hapa kitaa upige mishe anagalu ten kwa siku hukosi
Tatzo umeshazoea mambo ya mbususu,simu yako imehifadhi
 
Huyu bado ni tunu,sema ni mvivu kama mimi kutafuta ajira au kufanya kazi

Hapaswi kutafuta kazi jf
 
Ungeaujust ikawa 3.8 ungejiongezea vigezo vya kuajirika

Kila la kheri
 
Safi mkuu...
 
UMESOMA CHUO GANI?
UALIMU WA PHYSICS NA SOMO GANI LINGINE?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…