Mimi ni mwanabaiolojia na huu hapa ndio uthibitisho wa uhalali wa Mungu(2)

Mimi ni mwanabaiolojia na huu hapa ndio uthibitisho wa uhalali wa Mungu(2)

Na unavyopenda kuwauliza wengine, na tunakujibu vizuri mno na vingine unajibu mwenyewe? Japo wewe kujibu naona unapiga chenga sana.

Nakushauri ujitahidi umeditate upate majibu ya haya maswali;

2. Je inawezekana kuwaza na mimi nikiwa sipo? Inawezekanaje kwani mimi ni nani/nini?

1. Sisi ni nani/nini, yaani tunaposema mtu tunamaanisha mtu hasa ni nani/nini?

Lililo bold tunaomba majibu wana JF wote tulione.
Nikikwambia mtu ni wazo tu, utasemaje?
 
Unajua taaluma ya sayansi asilia sio kama sayansi zingnine kama hayo mambo ya lugha. Alipoanza kwa kujitambulisha "Mimi mwanabaiolojia" hatuwezi kupokea kirahisirahisi hoja zisizona uhalisia kama hizo mawazo hai sijui mfu. Kwenye sayansi asilia ukianza mambo ya roho tayari umeharibu kwa sababu ni uzushi. Uzushi ni sumu ya ukweli kwenye tafiti yoyote ile.

Sijui unataka nimueleweje kuhusu nadharia ya roho wakati tunamtazama kama mwanabaiolojia.

Hivi ni unafanya kusudi au unashindwa kung'amua hoja kweli?

Nitafutie kwenye hayo maelezo yake sehemu aliyotaja roho?

Eti hatuwezi kupokea hoja zisizo halisi 'mawazo'! Yaani umethibitisha dhahiri hujui hata biopsychology inaelezea nini

Mr/Mrs/Ms. Uhalisia, hebu tufafanulie na haya yasiyo halisi ambayo ni sumu kwenye sayansi yaliingizwaje: au yalinyweshwa antidotes?

Kwenye concept ya inertia kuna centrifugal force, tuelezee kwamba hicho ni kitu halisi na siyo imaginary, eti hoja zisizo na uhalisia ni uzushi na sumu ya kweli kwenye sayansi asili!

Tuelezee kwamba gravitational force ambayo ni nguvu mfu huwa inafundishwa kwenye civics na siyo sayansi asili na ni kitu halisi na siyo fiction

Unafahamu twin paradox ni nini? Ni wazo halisi au la kubuni? Linafundishwa kwenye theology au sayansi? Acha kukariri, tulishatoka huko zamani
 
Unajua taaluma ya sayansi asilia sio kama sayansi zingnine kama hayo mambo ya lugha. Alipoanza kwa kujitambulisha "Mimi mwanabaiolojia" hatuwezi kupokea kirahisirahisi hoja zisizona uhalisia kama hizo mawazo hai sijui mfu. Kwenye sayansi asilia ukianza mambo ya roho tayari umeharibu kwa sababu ni uzushi. Uzushi ni sumu ya ukweli kwenye tafiti yoyote ile.

Sijui unataka nimueleweje kuhusu nadharia ya roho wakati tunamtazama kama mwanabaiolojia.
Waweza kunitajia moja ya mapungufu makubwa ya sayansi? Kwa nini baadhi ya scenario/phonemena/mystery ni halisi na matawi yote ya sayansi hayawezi kuzieleza? au yatajitutumua kueleza lakini kutakuwa na mkanganyiko, au itaeleza lakini haitafukia mashimo kibao, kwa nini wanasayansi hatutaki kukubali kwamba hii fani nayo ina inferiority?
 
Mimi naamini BILA MASHAKA kuwa Mungu YUPO muweza ya yote
Naamini pia kuwa Mungu ni mmoja tu, hana mshirika, hajazaa wala hajazaliwa na wala hafanani na kitu chochote.
Hata kwa akili ya kawaida tu, mtu hawezi kumdhuru mwenzake bila hatia, Kupindisha kesi kwa sababu ya rushwa, kupunja watu kwenye mizani nk eti iishie hapa??? Lazima ipo siku ya hukumu ambapo haki itatolewa kwa aliye onewa. Na atakayetoa hiyo haki ndio Mungu!
Ambiere, herehowa!
 
Nikikwambia mtu ni wazo tu, utasemaje?
Nitasema upo mbioni kuelekea kwenye ukweli; maana si 'wazo tu' bali ni wazo hai, wazo lenye kuwaza mawazo mbalimbali, wazo linalojielewa.
 
Nitasema upo mbioni kuelekea kwenye ukweli; maana si 'wazo tu' bali ni wazo hai, wazo lenye kuwaza mawazo mbalimbali, wazo linalojielewa.
Sasa kama wazo linaweza kuwaza, utajuaje kama kuna zaidi ya wazo kwa sababu ya kuweza kuwaza?
 
Ahaa.

Kwa hivyo umeridhika bila kujua?

Au hujaridhika unataka mjadala zaidi?

Haya mawili ni mambo tofauti naona kama umeyachanganya pamoja.
Nimeedit baadaye kuonesha tu hatua za kupanuka kwa ujuzi na kadri tunavyojielewa ipo hivi.

1.MwanasayansiMtoto - Matter makes everything matter is everything
2.Mwanasayansi Mkubwa - Energy makes matter all is actually condensed energy E=mc2
3.Mwanasa..... no Huyu labda tumuite.. anyway nevermind yeye anasema - Idea made energy energy is actuall condensed idea and matter a manifestation thereof😎
 
Nimeedit baadaye kuonesha tu hatua za kupanuka kwa ujuzi na kadri tunavyojielewa ipo hivi.

1.MwanasayansiMtoto - Matter makes everything matter is everything
2.Mwanasayansi Mkubwa - Energy makes matter all is actually condensed energy E=mc2
3.Mwanasa..... no Huyu labda tumuite.. anyway nevermind yeye anasema - Idea made energy energy is actuall condensed idea and matter a manifestation thereof[emoji41]
What is "idea" ?
 
What is "idea" ?
Meditate bro, meditate on that.

That question is best answered [or not answered] by you. Make sense out of that 'thing'. See I only appeal to sense. YOUR sense tells you what?
 
Find the truth and the truth shall set you free, you are a grown man, why be afraid of the light?

Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu. Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli. Yn 4:23-24
 
Meditate bro, meditate on that.

That question is best answered [or not answered] by you. Make sense out of that 'thing'. See I only appeal to sense. YOUR sense tells you what?
I am asking you. JF is for dislogue, not for meditation.
 
I did not clai..... sikuwahi kujitapa kuwa ninafahamu ni kiaje? Imetoka tu kama food for thought

We fikiria maada ilivyo tafauti hivyo na nishati. Na jinsi ambavyo mada kidogo inavyotokeza nishati kubwa kinyama!!
Ukitumia analojia na kusema ona jinsi ambavyo wazo lilivyo tofauti na nishati. Na jinsi ambavyo wazo moja lilivyotokeza nishati kuuuuubwa ajabu. Hapo mwanzo unaambiwa ule mwanga na pure energy ilikuwa na joto la matrilionimatrilioni. Na kulikuwa hata hamna maada kabla[sijui hilo joto lilijiexpress vipi asee] na saizi yake hata ka mpira ka kitenesi ni kakubwa!! Mazee naipenda analogy inaleta majibu hapohapo[emoji23][emoji1787][emoji1787]. Sijasema huu ndio ukweli lakini deep down nahisi this is the reality.
Kiuhalisia huko unapotea. Hisia sio kitu kizuri kwenye njia ya kupata na kukubali ukweli, jizuie. Jaribu kuongozwa na ushahidi. Follow the data, not feelings and/ or emotions.
 
Nikuweke wazi tu: una changamoto ya uelewa, unachagua kumuelewa mtu utakavyo na si alivyokusudia, nimesoma comment zako chache tu, hii ni mara ya pili unafanya hivi, ngoja nijaribu kueleza tena labda awamu hii utaelewa

JF kuwepo kumetokana/kumesababishwa na nini? Kuna kilicho nyuma ya uwepo wake "mfano: waasisi au imetokea tu kusikojulikana"? Haijalishi ni ya kwanza kuwepo, ya pili, ya mwisho au ya ngapi

Syntax za JF zilijitengeneza zenyewe? au yupo aliyezi-process akazi-execute ndo JF ikawepo? Jinsi JF inavyo-operate imetokea tu yenyewe? Hamna set ya commands wala codes ambazo ni instructions zilizo nyuma yake? Je hizo codes/commands zimetokea tu au zimeandaliwa?

Eti JF siyo unique, kutokuwa unique au kuwa unique ndo kumeifanya JF itokee au isitokee yenyewe? Halafu unathubutu kuandika 'swali halina mantiki', unafahamu nini kuhusu mantiki? Tuhamie huko?

Nimesoma nilicho-quote tu kimenitosha kukuelewa, hata ulichoandika chini yake sijasoma na sitasoma, kama utangulizi tu umejaa ufahamu mbovu hivi naamini huko chini hakuwezi kuwa salama
Kwa vile hukusoma chini hutonielewa. Uvivu wa kusoma au prejudice yako zimetupishanisha. JF ni copy. Kuna forums nyingi zenye format kama hii. Swala lilianzia mambo ya uumbaji. Kutoa nakala sio kuumba. Founders wa hii sio waumbaji. Blah blah blah.... siwezi kurudia tena.

Kama uelewa wako uko parallel na wangu hatuwezi kuelewana.
 
Hivi ni unafanya kusudi au unashindwa kung'amua hoja kweli?

Nitafutie kwenye hayo maelezo yake sehemu aliyotaja roho?

Eti hatuwezi kupokea hoja zisizo halisi 'mawazo'! Yaani umethibitisha dhahiri hujui hata biopsychology inaelezea nini

Mr/Mrs/Ms. Uhalisia, hebu tufafanulie na haya yasiyo halisi ambayo ni sumu kwenye sayansi yaliingizwaje: au yalinyweshwa antidotes?

Kwenye concept ya inertia kuna centrifugal force, tuelezee kwamba hicho ni kitu halisi na siyo imaginary, eti hoja zisizo na uhalisia ni uzushi na sumu ya kweli kwenye sayansi asili!

Tuelezee kwamba gravitational force ambayo ni nguvu mfu huwa inafundishwa kwenye civics na siyo sayansi asili na ni kitu halisi na siyo fiction

Unafahamu twin paradox ni nini? Ni wazo halisi au la kubuni? Linafundishwa kwenye lugha au sayansi? Acha kukariri, tulishatoka huko zamani
Sijaelewa. Unadhani hizo forces ni fiction? Kama ni hivyo hujui chochote.
 
Waweza kunitajia moja ya mapungufu makubwa ya sayansi? Kwa nini baadhi ya scenario/phonemena/mystery ni halisi na matawi yote ya sayansi hayawezi kuzieleza? au yatajitutumua kueleza lakini kutakuwa na mkanganyiko, au itaeleza lakini haitafukia mashimo kibao, kwa nini wanasayansi hatutaki kukubali kwamba hii fani nayo ina inferiority?
Upungufu mkubwa wa sayansi kama taaluma ni mapungufu yetu binadamu. Uongo, ubinafsi, tamaa, uoga n.k... elimu ya mambo asilia inaweza kutumika Vibaya au vizuri. Kujadili mambo hapa ni faida. Wewe kutukana na kuonyesha ushenzi wako na kukarahisha ni hasara tunayolipa. Yote yamewezeshwa na sayansi. Mambo yote mazuri (mengi sana kuorodhesha maana ni kila kitu kinatokana na maendeleo ya sayansi) unayoona leo yametokana na elimu au ujuzi wa kisayansi na sio imani!

Najua hutaelewa kama kawaida.
 
Kwa vile hukusoma chini hutonielewa. Uvivu wa kusoma au prejudice yako zimetupishanisha. JF ni copy. Kuna forums nyingi zenye format kama hii. Swala lilianzia mambo ya uumbaji. Kutoa nakala sio kuumba. Founders wa hii sio waumbaji. Blah blah blah.... siwezi kurudia tena.

Kama uelewa wako uko parallel na wangu hatuwezi kuelewana.
Unajifanya kukwepa kumbe unajipiga ngwala mwenyewe

FOUNDERS wa JF siyo waumbaji, yaonyesha hufahamu maana ya neno CREATOR

Ugh, haina haja kwanza umeshafunga mjadala

Ahsante kwa majibu yako

JF ina FOUNDERS, JF haijatokea tu yenyewe

HITIMISHO: Universe na vilivyomo ndani yake yupo aliyesababisha vikawepo, haviwezi kuwa vimetokea tu vyenyewe
 
Back
Top Bottom