Nikikwambia mtu ni wazo tu, utasemaje?Na unavyopenda kuwauliza wengine, na tunakujibu vizuri mno na vingine unajibu mwenyewe? Japo wewe kujibu naona unapiga chenga sana.
Nakushauri ujitahidi umeditate upate majibu ya haya maswali;
2. Je inawezekana kuwaza na mimi nikiwa sipo? Inawezekanaje kwani mimi ni nani/nini?
1. Sisi ni nani/nini, yaani tunaposema mtu tunamaanisha mtu hasa ni nani/nini?
Lililo bold tunaomba majibu wana JF wote tulione.
Ahsante kwa kushukuru, tupo pamoja ndugu [emoji120]Asanye sana ndugu Synonym haya mambo kusaidiana. [emoji109][emoji109]
Unajua taaluma ya sayansi asilia sio kama sayansi zingnine kama hayo mambo ya lugha. Alipoanza kwa kujitambulisha "Mimi mwanabaiolojia" hatuwezi kupokea kirahisirahisi hoja zisizona uhalisia kama hizo mawazo hai sijui mfu. Kwenye sayansi asilia ukianza mambo ya roho tayari umeharibu kwa sababu ni uzushi. Uzushi ni sumu ya ukweli kwenye tafiti yoyote ile.
Sijui unataka nimueleweje kuhusu nadharia ya roho wakati tunamtazama kama mwanabaiolojia.
Waweza kunitajia moja ya mapungufu makubwa ya sayansi? Kwa nini baadhi ya scenario/phonemena/mystery ni halisi na matawi yote ya sayansi hayawezi kuzieleza? au yatajitutumua kueleza lakini kutakuwa na mkanganyiko, au itaeleza lakini haitafukia mashimo kibao, kwa nini wanasayansi hatutaki kukubali kwamba hii fani nayo ina inferiority?Unajua taaluma ya sayansi asilia sio kama sayansi zingnine kama hayo mambo ya lugha. Alipoanza kwa kujitambulisha "Mimi mwanabaiolojia" hatuwezi kupokea kirahisirahisi hoja zisizona uhalisia kama hizo mawazo hai sijui mfu. Kwenye sayansi asilia ukianza mambo ya roho tayari umeharibu kwa sababu ni uzushi. Uzushi ni sumu ya ukweli kwenye tafiti yoyote ile.
Sijui unataka nimueleweje kuhusu nadharia ya roho wakati tunamtazama kama mwanabaiolojia.
Ongea kiswahili ueleweke inamaana hayo maneno huwez yaweka kwa kiswahili ebo??Hujatoa uthibitisho wowote.
There's no God/gods.
People need something to believe in, anything (a cow, a dog, a rock)
Mpumbavu amesema moyoni mwake hakuna MUNGUakuna Mungu...amini nakwambia
Ambiere, herehowa!Mimi naamini BILA MASHAKA kuwa Mungu YUPO muweza ya yote
Naamini pia kuwa Mungu ni mmoja tu, hana mshirika, hajazaa wala hajazaliwa na wala hafanani na kitu chochote.
Hata kwa akili ya kawaida tu, mtu hawezi kumdhuru mwenzake bila hatia, Kupindisha kesi kwa sababu ya rushwa, kupunja watu kwenye mizani nk eti iishie hapa??? Lazima ipo siku ya hukumu ambapo haki itatolewa kwa aliye onewa. Na atakayetoa hiyo haki ndio Mungu!
ulikimbia umande?Ongea kiswahili ueleweke inamaana hayo maneno huwez yaweka kwa kiswahili ebo??
Nitasema upo mbioni kuelekea kwenye ukweli; maana si 'wazo tu' bali ni wazo hai, wazo lenye kuwaza mawazo mbalimbali, wazo linalojielewa.Nikikwambia mtu ni wazo tu, utasemaje?
Sasa kama wazo linaweza kuwaza, utajuaje kama kuna zaidi ya wazo kwa sababu ya kuweza kuwaza?Nitasema upo mbioni kuelekea kwenye ukweli; maana si 'wazo tu' bali ni wazo hai, wazo lenye kuwaza mawazo mbalimbali, wazo linalojielewa.
Nimeedit baadaye kuonesha tu hatua za kupanuka kwa ujuzi na kadri tunavyojielewa ipo hivi.Ahaa.
Kwa hivyo umeridhika bila kujua?
Au hujaridhika unataka mjadala zaidi?
Haya mawili ni mambo tofauti naona kama umeyachanganya pamoja.
What is "idea" ?Nimeedit baadaye kuonesha tu hatua za kupanuka kwa ujuzi na kadri tunavyojielewa ipo hivi.
1.MwanasayansiMtoto - Matter makes everything matter is everything
2.Mwanasayansi Mkubwa - Energy makes matter all is actually condensed energy E=mc2
3.Mwanasa..... no Huyu labda tumuite.. anyway nevermind yeye anasema - Idea made energy energy is actuall condensed idea and matter a manifestation thereof[emoji41]
Meditate bro, meditate on that.What is "idea" ?
I am asking you. JF is for dislogue, not for meditation.Meditate bro, meditate on that.
That question is best answered [or not answered] by you. Make sense out of that 'thing'. See I only appeal to sense. YOUR sense tells you what?
Kiuhalisia huko unapotea. Hisia sio kitu kizuri kwenye njia ya kupata na kukubali ukweli, jizuie. Jaribu kuongozwa na ushahidi. Follow the data, not feelings and/ or emotions.I did not clai..... sikuwahi kujitapa kuwa ninafahamu ni kiaje? Imetoka tu kama food for thought
We fikiria maada ilivyo tafauti hivyo na nishati. Na jinsi ambavyo mada kidogo inavyotokeza nishati kubwa kinyama!!
Ukitumia analojia na kusema ona jinsi ambavyo wazo lilivyo tofauti na nishati. Na jinsi ambavyo wazo moja lilivyotokeza nishati kuuuuubwa ajabu. Hapo mwanzo unaambiwa ule mwanga na pure energy ilikuwa na joto la matrilionimatrilioni. Na kulikuwa hata hamna maada kabla[sijui hilo joto lilijiexpress vipi asee] na saizi yake hata ka mpira ka kitenesi ni kakubwa!! Mazee naipenda analogy inaleta majibu hapohapo[emoji23][emoji1787][emoji1787]. Sijasema huu ndio ukweli lakini deep down nahisi this is the reality.
Kwa vile hukusoma chini hutonielewa. Uvivu wa kusoma au prejudice yako zimetupishanisha. JF ni copy. Kuna forums nyingi zenye format kama hii. Swala lilianzia mambo ya uumbaji. Kutoa nakala sio kuumba. Founders wa hii sio waumbaji. Blah blah blah.... siwezi kurudia tena.Nikuweke wazi tu: una changamoto ya uelewa, unachagua kumuelewa mtu utakavyo na si alivyokusudia, nimesoma comment zako chache tu, hii ni mara ya pili unafanya hivi, ngoja nijaribu kueleza tena labda awamu hii utaelewa
JF kuwepo kumetokana/kumesababishwa na nini? Kuna kilicho nyuma ya uwepo wake "mfano: waasisi au imetokea tu kusikojulikana"? Haijalishi ni ya kwanza kuwepo, ya pili, ya mwisho au ya ngapi
Syntax za JF zilijitengeneza zenyewe? au yupo aliyezi-process akazi-execute ndo JF ikawepo? Jinsi JF inavyo-operate imetokea tu yenyewe? Hamna set ya commands wala codes ambazo ni instructions zilizo nyuma yake? Je hizo codes/commands zimetokea tu au zimeandaliwa?
Eti JF siyo unique, kutokuwa unique au kuwa unique ndo kumeifanya JF itokee au isitokee yenyewe? Halafu unathubutu kuandika 'swali halina mantiki', unafahamu nini kuhusu mantiki? Tuhamie huko?
Nimesoma nilicho-quote tu kimenitosha kukuelewa, hata ulichoandika chini yake sijasoma na sitasoma, kama utangulizi tu umejaa ufahamu mbovu hivi naamini huko chini hakuwezi kuwa salama
Sijaelewa. Unadhani hizo forces ni fiction? Kama ni hivyo hujui chochote.Hivi ni unafanya kusudi au unashindwa kung'amua hoja kweli?
Nitafutie kwenye hayo maelezo yake sehemu aliyotaja roho?
Eti hatuwezi kupokea hoja zisizo halisi 'mawazo'! Yaani umethibitisha dhahiri hujui hata biopsychology inaelezea nini
Mr/Mrs/Ms. Uhalisia, hebu tufafanulie na haya yasiyo halisi ambayo ni sumu kwenye sayansi yaliingizwaje: au yalinyweshwa antidotes?
Kwenye concept ya inertia kuna centrifugal force, tuelezee kwamba hicho ni kitu halisi na siyo imaginary, eti hoja zisizo na uhalisia ni uzushi na sumu ya kweli kwenye sayansi asili!
Tuelezee kwamba gravitational force ambayo ni nguvu mfu huwa inafundishwa kwenye civics na siyo sayansi asili na ni kitu halisi na siyo fiction
Unafahamu twin paradox ni nini? Ni wazo halisi au la kubuni? Linafundishwa kwenye lugha au sayansi? Acha kukariri, tulishatoka huko zamani
Upungufu mkubwa wa sayansi kama taaluma ni mapungufu yetu binadamu. Uongo, ubinafsi, tamaa, uoga n.k... elimu ya mambo asilia inaweza kutumika Vibaya au vizuri. Kujadili mambo hapa ni faida. Wewe kutukana na kuonyesha ushenzi wako na kukarahisha ni hasara tunayolipa. Yote yamewezeshwa na sayansi. Mambo yote mazuri (mengi sana kuorodhesha maana ni kila kitu kinatokana na maendeleo ya sayansi) unayoona leo yametokana na elimu au ujuzi wa kisayansi na sio imani!Waweza kunitajia moja ya mapungufu makubwa ya sayansi? Kwa nini baadhi ya scenario/phonemena/mystery ni halisi na matawi yote ya sayansi hayawezi kuzieleza? au yatajitutumua kueleza lakini kutakuwa na mkanganyiko, au itaeleza lakini haitafukia mashimo kibao, kwa nini wanasayansi hatutaki kukubali kwamba hii fani nayo ina inferiority?
Mungu sio hoja ni uzushi. Hamna kitu hapo zaidi ya kichekesho.Unajichekesha nini sasa? Jinsia Ke au Me?
Jenga hoja acha kujishongondoa
Unajifanya kukwepa kumbe unajipiga ngwala mwenyeweKwa vile hukusoma chini hutonielewa. Uvivu wa kusoma au prejudice yako zimetupishanisha. JF ni copy. Kuna forums nyingi zenye format kama hii. Swala lilianzia mambo ya uumbaji. Kutoa nakala sio kuumba. Founders wa hii sio waumbaji. Blah blah blah.... siwezi kurudia tena.
Kama uelewa wako uko parallel na wangu hatuwezi kuelewana.