Unachokifanya hapa ni utovu mkubwa wa nidhamu, ila kwasababu uko mitungi tunakusamehe kwa leo.Mkuu skiliza hizo tracks zote mbili.
Mimi ni fam wa fid Q lakini hapo fareed kauliwa
Ongezea Neno,Fresh,Ni hayo tu.Farid?
Tunakusubiri mitungi iishe. π
Ukilinganisha ngoma moja moja kama hivyo mbona unakosea saana.
Fid muacheni kama alivyo.
Mwanza mwanza
Professional
August 13.
Neno π
Ielewe mitaa π
Fid. Com
Kwa uchache tu humo joh azaliwe upya ndio anaweza kujaribu kufanya kilichofanyika humo.
Neno nimeweka.. Itakuwa tuna muOVERDOSE kijanaOngezea Neno,Fresh,Ni hayo tu.
Joh makini kweli man? Kweli kuna muda ni wakuheshimu mitazamo ya wengine..Fid Q namkubali sana kwa barz.
Leo baada ya kupiga mitungi nikasema nisikilize ngoma za Fid Q na Joh makini.
Lakini katika nyimbo zilizo nivutia katika mzuka ni hizi hapa.
Fid Q wimbo walk it off
Joh makini nusu nusu.
Nikasikiliza midundo inafanana kimzuka.
Lakini katika barz asee niseme ukweli tu kutoka akilini..
Joh makini wimbo wake nusu nusu umefunika.
Mzee mbuzi fareed Kubanda umekimbizwa.
Umenikera Sana kusema ni shabiki wa Fid Q... Nimeumia Sana Kwa hizi dharau ulizofanya.... Bora ungesema humpendi fid ningekuelewa kidogo...Skia mkuu fid Q nikwambie kitu moja tu.
Fid Q ngoma zote za saisa kamaliza kwenye ngoma yake na juma nature
Fid Q ft juma nature Siri ya mchezo.
Kwenye hiyo track hakuna Roma wala ney wa mitego.
Mimi ni shabiki wa fareed Kubanda kinoma.
Lakini nusu nusu amefunikwa na ile wimbo wake wa walk it off ft tazz
Yaani jamaa kanikera Sana Bora hata angeitaja Ngoma ya "niaje nivipi" lakini "nusu nusu" ni kumdisrespect fidUnachokifanya hapa ni utovu mkubwa wa nidhamu, ila kwasababu uko mitungi tunakusamehe kwa leo.
Najua fid Q ni mkali kuliko Joh makini.Farid?
Tunakusubiri mitungi iishe. π
Ukilinganisha ngoma moja moja kama hivyo mbona unakosea saana.
Fid muacheni kama alivyo.
Mwanza mwanza
Professional
August 13.
Neno π
Ielewe mitaa π
Fid. Com
Kwa uchache tu humo joh azaliwe upya ndio anaweza kujaribu kufanya kilichofanyika humo.
Mkuu Nusu Nusu ni kali acha ushabiki wa hivyo.Umenikera Sana kusema ni shabiki wa Fid Q... Nimeumia Sana Kwa hizi dharau ulizofanya.... Bora ungesema humpendi fid ningekuelewa kidogo...
Tukirudi kwenye hizo Ngoma mbili ya Nusu Nusu ya Joh Makini na walk it off ya fid Q ambazo ulizisikiluza ukiwa "umelewa" .. ni aibu kusema eti fid kafunikwa kwenye barz...
Hizi hapa n baadhi ya lyrics zilizopo kwenye Ngoma ya fid walk it off.... Halafu naomba ulete lyrics Kali za kwenye nusu nusu zinazozidi hizi...
"Biashara hasara.. uko doro kimfuko/ Utasimama ka mnara ukiacha vituko/
Itakuacha imara kama mnyororo wa milupo/ Hakika giza totoro ndo ishara ya mapambazuko /..."
"AAH.. Nyumba ya njaa.. ukisizi unapata zero/
Dunia ya VICHAA, MWEHU ndo CHIZI pia ni HERO.."
Mimi skusema nani mkali mkuu hapo tunazungumzia nyimbo mbili tu.Farid?
Tunakusubiri mitungi iishe. π
Ukilinganisha ngoma moja moja kama hivyo mbona unakosea saana.
Fid muacheni kama alivyo.
Mwanza mwanza
Professional
August 13.
Neno π
Ielewe mitaa π
Fid. Com
Kwa uchache tu humo joh azaliwe upya ndio anaweza kujaribu kufanya kilichofanyika humo.