Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu lini mamasamia akawa na akiliFid Q ni msanii aliyebahatisha kwenye nyimbo zake 2 za Mwanza na August 13. Ukitoa hizo nyimbo 2 basi Fid Q anakuwa sawa na wale wanaojiita Tamaduni Music. Joh Makini yuko level za juu sana. Yupo kimataifa wakati Fid Q ni kitaifa. Wimbo wa Bye Bye wa Joh Makini ni wimbo wangu bora wa muda wote kwenye Hiphop. Fid Q ni msanii pendwa wa watu waliokata tamaa ya maisha.
Joh ni mwamba we acha umandazi.Farid?
Tunakusubiri mitungi iishe. 😂
Ukilinganisha ngoma moja moja kama hivyo mbona unakosea saana.
Fid muacheni kama alivyo.
Mwanza mwanza
Professional
August 13.
Neno 🌋
Ielewe mitaa 🌋
Fid. Com
Kwa uchache tu humo joh azaliwe upya ndio anaweza kujaribu kufanya kilichofanyika humo.
Kamuulize mama yako ndo anajua sina akili au ninayo. Wewe binti wangu wa kambo uwe na heshima kwa baba yako.Tangu lini mamasamia akawa na akili
Bila kuitaja sihitaji marafiki bado hujataja nyimbo kali bro za NgoshaFarid?
Tunakusubiri mitungi iishe. [emoji23]
Ukilinganisha ngoma moja moja kama hivyo mbona unakosea saana.
Fid muacheni kama alivyo.
Mwanza mwanza
Professional
August 13.
Neno [emoji291]
Ielewe mitaa [emoji291]
Fid. Com
Kwa uchache tu humo joh azaliwe upya ndio anaweza kujaribu kufanya kilichofanyika humo.
Nisamehe nilitaja haraka haraka tu.Bila kuitaja sihitaji marafiki bado hujataja nyimbo kali bro za Ngosha
Ushaanza ukitumbua mwanangu.Joh ni mwamba we acha umandazi.
1.Hao
2.Zamu Yangu
3.Muda
4.Sijutii
5.Sitochoka kusema
Wewe mama Acha kiburiKamuulize mama yako ndo anajua sina akili au ninayo. Wewe binti wangu wa kambo uwe na heshima kwa baba yako.
Hapa kila mtu abaki na msanii wake. Mi Fid Q simkubali kiasi cha kusema Joh ni mtori.Ushaanza ukitumbua mwanangu.
Joh ni mwamba lakini si kwa ngosha, hizo ngoma kama ulivyozitaja nami ndio ngoma zangu bora za joh.. Haswa hizo 1-3 sasa katika ngoma nilizozitaja utatoa ngoma gani ili hizi za joh zikae. Kuna baadhi ya kazi za ngosha hizi za joh zinaweza chukua nafasi lakini si katika nilizozitaji.
Weka hapo
Professional
August 13
Mwanza mwanza
Fid. Com
Neno
Ielewe mitaa
Sasa hapo nitoe ipi ilimoja kati ya ngoma hizo za joh ikae.
Mie fid q sio msanii wangu.. Kwani wewe joh ni msanii wako!? 😂🤣Hapa kila mtu abaki na msanii wake. Mi Fid Q simkubali kiasi cha kusema Joh ni mtori.
Hamna wimbo wowote ule wa Joh makini unaouzidi hata kuukaribia ProfessionalFarid?
Tunakusubiri mitungi iishe. [emoji23]
Ukilinganisha ngoma moja moja kama hivyo mbona unakosea saana.
Fid muacheni kama alivyo.
Mwanza mwanza
Professional
August 13.
Neno [emoji291]
Ielewe mitaa [emoji291]
Fid. Com
Kwa uchache tu humo joh azaliwe upya ndio anaweza kujaribu kufanya kilichofanyika humo.
Ile ngoma ni next level, nakubaliana nawe.Hamna wimbo wowote ule wa Joh makini unaouzidi hata kuukaribia Professional
Huyo Joh makini labda sijui kama amebadilika kipindi hiki sifatilii tena hiyo mizikiIle ngoma ni next level, nakubaliana nawe.
Mkuu elewa hiyo post acha kukurupuka.Unaweza kuta anabishana huku bado yupo tungi
Joh vs Fid ni sawa kusema mandonga vs Matumla
Ole Chiza ft. Rozari 💥Kwa uchache tu humo joh azaliwe upya ndio anaweza kujaribu kufanya kilichofanyika humo.
Professor wa Chuo Kikuu Cha Ghetto wanafunzi wa Kitaaolojia "I'ma Professional"FID Q NIPROFESSOR WA CHUO CHA MTAANI