Mimi ni shabiki wa Fid Q lakini Joh Makini kashinda

Mimi ni shabiki wa Fid Q lakini Joh Makini kashinda

Farid?

Tunakusubiri mitungi iishe. 😂
Ukilinganisha ngoma moja moja kama hivyo mbona unakosea saana.

Fid muacheni kama alivyo.

Mwanza mwanza
Professional
August 13.
Neno 🌋
Ielewe mitaa 🌋
Fid. Com

Kwa uchache tu humo joh azaliwe upya ndio anaweza kujaribu kufanya kilichofanyika humo.

Yo Makavel.. Sikia hata mimi kabla sijaskiliza hiphop za Muda za mbele nilikua namuelewa sana Fareed.. Of koz nilikua namuona yeye hafanyi tu hiphop ila yeye ndo hip hop mwenyewe.
Nilipoanza kuwasiiliza na kuwaelewa Kina Hammer, The luniz, Common na Nas mara nyingi, Au fatilia Hiphop documentary moja ya muda sana inaitwa Beef 1, Nikakuta Mzee mzima Fareed amegeuza maneno mengi saana ya hao jamaa kuwa kiswahili, labda huo ndo ubunifu wake mkuu. Na yeye Mwenyew alisha kili Vitabu vinam sophisticate pakubwa.
Rado alivyojielezea kwenye interview kuhusu usiulize Alisema mengi kuhusu ile ngoma fareed alimtangulia mistari yake. Ambapo Fareed kila akiulizwa anacheza na maneno tu .
Mi ni mnazi wa underground hiphop lakini Joh makini wa river Camp. Alikuwa ni Mwamba kuliko Fareed, hata huyu wa sasa bado yupo mbele ya mzee mzima Fareed.
Fareed ni wa moto lakini Sio kumpooza Joh makin
 
Siw
Yo Makavel.. Sikia hata mimi kabla sijaskiliza hiphop za Muda za mbele nilikua namuelewa sana Fareed.. Of koz nilikua namuona yeye hafanyi tu hiphop ila yeye ndo hip hop mwenyewe.
Nilipoanza kuwasiiliza na kuwaelewa Kina Hammer, The luniz, Common na Nas mara nyingi, Au fatilia Hiphop documentary moja ya muda sana inaitwa Beef 1, Nikakuta Mzee mzima Fareed amegeuza maneno mengi saana ya hao jamaa kuwa kiswahili, labda huo ndo ubunifu wake mkuu. Na yeye Mwenyew alisha kili Vitabu vinam sophisticate pakubwa.
Rado alivyojielezea kwenye interview kuhusu usiulize Alisema mengi kuhusu ile ngoma fareed alimtangulia mistari yake. Ambapo Fareed kila akiulizwa anacheza na maneno tu .
Mi ni mnazi wa underground hiphop lakini Joh makini wa river Camp. Alikuwa ni Mwamba kuliko Fareed, hata huyu wa sasa bado yupo mbele ya mzee mzima Fareed.
Fareed ni wa moto lakini Sio kumpooza Joh makin
Sikupingi umeongea sahihi, je kuna ubaya wa kusoma vitabu kuongeza knowledge!?.
Nimeandika haya nikiwa najua yoote hayo.
Kwangu farid ni bora zaidi, nawe ukisema joh ni bora ni sawa pia kila mmoja na anavyoona.
 
Yo Makavel.. Sikia hata mimi kabla sijaskiliza hiphop za Muda za mbele nilikua namuelewa sana Fareed.. Of koz nilikua namuona yeye hafanyi tu hiphop ila yeye ndo hip hop mwenyewe.
Nilipoanza kuwasiiliza na kuwaelewa Kina Hammer, The luniz, Common na Nas mara nyingi, Au fatilia Hiphop documentary moja ya muda sana inaitwa Beef 1, Nikakuta Mzee mzima Fareed amegeuza maneno mengi saana ya hao jamaa kuwa kiswahili, labda huo ndo ubunifu wake mkuu. Na yeye Mwenyew alisha kili Vitabu vinam sophisticate pakubwa.
Rado alivyojielezea kwenye interview kuhusu usiulize Alisema mengi kuhusu ile ngoma fareed alimtangulia mistari yake. Ambapo Fareed kila akiulizwa anacheza na maneno tu .
Mi ni mnazi wa underground hiphop lakini Joh makini wa river Camp. Alikuwa ni Mwamba kuliko Fareed, hata huyu wa sasa bado yupo mbele ya mzee mzima Fareed.
Fareed ni wa moto lakini Sio kumpooza Joh makin
Mwana mapinduzi hii ni uongoo[emoji23]
Acheni kumfananisha fidQ na vitu vya ajabu
 
Mkuu elewa hiyo post acha kukurupuka.

Hapo ni nusu nusu vs walk it off.

Huo mpambano wa nani mkali umeingia ndani ya mada.

FID Q NI PROFESSOR WA CHUO CHA MTAANI hilo halina ubishi.
Still work it off ipo juu
Una ngoma gan nyingine ya joh ya kufananisha na kibanda?
 
Mwana mapinduzi hii ni uongoo[emoji23]
Acheni kumfananisha fidQ na vitu vya ajabu
Mwanamageuzi na huku pia upo??? Hatumfananishi Fareed na vitu vya ajabu fareed ni wa moto ila hawezi mpooza Joh makini hahaha .. Sija mshusha fid heshima anayo bado palepale.. Mwanamapinduz umetisha
 
Siw

Sikupingi umeongea sahihi, je kuna ubaya wa kusoma vitabu kuongeza knowledge!?.
Nimeandika haya nikiwa najua yoote hayo.
Kwangu farid ni bora zaidi, nawe ukisema joh ni bora ni sawa pia kila mmoja na anavyoona.
Sijauona ubaya katika usomaji wake ndo maana nikampa credit hata kwa huo ubunifu kupitia kusoma, Mkuu hapo safi tumekubaliana tu kutokukubaliana makavel
 
Still work it off ipo juu
Una ngoma gan nyingine ya joh ya kufananisha na kibanda?
Poa poa kwa mtazamo wako.

tukumbuke mambo ya maana tukila bata
 
Poa poa kwa mtazamo wako.

tukumbuke mambo ya maana tukila bata
Kabisa

Anything can happen when you feeling un-usual/
Better to be happy than be plastered & bruised.. oooh/[emoji110]

Walk it off[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Mwanamageuzi na huku pia upo??? Hatumfananishi Fareed na vitu vya ajabu fareed ni wa moto ila hawezi mpooza Joh makini hahaha .. Sija mshusha fid heshima anayo bado palepale.. Mwanamapinduz umetisha
Joh makini kwa kipi hasa alichonacho?
Ile sauti nyoronyoro kama teja ambaye jani limekolea?🤣


Kitambo sana fidQ
Enzi za ngoma ya umbo namba8,Daz nundaz sijui Daz Baba😂
Miaka hii sifuatilii tena hiyo miziki

Btw mimi ni fan wa Prof J.
 
Joh makini kwa kipi hasa alichonacho?
Ile sauti nyoronyoro kama teja ambaye jani limekolea?🤣


Kitambo sana fidQ
Enzi za ngoma ya umbo namba8,Daz nundaz sijui Daz Baba😂
Miaka hii sifuatilii tena hiyo miziki

Btw mimi ni fan wa Prof J.
Hahahah mwanamageuz usiturudishe huko tuliisha maliza...
Kam sauti ndo ingekua ina matter kina lord eyez wangekua zaidi. Inapendez kuwa upande huo uliochagua ila usimunderestimate joh kwa vigezo hivyo.. Ndo wewe ulikua unamuuliza fareed pale kwenye ile Umbo no 8
Unaitwa nan? Unaishi wapi? Kazi yako nini?
 
Hahahah mwanamageuz usiturudishe huko tuliisha maliza...
Kam sauti ndo ingekua ina matter kina lord eyez wangekua zaidi. Inapendez kuwa upande huo uliochagua ila usimunderestimate joh kwa vigezo hivyo.. Ndo wewe ulikua unamuuliza fareed pale kwenye ile Umbo no 8
Unaitwa nan? Unaishi wapi? Kazi yako nini?
FidQ
Ghetto
Muziki😂

Joh ameperform vizuri kwnwye ngoma nyingi tu
Popote chochote
Kilimanjaro
Hao
Don't bother
Safari
Nikumbatie
Utaipenda(ya Hussen)..hii kwangu naona ndo the best .
Na nyingine nyingi tu nzuri sana

Ila bado naona kama hamfikii Fareed
 
Hahahah mwanamageuz usiturudishe huko tuliisha maliza...
Kam sauti ndo ingekua ina matter kina lord eyez wangekua zaidi. Inapendez kuwa upande huo uliochagua ila usimunderestimate joh kwa vigezo hivyo.. Ndo wewe ulikua unamuuliza fareed pale kwenye ile Umbo no 8
Unaitwa nan? Unaishi wapi? Kazi yako nini?
Sijasema sauti ndio kila kitu,,hapana.

Wapo akina Squeezer kaka yake Dataz,,sauti mbovu ila alikuwa anakiwasha.
Chid na sauti lake ila ngoma ya Dar StandUp ilibamba.
 
FidQ
Ghetto
Muziki[emoji23]

Joh ameperform vizuri kwnwye ngoma nyingi tu
Popote chochote
Kilimanjaro
Hao
Don't bother
Safari
Nikumbatie
Utaipenda(ya Hussen)..hii kwangu naona ndo the best .
Na nyingine nyingi tu nzuri sana

Ila bado naona kama hamfikii Fareed
Fid hana miwa mingi, japo he is good. Fid ana nyimbo nyingi za kusikiliza zaidi gheto na sio za mainstream. Wakati wanahustle kwa mj-ludigo. Fid alikua tayari anajulikana lakini alimkubali sana Joh na wakaunda kama crew "machizi wa hatari"

Nitakupa mifano ujue kwa nn joh ni bora zaidi ya fid.

Wakati karibu kila msanii akiamini miaka hiyo ili muziki wake usikike lazima upite mikononi mwa pfunk na master j. Kwa joh ilikua tofauti
Joh alimkataa pfunk, jay moe alimueleza pfunk kuwa kuna mtu hatari anaitwa joh, pfunk na jay moe wakamfata joh ili wamsaini bingo records, lakini joh alikataa na badala yake akaamua kwenda kwa Roy

Hata kwa mara ya kwanza baada ya diamond kutambulika kimataifa, msanii aliyefata wa hip-hop alikua ni joh. Hata unaona baada ya diamond kwenda coke studio, joh ndio alifata na ndio msanii pekee wa kwanza wa hip-hop

Davido, wasanii wengi waliomba colabo nae but hawakupata hiyo bahati. But yeye davido alimtafuta joh na kumueleza anamkubali sana, na akamuomba wafanye collabo

Unasema kwenye "utaipenda" ya Hussein machozi ndio collabo yenye verse Kali kutoka kwa joh? Sikiliza pia "unanichora ya Ben pol"
Sikiliza pia "vitamin music ya Belle 9"
Sikiliza pia "higher"
Sikiliza pia "sikati tamaa remix by darassa"
Sikiliza pia"Nilipotoka by geez mabovu"
Then angalia lyrics na flow

Kasikilize tena hizi nyimbo naamini utabadili msimamo wako:
  • Hawapendi
  • Hao
  • Chochote popote
  • Niaje nivipi
  • Stimu zimelipiwa
  • Karibu Tena
  • Kila wakati
  • Kilimanjaro
  • Nikumbatie
  • Manuva
  • Bye bye
  • I see me
  • Don't bother
  • Kata leta
  • Waya

Na hapo hakufanya wimbo kwa p funk wa mj tofauti kabisa na fid, lakini bado aliweza kupenya. Imagine alifanya nyimbo na nahreel akiwa mwanafunzi na kijana mdogo tu lakini zilikuwa hit songs. Pata picha angefanya nyimbo kwa pfunk na master j?
Hata wimbo wa "Hao" uliomtambulisha sana Joh ulifanyika gheto tu na production ikiwa poor kabisa, lakini ulipenya

Mwisho kabisa joh ameweza kusimamisha kundi kubwa kabisa "Weusi" na likafanya vizuri kabisa na kuwa top. Fid asingeweza
 
Fid hana miwa mingi, japo he is good. Fid ana nyimbo nyingi za kusikiliza zaidi gheto na sio za mainstream. Wakati wanahustle kwa mj-ludigo. Fid alikua tayari anajulikana lakini alimkubali sana Joh na wakaunda kama crew "machizi wa hatari"

Nitakupa mifano ujue kwa nn joh ni bora zaidi ya fid.

Wakati karibu kila msanii akiamini miaka hiyo ili muziki wake usikike lazima upite mikononi mwa pfunk na master j. Kwa joh ilikua tofauti
Joh alimkataa pfunk, jay moe alimueleza pfunk kuwa kuna mtu hatari anaitwa joh, pfunk na jay moe wakamfata joh ili wamsaini bingo records, lakini joh alikataa na badala yake akaamua kwenda kwa Roy

Hata kwa mara ya kwanza baada ya diamond kutambulika kimataifa, msanii aliyefata wa hip-hop alikua ni joh. Hata unaona baada ya diamond kwenda coke studio, joh ndio alifata na ndio msanii pekee wa kwanza wa hip-hop

Davido, wasanii wengi waliomba colabo nae but hawakupata hiyo bahati. But yeye davido alimtafuta joh na kumueleza anamkubali sana, na akamuomba wafanye collabo

Unasema kwenye "utaipenda" ya Hussein machozi ndio collabo yenye verse Kali kutoka kwa joh? Sikiliza pia "unanichora ya Ben pol"
Sikiliza pia "vitamin music ya Belle 9"
Sikiliza pia "higher"
Sikiliza pia "sikati tamaa remix by darassa"
Sikiliza pia"Nilipotoka by geez mabovu"
Then angalia lyrics na flow

Kasikilize tena hizi nyimbo naamini utabadili msimamo wako:
  • Hawapendi
  • Hao
  • Chochote popote
  • Niaje nivipi
  • Stimu zimelipiwa
  • Karibu Tena
  • Kila wakati
  • Kilimanjaro
  • Nikumbatie
  • Manuva
  • Bye bye
  • I see me
  • Don't bother
  • Kata leta
  • Waya

Na hapo hakufanya wimbo kwa p funk wa mj tofauti kabisa na fid, lakini bado aliweza kupenya. Imagine alifanya nyimbo na nahreel akiwa mwanafunzi na kijana mdogo tu lakini zilikuwa hit songs. Pata picha angefanya nyimbo kwa pfunk na master j?
Hata wimbo wa "Hao" uliomtambulisha sana Joh ulifanyika gheto tu na production ikiwa poor kabisa, lakini ulipenya

Mwisho kabisa joh ameweza kusimamisha kundi kubwa kabisa "Weusi" na likafanya vizuri kabisa na kuwa top. Fid asingeweza
Bila haya kuanzia Aya ya Kwanza umeamua kupotosha watu ili kutimiza kile unachokiamini....

Umesema Fid Hana MIWA mingi... Kwanza ncheke... Unamzungumzia Fid gani Kwanza? Ok ntaitaja MIWA ya Fid huko mbele huenda umeisahau kama sio umeidharau.

Umesema Fid Q alibebwa Sana na beat za bongo record Chini ya p-funk majani... Lakini nikukumbushe Tu Ngoma uliyomueka Fid Q kwe ramani ni "Fid Q. Com" ambayo aliirekodi pale Baucha Record Chini ya Castro Ponera... Baada ya huyu jamaa kupata matatizo na kufungwa jela ndo Fid alihamia bongo record... Ndo maana hata Ngoma ya chagua moja ilibidi aliirekodi upya bongo rekodi japo ilikua imefanywa Baucha mara ya kwanza na hii inshu ndo ilileta bifu zito Kati ya Fid na Rado... Maana walipoirudia Rado alitengwa....
Kwahiyo kumbe Fid alishajulikana bila kumtegemea majani ..
Umenifurahisha uliposema Joh alikataa kusainiwa bongo rekodi Kwa majani lakini mwishoni umesema angetisha Sana kama angerekodi na majani... Kwahiyo kumbe bado unaamini kuna vitu anamiss...

Umesema baada ya Diamond kutoka kimataifa Joh Naye alitoka Kwa kurekodi na wasanii wa mbele kumaanisha kua anakubalika huko mbele... Hebu jiulize Kwanini KO alikataa kolabo ya "don't bother" Hadi vee money alipomuunganisha Kwa AKA lakini Ngoma iliishia wapi!?
Lakini ukweli ni kua Fid Ngoma yake ya professional ni international song bila kolabo....

Umesema Joh alitisha verse nyingi Tu za kolabo kama vile "sikati Tamaa remix" lakini ukweli mchungu ni kua hiyo Ngoma Joh aliimba nje ya beat na hiyo inshu ilipekea bifu baridi Kati yake na Darasa baada ya Joh kudai kua alifanyiwa hujuma na mbaya zaidi KingZilla aliwapoteza Sana....

Umetaja Pini za Joh... Sasa pitia hii List halafu unambie kama Joh anastahili hata kulinganishwa na Fid kuanzia rap style, midundo Hadi uandishi (lyrics)
1. Chagua moja
2. Mwanza mwanza
3. August 13
4. Ni hayo Tu
5. ielewe mitaa
6. Ripoti za mtaani
7. Propaganda
9. Bongo hip-hop
10.Usinikubali haraka
11. Shimo limetema
12. Neno
14. Sihitaji marafiki
15. Mwanamalundi
16. Watapata Zero
17. Sumu


Mwisho kabisa umesema Joh kalisimamisha kundi la Weusi lakini unaamini Fid asingeweza.... Nikwambie Tu Fid hajawahi kua na kundi coz "Fid ni Jeshi La Mtu Mmoja"....

Nipe "quotes" tano Kali kutoka kwenye Ngoma zaJoh nikuoneshe mbuzi anayetaga
 
Back
Top Bottom