Mimi ni shabiki wa Fid Q lakini Joh Makini kashinda

Mimi ni shabiki wa Fid Q lakini Joh Makini kashinda

Sahihi, ndio maana nika
Mimi skusema nani mkali mkuu hapo tunazungumzia nyimbo mbili tu.

Walk it off na Nusu Nusu
kwambia kulinganisha ngoma moja ni kumkosea mtu adabu.
Kulinganisha mchezaji kwa game moja moja unaweza ukakuta kuna game kibu ana takwimu nzuri kuliko cr7 😂

Pia kwenye hizo ngoma 2, mie binafsi bado natembea na walk it off.
 
Fid q ana nyimbo nyingi sana zingine hata watu hawazijui nimekua fan wa fid q Kwa miongo Sasa..

Albamu yake ya vina mwanzo kati na mwisho zote zipo kichwani nazi flow Kuna nyimbo nyingi nzuri kwenye Ile albamu...

Hizi Ngoma nazi mention hapa chini..

Let me list few here...
Mwanamalundi
Nyota ya mchezo
Sumu
Juhudi za wasio jiweza
Mwanangu
Ripoti za mtaani
Ole chiza
Kiberiti
Boss
Tajiri yangu
 
Sahihi, ndio maana nika

kwambia kulinganisha ngoma moja ni kumkosea mtu adabu.
Kulinganisha mchezaji kwa game moja moja unaweza ukakuta kuna game kibu ana takwimu nzuri kuliko cr7 😂

Pia kwenye hizo ngoma 2, mie binafsi bado natembea na walk it off.
Zisikilize vizuri hizo tracks utaniambia.

Fid Q yupo vizuri kinoma kwenye ngoma kibao.

Nusu Nusu mkuu ni kali hiyo haipingiki hapa tukiweka ushabiki tutaharibu.
 
Fid q ana nyimbo nyingi sana zingine hata watu hawazijui nimekua fan wa fid q Kwa miongo Sasa..

Albamu yake ya vina mwanzo kati na mwisho zote zipo kichwani nazi flow Kuna nyimbo nyingi nzuri kwenye Ile albamu...

Hizi Ngoma nazi mention hapa chini..

Let me list few here...
Mwanamalundi
Nyota ya mchezo
Sumu
Juhudi za wasio jiweza
Mwanangu
Mkuu hapa nimeongelea nyimbo mbili tu.

Nusu Nusu na walk it off.

Utata upo hapo mkuu lakini sjasema kwamba Joh makini ni mkali kuliko fid Q
 
Wala Sikupingi
Zisikilize vizuri hizo tracks utaniambia.

Fid Q yupo vizuri kinoma kwenye ngoma kibao.

Nusu Nusu mkuu ni kali hiyo haipingiki hapa tukiweka ushabiki tutaharibu.
Kwangu walk it off ni bora kwa sababu zangu.
Nusu ni tamu sababu ni ngoma ya club, ni tamu masikioni haswa ukiwa na mtoto, tayari kichwani ushatanguliza 2,3.😂
 
Wala Sikupingi

Kwangu walk it off ni bora kwa sababu zangu.
Nusu ni tamu sababu ni ngoma ya club, ni tamu masikioni haswa ukiwa na mtoto, tayari kichwani ushatanguliza 2,3.😂
🙌😂😂 poa mkuu
 
Umeamua umtukane ngosha maana hizi sasa dharau hata joh lazima akuruke
 
Farid?

Tunakusubiri mitungi iishe. 😂
Ukilinganisha ngoma moja moja kama hivyo mbona unakosea saana.

Fid muacheni kama alivyo.

Mwanza mwanza
Professional
August 13.
Neno 🌋
Ielewe mitaa 🌋
Fid. Com

Kwa uchache tu humo joh azaliwe upya ndio anaweza kujaribu kufanya kilichofanyika humo.
Bila kusahau SUMU....
 
Mkuu pombe za kupima uachane Nazo,Fid q ukitaka mweka daraja Moja na John kwenye punchlain labda tuweke hii ngoma aliyofanya na chinowanaman
Soma post yangu vizuri utaelewa mkuu
 
Back
Top Bottom