Mimi nikajua Israel huwa inajibu mapigo muda huohuo. Leo ni siku ya nne

Mimi nikajua Israel huwa inajibu mapigo muda huohuo. Leo ni siku ya nne

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Nilivyoizoea Israeli kule Syria inavyowatandika , nikajua hii ya kushambuliwa na Iran isingepita hata masaa mawili ingejibu , LAKINI LEO NI SIKU YA NNE.

Kwa maoni yangu ninaamini Israeli italipiza kisasi tena huenda itapiga mapigo makali sana. Sema ninaona hii tayari ni WEAKNESS imeonekana kwa jeshi la Israeli kuwa kumbe halipo tayari muda wote kwa asilimia 100% kama wengi tulivyokuwa tunaamini.

Na kumbe huyo Iran angekuwa ameamua kuingia mazima kupiga Israeli mfululizo kwa siku 7 ingekuaje MAANA KAMA VIMERUSHWA VIKOMBORA VIDOGO TU HALAFU NDIO ANAJIPANGA WEEE NA KUJIKUSANYA KULIPA KISASI.
 
Nilivyoizoea Israeli kule Syria inavyowatandika , nikajua hii ya kushambuliwa na Iran isingepita hata masaa mawili ingejibu , LAKINI LEO NI SIKU YA NNE.

Kwa maoni yangu ninaamini Israeli italipiza kisasi tena huenda itapiga mapigo makali sana. Sema ninaona hii tayari ni WEAKNESS imeonekana kwa jeshi la Israeli kuwa kumbe halipo tayari muda wote kwa asilimia 100% kama wengi tulivyokuwa tunaamini.

Na kumbe huyo Iran angekuwa ameamua kuingia mazima kupiga Israeli mfululizo kwa siku 7 ingekuaje MAANA KAMA VIMERUSHWA VIKOMBORA VIDOGO TU HALAFU NDIO ANAJIPANGA WEEE NA KUJIKUSANYA KULIPA KISASI.
Wait. No hurry.
 
Nilivyoizoea Israeli kule Syria inavyowatandika , nikajua hii ya kushambuliwa na Iran isingepita hata masaa mawili ingejibu , LAKINI LEO NI SIKU YA NNE.

Kwa maoni yangu ninaamini Israeli italipiza kisasi tena huenda itapiga mapigo makali sana. Sema ninaona hii tayari ni WEAKNESS imeonekana kwa jeshi la Israeli kuwa kumbe halipo tayari muda wote kwa asilimia 100% kama wengi tulivyokuwa tunaamini.

Na kumbe huyo Iran angekuwa ameamua kuingia mazima kupiga Israeli mfululizo kwa siku 7 ingekuaje MAANA KAMA VIMERUSHWA VIKOMBORA VIDOGO TU HALAFU NDIO ANAJIPANGA WEEE NA KUJIKUSANYA KULIPA KISASI.
Tulia.Have you ever seen some rubbles within a downtown?
 
Majibu hayakuwa moja kwa moja hata waliporusha makombora awamu ya kwanza. Ila mkuu wa nchi alifyekwa kinamna. Hawa wanaoption nyingi z kujibu tena zenye maumivu makali kulingana na uwezo na ujuaji wa mjibiwaji. Tusiwapangie. Tuvute subira.
 
Nilivyoizoea Israeli kule Syria inavyowatandika , nikajua hii ya kushambuliwa na Iran isingepita hata masaa mawili ingejibu , LAKINI LEO NI SIKU YA NNE.

Kwa maoni yangu ninaamini Israeli italipiza kisasi tena huenda itapiga mapigo makali sana. Sema ninaona hii tayari ni WEAKNESS imeonekana kwa jeshi la Israeli kuwa kumbe halipo tayari muda wote kwa asilimia 100% kama wengi tulivyokuwa tunaamini.

Na kumbe huyo Iran angekuwa ameamua kuingia mazima kupiga Israeli mfululizo kwa siku 7 ingekuaje MAANA KAMA VIMERUSHWA VIKOMBORA VIDOGO TU HALAFU NDIO ANAJIPANGA WEEE NA KUJIKUSANYA KULIPA KISASI.
Hatawez kujibu maana ameshajigundu ulinzi wake wa anga aliokuwa anautegemea ni dhaifu sana

Na mabasha wake aliokkuwa anawategemea kwa ulinzi wameonysha uwezo mdogo sana
Iran yeye ndo sponsor wa makundi yote hapo mashariki ya kati, hivyo Israel kuyapiga hayo makundi ni pigo kubwa kwa Iran haina haja ya Israel kuipiga Tehran
Uwezo aliouonyehs irani ni wa hatari sana na amegundua akiendele kuleta ubishi ataaribiwa vibaya sana

Kusema atajibu mapigo makali sana ni mbwembwe tu za kuwatia moyo wateule
 
Hatawez kujibu maana ameshjigundu ulinzi wake wa anga aliokuwa anautegemea ni dhaifu sana

Na mabasha wake aliokkuwa kwa ulinzi wameonysha uwezo mdogo sana
Uwezo aliouonyehs irani ni wa hatari sana na kushindwa. kukaa kukaa tamegundua akiendele kuleta ubishi ataaribiwa vibaya sana
Acha ujingaujinga wewe chogo.Yani kwa ubongo wako unaona Irani anaweza kupambana na Israel?
 
Nilivyoizoea Israeli kule Syria inavyowatandika , nikajua hii ya kushambuliwa na Iran isingepita hata masaa mawili ingejibu , LAKINI LEO NI SIKU YA NNE.

Kwa maoni yangu ninaamini Israeli italipiza kisasi tena huenda itapiga mapigo makali sana. Sema ninaona hii tayari ni WEAKNESS imeonekana kwa jeshi la Israeli kuwa kumbe halipo tayari muda wote kwa asilimia 100% kama wengi tulivyokuwa tunaamini.

Na kumbe huyo Iran angekuwa ameamua kuingia mazima kupiga Israeli mfululizo kwa siku 7 ingekuaje MAANA KAMA VIMERUSHWA VIKOMBORA VIDOGO TU HALAFU NDIO ANAJIPANGA WEEE NA KUJIKUSANYA KULIPA KISASI.
Hana uwezo wa kujibizana na Iran ambaye kiuhalisia ndiye mbabe wa eneo lote la mashariki ya kati.

Iran kawapigisha magoti wote hapo middle east hakuna wa kujibizana naye moja kwa moja ni lazima wajiulize mara mbili mbili.
 
Acha ujingaujinga wewe chogo.Yani kwa ubongo wako unaona Irani anaweza kupambana na Israel?
Kwani kuna Israel nyingine unayoizungumzia au hii inayochezea kichapo mara kwa mara na mifumo yake uchwara ya ulinzi?

Iran kazifumbua macho nchi zingine zilizolishwa propaganda na mashoga kwamba Israel ana mifumo imara ya ulinzi kumbe hola.

Hezbollah na Hamas tu wanafurumusha makombora dhaifu na yanafika Israel bila kipingamizi sembuse Hypersonic missiles za Muajemi?

Fumbua macho kataa kudanganywa tena kila mtu anajionea udhaifu wa Israel.
 
Nilivyoizoea Israeli kule Syria inavyowatandika , nikajua hii ya kushambuliwa na Iran isingepita hata masaa mawili ingejibu , LAKINI LEO NI SIKU YA NNE.

Kwa maoni yangu ninaamini Israeli italipiza kisasi tena huenda itapiga mapigo makali sana. Sema ninaona hii tayari ni WEAKNESS imeonekana kwa jeshi la Israeli kuwa kumbe halipo tayari muda wote kwa asilimia 100% kama wengi tulivyokuwa tunaamini.

Na kumbe huyo Iran angekuwa ameamua kuingia mazima kupiga Israeli mfululizo kwa siku 7 ingekuaje MAANA KAMA VIMERUSHWA VIKOMBORA VIDOGO TU HALAFU NDIO ANAJIPANGA WEEE NA KUJIKUSANYA KULIPA KISASI.
Hujiulizi kwa nini mashambulizi ya Lebanon yanaharakishwa?
 
Kwani kuna Israel nyingine unayoizungumzia au hii inayochezea kichapo mara kwa mara na mifumo yake uchwara ya ulinzi?

Iran kazifumbua macho nchi zingine zilizolishwa propaganda na mashoga kwamba Israel ana mifumo imara ya ulinzi kumbe hola.

Hezbollah na Hamas tu wanafurumusha makombora dhaifu na yanafika Israel bila kipingamizi sembuse Hypersonic missiles za Muajemi?

Fumbua macho kataa kudanganywa tena kila mtu anajionea udhaifu wa Israel.
Acha vichekesho.
 
Back
Top Bottom