Yimakatso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 7,060
- 9,468
Israel hajatwangwa mara mbili na ameufyata?Jamaa una tuhadithi tuzuri kweli.Unaweza kutunga kitabu uuze?😂😂😂😂
Mwenzake Iran ameonesha makombora yake hayazuiliki na mfumo wowote wa ulinzi ndiyo maana yamepenya kiutahisi hadi ardhi ya Mazayuni.