Mimi nikajua Israel huwa inajibu mapigo muda huohuo. Leo ni siku ya nne

Mimi nikajua Israel huwa inajibu mapigo muda huohuo. Leo ni siku ya nne

Si ndipo maana Wengine tukadhani hiki kimya labda mlimshauri ipasavyo kugeuza na shavu la pili, kumbe hola?

Kulikoni kukosekana kwa ushauri wenu mwanana kama huo?
Israel wananjia nyingi za kufanya. Wao na washirika wake. Ila hawatakaa kimya utashangaa. Hata Hamas hawakujibiwa kesho yake. Hata Kiongozi wa Hamas walikiwa wanamtrack siku zaidi ya 24 popote anapoenda kwenye mashimo yake. Tuwe na subira.
 
Sema Israel anataka hii vita iwe kubwa , kuna agenda nyuma yake .


Jmaa bhana kashambulia kambi ya Urusi huko syria
 
Hajibu hayakuwa moja kwa moja hata waliporusha makombora awamu ya kwanza. Ila mkuu wa nchi alifyekwa kinamna. Hawa wanaoption nyingi z kujibu tena zenye maumivu makali kulingana na uwezo na ujuaji wa mjibiwaji. Tusiwapangie. Tuvute subira.
Hata watoto wa Yakobo walitumia akili nyingi na muda kulipiza kisasi cha Dada yao kubakwa.

Ila maumivu yake hayatosahaulika kamwe.
 
Wako kwenye majadiliano ya mbereko kutoka USA, Magaidi wa Israel hawana hiyo nguvu ya kupambana na Iran without support from USA ndugu.
Hata US haikiwa na ubabe wa kuoambana na Iraq thaifu kiliko Iran bila NATO. Ni vitu vya kawaida tu, ndio maana Iran kila siku ndege za kijeshi za Russia zinatua kutoa support. Hata hivyo thinktanks wa Pentagon wengi ni haohao wayahudi. Ndio race yenye ushaiwishi mkubwa Us.
 
Wako kwenye majadiliano ya mbereko kutoka USA, Magaidi wa Israel hawana hiyo nguvu ya kupambana na Iran without support from USA ndugu.

IMG_20241004_074933.jpg


IMG_20241004_074855.jpg
 
Wee subiri, Israel ni Matendo sio maneno. Utawala wa Iran ya Ayatollah Itajuta milele.
 
Kwani Iran hawakufanya kimkakati? Unafikiri walikurupuka? Unafikiri hawkujua kuwa baada ya shambulizi lile nini kingetokea baadae?
 
Israel wananjia nyingi za kufanya. Wao na washirika wake. Ila hawatakaa kimya utashangaa. Hata Hamas hawakujibiwa kesho yake. Hata Kiongozi wa Hamas walikiwa wanamtrack siku zaidi ya 24 popote anapoenda kwenye mashimo yake. Tuwe na subira.

Heri wapatanishi:

IMG_20241004_074855.jpg


Kulikoni kuwa wakaanga mbuyu?

Subira ya shari ya nini ndugu mtumishi?
 
Vita Siku Zote Inapiganwa Kwa Hesabu Siyo Kama Mchezo
 
Leo wakristo mtoke kwenye mijadala wabaki wayahudi na waislamu maana vita ni za waislam na wayahudi sasa nyie kondoo wa bwana mtoke muende majukwaa ya udaku
 
Heri wapatanishi:

View attachment 3114757

Kulikoni kuwa wakaanga mbuyu?

Subira ya shari ya nini ndugu mtumishi?
Najadili uhalisia. Amani tunawaombea. Ila US pia usiwaamini. Wanasema hivyo wakati ndege zao zinapishana kushusha silaha Tel Aviv. Wanasema hivyo wakati manowari zao karibu 60% zimeamriwa kutoka ziliko duniani na zinaizunguka Israel na Iran.

Hili ni jukwaa la kimataifa sio la dini.
 
Kwani kuna Israel nyingine unayoizungumzia au hii inayochezea kichapo mara kwa mara na mifumo yake uchwara ya ulinzi?

Iran kazifumbua macho nchi zingine zilizolishwa propaganda na mashoga kwamba Israel ana mifumo imara ya ulinzi kumbe hola.

Hezbollah na Hamas tu wanafurumusha makombora dhaifu na yanafika Israel bila kipingamizi sembuse Hypersonic missiles za Muajemi?

Fumbua macho kataa kudanganywa tena kila mtu anajionea udhaifu wa Israel.
Iran inayo hiyo mifumo ya kuzuia makombora?

Israel imefanya shambulizi jana kwenye airbase Syria karibu kabisa na majeshi ya Urusi. Imeharibu silaha za Iran na kuua maofisa wa Iran tena. Hili sio jibu kwa shambulizi la Iran. Huu ni mwendelezo wa kupiga shipments za Iran.

Majibu ya Israel yatakuwa na maumivu na mtajisahaulisha mlivyokuwa mnamvimbisha kichwa Iran.
 
Mashambulizi ya Iran yalikuwa kwa sababu ya kuuliwa Ismail Haniyeh, kupigwa kwa ubalozi wa Iran nchini Syria, kutolewa jicho kwa balozi wa Iran nchini Syria, na kuuwawa kwa Nasraillah sasa jiulize hayo matukio yalitokea lini.

Kingine IDF Huwa wanafanya calculations zao vizur sana kabla ya kufanya mashambulizi yeyote.

Mlianza kwa Hamas ooh Israel anamuogopa Hamas sasa hivi huwasikii tena hao wajinga, ikaja kwa Hizbullah mwaka mzima wanarusha makombora Israel mkarudi tena oohh IDF hawez kutia mguu kwa Hizbullah wanawaogopa ila sasa hivi tunavyoongea wanaume wako Lebanon katika operation ya NORTHERN ARROW watakaofuata ni Houth Kisha huyo Iran ndio itakuwa wa kumalizana naye.
 
Najadili uhalisia. Amani tunawaombea. Ila US pia usiwaamini. Wanasema hivyo wakati ndege zao zinapishana kushusha silaha Tel Aviv. Wanasema hivyo wakati manowari zao karibu 60% zimeamriwa kutoka ziliko duniani na zinaizunguka Israel na Iran.

Hili ni jukwaa la kimataifa sio la dini.

Mkuu sisi nani kuwasemea wengine?

Nikadhani jukwaani tunatokea kama tulivyo.

Kumbe tuna nguo tofauti kutegemeana na jukwaa tulipo?

Kulikoni tusikomae na haki bin haki tu?

Kama tunataka Katiba Mpya, Tusiionee "Haya" Haki ya awaye yote
 
Hajibu hayakuwa moja kwa moja hata waliporusha makombora awamu ya kwanza. Ila mkuu wa nchi alifyekwa kinamna. Hawa wanaoption nyingi z kujibu tena zenye maumivu makali kulingana na uwezo na ujuaji wa mjibiwaji. Tusiwapangie. Tuvute subira.
Acha kuwapanga raia wewe!!!
Kwasababu Iran ana mgogoro na Israel basi ajali hazitakiwi kutokea ndani ya Iran. Ajali yoyote ikitokea ndani ya Iran kipindi hiki mtaihusisha na Israel, eti?
 
Mkuu sisi nani kuwasemea wengine?

Nikadhani jukwaani tunatokea kama tulivyo.

Kumbe tuna nguo tofauti kutegemeana na jukwaa tulipo?

Kulikoni tusikomae na haki bin haki tu?

Kama tunataka Katiba Mpya, Tusiionee "Haya" Haki ya awaye yote
Tunajadili uhalisia. Mfano Israel ukimpiga ngumi moja ninutaratibu wake atakupiga ngumi mia na mateke 700.
Hii dunia nzima inajua. Hata hivyo imetabiriwa kutakuwa na vita na tetesi za vita kwa mujibu wa YESU. AMANI Inapatikana kwa kumuamini Yesu tu. Huu ndio uelewa wangu kuhusu amani. Sio kuomba wanaopenda vita na kuchokozana wasipigane. Ukisikia nasisitiza amani jua nasisitiza watu wamjue Yesu. Hii ni wite waislam na wayahudi. Hili ndio hitimisho la kila ninachojadili.
 
Back
Top Bottom