Mimi nikajua Israel huwa inajibu mapigo muda huohuo. Leo ni siku ya nne

Mimi nikajua Israel huwa inajibu mapigo muda huohuo. Leo ni siku ya nne

Naona humu kuna kitu wengi hawakijui bali ushabiki tu
Strait of Hormuz ndio meli zote zinapita na ikumbukwe Tank za mafuta na Gas za waarabu wote zinapita hapo
Sio rahisi kihivyo kupigana vita hapo
Kama watapiga Iran kivita basi mjiandae mafuta kupanda mara 2
Wengi hamuioni hii bali ushabiki wa Yanga tu
Na hiyo ges ndo ina mlisha muisreli ..na faida ya baadhi ya makampuni ndo inapatikana hapo na kupewa israel
 
Hapa tunazungumzia mtu mmoja mmoja kuwa independent thinking kwa vitu vilivyo wazi kuliko kusubiri mchungaji uchwara akawapige fiksi kanisani kuwadanganya maguvu aliyonayo Israel wakati wewe mwenyewe unatakiwa ufuatilie mambo mubashara na kukataa ukondoo.

Hakuna muislamu anayeitwa kondoo na kiongozi wake na wala hatokubali kuitwa hivyo kwasababu tabia ya kondoo inafahamika.

Muislamu akiona anapigwa fiksi na kiongozi wake wa kiimani ana ujasiri wa kuhoji ama kupingana naye kama jambo hilo sio la kweli tofauti na upande ule.
Mimi siangalii udini ndugu yangu bali aliyeleta dini.Babu zetru hawakuanzisha ukristo wala Uislaamu .Walioleta hizi dini ni waarabu na wazungu. Naomba nikuulize mwarabu na mzungu ni nani aliyeanzisha taasisi zenye matumaini na faida kwa watanzania ? . Cha kuongezea makampuni na mashirika gani hapa Tanzania yana mazingira mazuri ya kazi ?. Mimi wazungu wamenifikisha mbali sana mpaka nikarudi kwenye ukristo. Hivi unajua haya mashirika kama World against Hunger, Amref na mengineyo kuna wazungu wanajitolea kukatwa sepa mandate ya euro 100 kila mwezi kuyasaidia. Kuna waarabu wanafanya hivyo ? Nimekutana na wazungu uswisi na ujerumani wamefungua shule na zahanati tanzania na wanatumia mpaka euro 300,000 kwa mwaka kuziendesha. Wameenda mbali zaidi mpaka kujifunza kiswahili na kilugha walipofungua zahanati. Mzungu ni Mzungu tu ndugu yangu. Waarabu wanabaguana wao kwa wao ukiwa saudia kamaa ukoo wako sio wa al Saud hata usome au upambane vipi hauwezi kuwa don au kuwa na nafasi kubwa serikalini.Unategemea kwa mifumo yao watampiga Israeli ? Ukiwa ujerumani ukiishi na lufanya kazi mwaka mmoja wana - kutreat kama raia wa ujerumani hata kama hauna uraia. Kama ukipata mtoto unalipwa hela kila mwezi za mtoto. Kama ukifukuzwa kazi unalipwa 80 % ya mshahara wako mpaka upate kazi nyingine. Mwarabu wanajenga misikiti Tanzania wakijitahidi wanajenga kisima kwa ajili ya kuwatwadhia.We endelea kupiga Rakaa ana kukesha na swala tano. Watoto wako wakazania madrasa badala ya shule.
 
Iran akipiga makombora mfululizo Israel inafutulika kabisa kwenye ramani ya dunia,


Ivi Malaria 2 kwanini Mungu amewatukuza sana waisrael kwenye Qur'an tukufu ilhali hawa mbwa ni mshetani kabisa na waharibifu wa amani duniani, angalia wenzao Iran wamepiga makombora lakini wamelenga maeneo ya jeshi, ila wao wanapigaga makombora sehemu kwenye makazi ya watu,na ufurahia kabisa kuua wasio na hatia,
Neno "Isra'il" katika Qur'an linarejelea watoto wa Yakobo (Isra'il) na kizazi chake, ambacho kilikuja kujulikana kama Bani Isra'il, yaani Waisraeli au Wayahudi wa kale. Qur'an inasimulia historia yao, miongozo waliyopewa na mitume, na majaribio na changamoto walizokumbana nazo.

Hata hivyo, taifa la kisasa la Israel lililoanzishwa mwaka 1948 ni taifa la kisiasa, ambalo lipo Mashariki ya Kati na linawakilisha nchi ya sasa inayodai kuwa sehemu ya ardhi ya kale ya Bani Isra'il. Taifa hili la kisasa limehusishwa na mgogoro wa kisiasa na wa kidini, hususan kati yake na Wapalestina pamoja na ulimwengu wa Kiislamu kwa ujumla.
Kwa hivyo, "Isra'il" ya Qur'an si sawa na taifa la kisasa la Israel. Qur'an inarejelea kihistoria kundi la watu na matukio yao ya kale, wakati Israel ya sasa ni jina la taifa la kisasa linalowakilisha mgogoro wa kisiasa unaoendelea.
 
Mbona walishaliweka hilo wazi kuwa watajibu kwa muda na namna wanavyoona wao inafaa.
 
Hahaha hapo ingekuwa ni Syria sasa hivi ungesikia vifaru vipo mlangoni na tayari wangeshatuma vile vindege vyao vinavyobeba mabomu na wangeshaua watu zaidi ya 2000.

Ila sasa kwa sababu mapigo yametoka Iran ndio mana kanyamaza kimyaaaaaaaaa hapo Israel inasubiri green light ya USA ndio aipige Iran otherwise atakachofanya ni assassination ya kimya kimya.

Iran sio Hamas wala sio Hizbulah, hiyo ni namba nyengine
 
Neno "Isra'il" katika Qur'an linarejelea watoto wa Yakobo (Isra'il) na kizazi chake, ambacho kilikuja kujulikana kama Bani Isra'il, yaani Waisraeli au Wayahudi wa kale. Qur'an inasimulia historia yao, miongozo waliyopewa na mitume, na majaribio na changamoto walizokumbana nazo.

Hata hivyo, taifa la kisasa la Israel lililoanzishwa mwaka 1948 ni taifa la kisiasa, ambalo lipo Mashariki ya Kati na linawakilisha nchi ya sasa inayodai kuwa sehemu ya ardhi ya kale ya Bani Isra'il. Taifa hili la kisasa limehusishwa na mgogoro wa kisiasa na wa kidini, hususan kati yake na Wapalestina pamoja na ulimwengu wa Kiislamu kwa ujumla.
Kwa hivyo, "Isra'il" ya Qur'an si sawa na taifa la kisasa la Israel. Qur'an inarejelea kihistoria kundi la watu na matukio yao ya kale, wakati Israel ya sasa ni jina la taifa la kisasa linalowakilisha mgogoro wa kisiasa unaoendelea.
Good
 
Nilivyoizoea Israeli kule Syria inavyowatandika , nikajua hii ya kushambuliwa na Iran isingepita hata masaa mawili ingejibu , LAKINI LEO NI SIKU YA NNE.

Kwa maoni yangu ninaamini Israeli italipiza kisasi tena huenda itapiga mapigo makali sana. Sema ninaona hii tayari ni WEAKNESS imeonekana kwa jeshi la Israeli kuwa kumbe halipo tayari muda wote kwa asilimia 100% kama wengi tulivyokuwa tunaamini.

Na kumbe huyo Iran angekuwa ameamua kuingia mazima kupiga Israeli mfululizo kwa siku 7 ingekuaje MAANA KAMA VIMERUSHWA VIKOMBORA VIDOGO TU HALAFU NDIO ANAJIPANGA WEEE NA KUJIKUSANYA KULIPA KISASI.
kumchinja kobe kwataka timing
 
Mbona walishaliweka hilo wazi kuwa watajibu kwa muda na namna wanavyoona wao inafaa.

mbona kule Gaza walienda ndani ya saa 24 tu? Iweje kuwe na uzito kusihambulia Iran? Israel without USA and allies is a dead nation.
 
Nilivyoizoea Israeli kule Syria inavyowatandika , nikajua hii ya kushambuliwa na Iran isingepita hata masaa mawili ingejibu , LAKINI LEO NI SIKU YA NNE.

Kwa maoni yangu ninaamini Israeli italipiza kisasi tena huenda itapiga mapigo makali sana. Sema ninaona hii tayari ni WEAKNESS imeonekana kwa jeshi la Israeli kuwa kumbe halipo tayari muda wote kwa asilimia 100% kama wengi tulivyokuwa tunaamini.

Na kumbe huyo Iran angekuwa ameamua kuingia mazima kupiga Israeli mfululizo kwa siku 7 ingekuaje MAANA KAMA VIMERUSHWA VIKOMBORA VIDOGO TU HALAFU NDIO ANAJIPANGA WEEE NA KUJIKUSANYA KULIPA KISASI.
Ulijua hujui. Unawapangia?
 
Hata lebanon haikupigwa siku ile ile ilipoleta uchokozi
 
Nilivyoizoea Israeli kule Syria inavyowatandika , nikajua hii ya kushambuliwa na Iran isingepita hata masaa mawili ingejibu , LAKINI LEO NI SIKU YA NNE.

Kwa maoni yangu ninaamini Israeli italipiza kisasi tena huenda itapiga mapigo makali sana. Sema ninaona hii tayari ni WEAKNESS imeonekana kwa jeshi la Israeli kuwa kumbe halipo tayari muda wote kwa asilimia 100% kama wengi tulivyokuwa tunaamini.

Na kumbe huyo Iran angekuwa ameamua kuingia mazima kupiga Israeli mfululizo kwa siku 7 ingekuaje MAANA KAMA VIMERUSHWA VIKOMBORA VIDOGO TU HALAFU NDIO ANAJIPANGA WEEE NA KUJIKUSANYA KULIPA KISASI.
Wale hawakurupuki, wanaangalia kwanza wasija wakasababisha escalation ya aina yoyote.
 
Aise hapa kweli nimeamini naongea na mtu ambaye akili zake zimeshikwa na mwingine.

Hujaona habari ya jeshi la IDF kukiri madhara makubwa yaliyotokana na makombora ya Iran dhidi ya kambi zake za kijeshi hasa kambi za jeshi la anga?

Yaani wataalamu wa jeshi la Israel wanakiri madhara makubwa yaliyotokea wewe usiye na access yoyote unasema hakuna madhara.

Napenda kuweka hoja mezani na mtu mwenye uelewa wa masuala mazima ya globe lakini nimegundua wewe hufuatilii mambo unasubiri uhadithiwe tu.
Leta link la sivyo ni porojo tu.
 
Nilivyoizoea Israeli kule Syria inavyowatandika , nikajua hii ya kushambuliwa na Iran isingepita hata masaa mawili ingejibu , LAKINI LEO NI SIKU YA NNE.

Kwa maoni yangu ninaamini Israeli italipiza kisasi tena huenda itapiga mapigo makali sana. Sema ninaona hii tayari ni WEAKNESS imeonekana kwa jeshi la Israeli kuwa kumbe halipo tayari muda wote kwa asilimia 100% kama wengi tulivyokuwa tunaamini.

Na kumbe huyo Iran angekuwa ameamua kuingia mazima kupiga Israeli mfululizo kwa siku 7 ingekuaje MAANA KAMA VIMERUSHWA VIKOMBORA VIDOGO TU HALAFU NDIO ANAJIPANGA WEEE NA KUJIKUSANYA KULIPA KISASI.


Ukitaka kumkamata kuku wa kienyeji mtumie mahindi kwanza. Watu hawana papara kama za Iran. Wanaweza chukua hata miezi.
 
Tulia mkuu mosad tunakusanya kwanza taarifa za kijasusi tukipiga tunapiga kitu heavy
 
Na hiyo ges ndo ina mlisha muisreli ..na faida ya baadhi ya makampuni ndo inapatikana hapo na kupewa israel
Haswa
Halafu unaona mtu anasema ooh Israel huwa anajibu mapigo hapo hapo
Hao utakuta hawana hili wala lile kuhusu masuala ya Uchumi wa Dunia
 
Nilivyoizoea Israeli kule Syria inavyowatandika , nikajua hii ya kushambuliwa na Iran isingepita hata masaa mawili ingejibu , LAKINI LEO NI SIKU YA NNE.

Kwa maoni yangu ninaamini Israeli italipiza kisasi tena huenda itapiga mapigo makali sana. Sema ninaona hii tayari ni WEAKNESS imeonekana kwa jeshi la Israeli kuwa kumbe halipo tayari muda wote kwa asilimia 100% kama wengi tulivyokuwa tunaamini.

Na kumbe huyo Iran angekuwa ameamua kuingia mazima kupiga Israeli mfululizo kwa siku 7 ingekuaje MAANA KAMA VIMERUSHWA VIKOMBORA VIDOGO TU HALAFU NDIO ANAJIPANGA WEEE NA KUJIKUSANYA KULIPA KISASI.

Mnafurahi kuona watu wanakufa kila kukicha, kubalini kuwa hamna technology acheni na kupeleka watoto madrasa pelekeni watoto shule halafu baadae mje kumpiga Israel. Ila kwa sasa hamuwezi rudini chini mjipange.
 
Kwa hiyo anga ya Iran iko tupu haina mifumo ya ulinzi?
Sisi tuna subiri mwisho wa utawala wa maayatullah kama mlivyo tuahidi.
Ungejibu ni mfumo gani wa Iran unaweza zuia ballistic missiles. Mifumo ya Iran ni kuzuia ndege na cruise missiles kwa kiasi chake. Pia Iran haina fighter jets za kuizuia Israel, yaani F-14 za Marekani ambazo Marekani aliacha kutumia mara ya mwisho 2005 ndio zizuie modern fighters za Israel? Labda Iran wangekuwa wamepewa Su-35 wanazotaka sana.

Suala la angani Iran ni mweupe sana mbele ya Israel. Suala la ardhini hawapakani hivyo Iran itabidi ivamie nchi nyingine kwanza ndio ipitishe majeshi kuvamia Israel. Majini ndio kabisa Iran mweupe.
 
View attachment 3114994
Mnafurahi kuona watu wanakufa kila kukicha, kubalini kuwa hamna technology acheni na kupeleka watoto madrasa pelekeni watoto shule halafu baadae mje kumpiga Israel. Ila kwa sasa hamuwezi rudini chini mjipange.
Mimi ni muafrika wa Tz. Ungeniambia nisome kwa ajili ya Tz ningekuona unajielewa. Ila mwenzangu wewe naona ni Myahudi wa Haifa.
 
Back
Top Bottom