Mimi nikajua Israel huwa inajibu mapigo muda huohuo. Leo ni siku ya nne

Mimi nikajua Israel huwa inajibu mapigo muda huohuo. Leo ni siku ya nne

Marekan kwa ukraine sio sawa na marekan kwa israel...

Ingekuwa Urusi ameivamia Israel amin nakwambia US angeshaingia kitambo...

Interest za US kwa ukraine hazifikii ukubwa wa US kwa israel.. US kawekeza pakubwa sana pale Israel na lengo lake ni ili awe na Proxy Middle East.. kwa Europe ana proxy sehem nying tu..
Basi huyo proxy wake, kapelekewa proxy na muiran nahio ndio dawa haitokuja kutokea Israel aishi kwa amani hapo mashariki ya kati. Maana anapambana na warabu ambao wanaamini wakifa vitani (wao wanaita kufa Shahid)wanaenda kuishi maisha Bora kuliko ya huku duniani.
 
Screenshot_20241004-150421~2.png

Tulieni mabikra 72 nyie
 
Dah ujue hiz siku 3 nimepunguza ushabiki wa huu mgogoro baada ya kuhama humu na kuhamia utube kufuatilia live coverage, aisee ni huruma, kama mzazi napoona mzazi mwingine anamwaga chozi na kulia kama mtoto pembeni yake akiwa na maiti za watoto wake... aisee inauma.. kiona vitoto vimepoteza wazaz viko kweny mafolen na mabakuli kungoja msosi wa msaada wakati mimi huku wanangu wanakula ns kusaza kwakwel nimejisikia moyo kuugua kabisaaaa.

Haijalishi ni wayahu au waarabu, Mungu apishe mbali haya majanga
Inasikitisha
 
Back
Top Bottom