Kuna mijamaa ikisikia Mbowe, Chadema, katiba mpya, Corona nk mioyo hudunda karibu roho kuwatoka!
Mleta mada keshatia timu, mwingine huyu hapa, ngoja tuisubiri mingine.
Miye niko na zoom najisemea:
Hiiiiii bagosha!
Katika 10 bora ya wanasiasa uchwara na wanaoendekeza njaa hapa Africa hawa jamaa wanaongoza.Mwaka ule niliogundua chadema ni vibaka kuliko vibaka wote nchini ndio Mwaka nilioamua kuwapuuza chadema
Kama hawa ndio wanataka kushika dola heri wananchi tukomae CCM iendelee kutawala tuu
Chadema 2005 - 2014
View attachment 1889514View attachment 1889515
Peleka umbea wako kwa wanawake wenzio
Tena kafikia mwisho mbaya ingawa TOBO anafurahi kwani anajua atakuwa Kaimu Mwenyekiti aliyeko Ughaibuni! Anakoishi kwa ruzuku ya Wabeligiji, ingawa naye siku zake zinahesabiwa kwani Wazungu wanapitia kipindi kigumu - kimaisha na kimaendeleo - hivyo wanaanza kuhoji matumizi ya ajabu ajabu ya kuwalisha watu kama akina Tobo na nani yule mwingine kule Kanada!? Donor fatique is a reality na itawagusa tu anytime.waswahili tuna msemo usemao;
Hakuna marefu yasiyo na ncha.........
sasa kachafuka vibaya sana!!
tayari taarifa zake zimeingizwa kwenye database ya dunia kama GAIDI.
alidhani uovu wake huto julikana milele........!!!
wacha avune alicho kipanda!!!
Mtu alidiriki kukiuza chama mwaka 2015 kwa billion 10!!! akamchuuza mzee wa watu Dr.!!! aisee huyu jamaa ni hatari!!
wanao diriki kumtetea mtu kama huyu hata wao ni waovu au walikuwa wana nufaika na uovu wake sana. lkn sasa kafikia mwisho.
nakumbuka kifo cha Chacha Wagwe, Mbowe alipo hudhuria mazishi alitaka kupigwa na wananchi walio na hasira akaokolewa na mzee Wasira kama sijakosea.Mbowe amehusishwa na mambo mengi sana kama vile kifo cha Chacha wangwe. Marehemu kabla ya kifo chake alishauri kile kipengele cha ukomo wa madaraka kwa mwenyekiti kirudishwe ili kutoa haki na wengine waweze kukiongoza chama hicho kupitia demokrasia ya kweli ndani ya chama. Ukiachana na hii ambayo imekaa kiupande upande, kama ile katiba ya kwa M7 ambapo kila uchaguzi unapofika jamaa anaambiwa ana haki ya kugombea ili mradi tu chama kimempitisha agombee (udikteta). Kumkosa kosa Zito kwa njia ya sumu baada ya yeye pia kujaribu kum challenge Mbowe kuhusu uenyekiti ambao ndio unampa utajiri, na kumfanya Mbowe awe na nguvu na uwezo wa kuamua chochote ndani ya chama bila mpuuzi yoyote kufungua domo lake kupingana nae. Pia inasemekana Ben saa8 ilishikwa masikio na wapenda mabadiliko ambao walimtumia saa8 kama speaker ya kumshauri mwenyekiti kuhusu kujiuzulu, au kuacha kugombea tena katika uchaguzi mungine kwa sababu ya boko aliyotoa mwaka 2015 ya kumleta fisadi aje agombee uraisi huku akiwaacha wafia chama wa kweli wakimpigia deki barabara. Kwahiyo kitendo cha Ben kujaribu kumshauri bwana mkubwa kilisababisha hasira ya chini kwa chini na matokeo yake alipotea ktk mazingira ya kutatanisha baada ya kutoka ofisini kwake. Lisu ujuaji wake na umaarufu alioanza kujijengea ndani ya chama ndio uliomponza maana mwenyekiti aligundua kama jamaa angeendelea kuwa vizuri mpk ktk uchaguzi mkuu wa chama, basi angeshauriwa agombee na hatimae kumbwaga mwenyekiti kwahiyo baada ya kuligundua hilo akataka afanye ya Chacha wangwe ila kwa bahati nzuri Lisu siku zake zilikuwa bado kama ilivyokuwa kwa Zito. Samaye aliejifanya anataka kupima mafuta ya moto kwa kidole ili am challenge mwenyekiti aliambiwa wazi kuwa "asijaribu kuonja sumu kwa ulimi". Hii kauli ilibeba ujumbe na maana nzito sana.
Du nisamehe mamaTumekukosea nini mama zako, dada zako, binti zako, bibi zako, shangazi zako...?
Ukishaona tukio linalowahusu na wanaolalamikia CHADEMA wanaficha picha za tukio jua kuna namna wamepika!Uchunguzi wa kimataifa unagharama zake, nani atawalipa mabilioni ya shiling? lkn pia kwann waitwe wa kimataifa na wakati wa kwetu wanaliweza jambo hilo? Mbowe na genge lake wamwachie dereva aje ahojiwe ili haki ya muhusika ipatikane.
Wala haujakosea mkuu.nakumbuka kifo cha Chacha Wagwe, Mbowe alipo hudhuria mazishi alitaka kupigwa na wananchi walio na hasira akaokolewa na mzee Wasira kama sijakosea.
Mmmmh....!!! Huyu jamaaa mmmh!!nakumbuka kifo cha Chacha Wagwe, Mbowe alipo hudhuria mazishi alitaka kupigwa na wananchi walio na hasira akaokolewa na mzee Wasira kama sijakosea.
Hili suala na wao wanalijadili kumbe:
Kumuhusu Chacha Wangwe pia nimeyasoma na kuyasikia katika vimijadala Mbalimbali. Lakini pia nimekumbuka taarifa ya awali ya Jeshi la polisi baada ya kumkamata walisema anatuhumiwa pia kwa "Attempts" ama kwa tuhuma za mauaji ya Viongozi. Yawezekana Jeshi lina ufahamu fulani ama lina hints lakini hazijaunga ndo maana wamedrop kwanza. They should Investigate this.
Mh Sumaye aliejifanya anataka kupima mafuta ya moto kwa kidole ili am challenge Mbowe aliambiwa wazi kuwa asijaribu kuonja sumu kwa ulimi. Kilichotokea wote tunakijua
Achilia mbali mchungaji Mtikila, Dkt Mvungi, Ben Saanane, n.k. Ni wakati sasa wa Mamlaka husika kuangazia haya mambo kwa undani. Kuna mengine ni ya Ajali lakini yanawezekana kuwa ni njama. Kuna mamlaka zina uwezo wa kuyathibitisha haya kwa kuchunguza kwa undani. Kwa tusiojua unaweza kupanga mauaji kwa ajili ya kupata public sympathy au kupata ajenda ya kushambulia utawala uliopo. Unaweza ukashambulia eneo fulani kwa bomu kwa ajili ya kupata ajenda za kisiasa.
Mmojawapo wa anayetajwatajwa sana ni Bwana Freeman Mbowe ambaye kwa sasa anatuhumiwa kwa Ugaidi , ni vyema uchunguzi dhidi yake ungeanza pia katika haya masuala. Wanasiasa si wa kuwaamini kabisa linapokuja swala la Political Interest.
Bora wewe ulishutuka mapema!! Wengine hadi leo bado wanaiamini chadema!Mwaka ule niliogundua chadema ni vibaka kuliko vibaka wote nchini ndio Mwaka nilioamua kuwapuuza chadema
Kama hawa ndio wanataka kushika dola heri wananchi tukomae CCM iendelee kutawala tuu
Chadema 2005 - 2014
View attachment 1889514View attachment 1889515
Wee jamaa/mdada tangu juzi ni mada za kushambukia upande fulani tuu .jaribu kuzuia hisia zako basi. Kuna leo na kesho ujueHili suala na wao wanalijadili kumbe:
Kumuhusu Chacha Wangwe pia nimeyasoma na kuyasikia katika vimijadala Mbalimbali. Lakini pia nimekumbuka taarifa ya awali ya Jeshi la polisi baada ya kumkamata walisema anatuhumiwa pia kwa "Attempts" ama kwa tuhuma za mauaji ya Viongozi. Yawezekana Jeshi lina ufahamu fulani ama lina hints lakini hazijaunga ndo maana wamedrop kwanza. They should Investigate this.
Mh Sumaye aliejifanya anataka kupima mafuta ya moto kwa kidole ili am challenge Mbowe aliambiwa wazi kuwa asijaribu kuonja sumu kwa ulimi. Kilichotokea wote tunakijua
Achilia mbali mchungaji Mtikila, Dkt Mvungi, Ben Saanane, n.k. Ni wakati sasa wa Mamlaka husika kuangazia haya mambo kwa undani. Kuna mengine ni ya Ajali lakini yanawezekana kuwa ni njama. Kuna mamlaka zina uwezo wa kuyathibitisha haya kwa kuchunguza kwa undani. Kwa tusiojua unaweza kupanga mauaji kwa ajili ya kupata public sympathy au kupata ajenda ya kushambulia utawala uliopo. Unaweza ukashambulia eneo fulani kwa bomu kwa ajili ya kupata ajenda za kisiasa.
Mmojawapo wa anayetajwatajwa sana ni Bwana Freeman Mbowe ambaye kwa sasa anatuhumiwa kwa Ugaidi , ni vyema uchunguzi dhidi yake ungeanza pia katika haya masuala. Wanasiasa si wa kuwaamini kabisa linapokuja swala la Political Interest.
Tanzania hatuendelei na wala hatutaendelea kwa sababu tunawaza mambo ya kijinga na ya kukomoana. Huu ni ushetani unaouwaza mpaka unaiambia jamii ushetani wako. Na sasa vyombo vyetu vya usalama vimeanza kufundishwa na wakora. Daaaaahhhh, Tanzaniaaaa, pole Nchi Yangu!!!!!!!!!!!!!Hili suala na wao wanalijadili kumbe:
Kumuhusu Chacha Wangwe pia nimeyasoma na kuyasikia katika vimijadala Mbalimbali. Lakini pia nimekumbuka taarifa ya awali ya Jeshi la polisi baada ya kumkamata walisema anatuhumiwa pia kwa "Attempts" ama kwa tuhuma za mauaji ya Viongozi. Yawezekana Jeshi lina ufahamu fulani ama lina hints lakini hazijaunga ndo maana wamedrop kwanza. They should Investigate this.
Mh Sumaye aliejifanya anataka kupima mafuta ya moto kwa kidole ili am challenge Mbowe aliambiwa wazi kuwa asijaribu kuonja sumu kwa ulimi. Kilichotokea wote tunakijua
Achilia mbali mchungaji Mtikila, Dkt Mvungi, Ben Saanane, n.k. Ni wakati sasa wa Mamlaka husika kuangazia haya mambo kwa undani. Kuna mengine ni ya Ajali lakini yanawezekana kuwa ni njama. Kuna mamlaka zina uwezo wa kuyathibitisha haya kwa kuchunguza kwa undani. Kwa tusiojua unaweza kupanga mauaji kwa ajili ya kupata public sympathy au kupata ajenda ya kushambulia utawala uliopo. Unaweza ukashambulia eneo fulani kwa bomu kwa ajili ya kupata ajenda za kisiasa.
Mmojawapo wa anayetajwatajwa sana ni Bwana Freeman Mbowe ambaye kwa sasa anatuhumiwa kwa Ugaidi , ni vyema uchunguzi dhidi yake ungeanza pia katika haya masuala. Wanasiasa si wa kuwaamini kabisa linapokuja swala la Political Interest.
Mbowe angekuwa amehusika Tundu Lissu kupigwa risasi - kwa ninavyoijua hii serekali hata kama ingekuwa imemuona katikisa ukope tu walahi angekuwa tayari convicted na pengine kunyongwa kabisa.Hili suala na wao wanalijadili kumbe:
Kumuhusu Chacha Wangwe pia nimeyasoma na kuyasikia katika vimijadala Mbalimbali. Lakini pia nimekumbuka taarifa ya awali ya Jeshi la polisi baada ya kumkamata walisema anatuhumiwa pia kwa "Attempts" ama kwa tuhuma za mauaji ya Viongozi. Yawezekana Jeshi lina ufahamu fulani ama lina hints lakini hazijaunga ndo maana wamedrop kwanza. They should Investigate this.
Mh Sumaye aliejifanya anataka kupima mafuta ya moto kwa kidole ili am challenge Mbowe aliambiwa wazi kuwa asijaribu kuonja sumu kwa ulimi. Kilichotokea wote tunakijua
Achilia mbali mchungaji Mtikila, Dkt Mvungi, Ben Saanane, n.k. Ni wakati sasa wa Mamlaka husika kuangazia haya mambo kwa undani. Kuna mengine ni ya Ajali lakini yanawezekana kuwa ni njama. Kuna mamlaka zina uwezo wa kuyathibitisha haya kwa kuchunguza kwa undani. Kwa tusiojua unaweza kupanga mauaji kwa ajili ya kupata public sympathy au kupata ajenda ya kushambulia utawala uliopo. Unaweza ukashambulia eneo fulani kwa bomu kwa ajili ya kupata ajenda za kisiasa.
Mmojawapo wa anayetajwatajwa sana ni Bwana Freeman Mbowe ambaye kwa sasa anatuhumiwa kwa Ugaidi , ni vyema uchunguzi dhidi yake ungeanza pia katika haya masuala. Wanasiasa si wa kuwaamini kabisa linapokuja swala la Political Interest.
Yule wa Canada hajaenda kwa style ya Lissu, yule kaenda kwa style hii ya karibuni ya Canada kupokea wahamiaji! Yeye, mke wake na watoto wake wote wanapiga box la kufa mtu ili kuleta mkate mezani! Ndiyo maana anahangaika kuchangisha nyumbu michango, Canada njaa kaliTena kafikia mwisho mbaya ingawa TOBO anafurahi kwani anajua atakuwa Kaimu Mwenyekiti aliyeko Ughaibuni! Anakoishi kwa ruzuku ya Wabeligiji, ingawa naye siku zake zinahesabiwa kwani Wazungu wanapitia kipindi kigumu - kimaisha na kimaendeleo - hivyo wanaanza kuhoji matumizi ya ajabu ajabu ya kuwalisha watu kama akina Tobo na nani yule mwingine kule Kanada!? Donor fatique is a reality na itawagusa tu anytime.