Miradi yote mikubwa iliyoanzishwa kwa pupa na Hayati Magufuli sioni hata mmoja utakaokuwa na ufanisi

Tena alikurupuka sana



Yeye magu hakuleta hasara alivyokua anaapisha Dom..?!maana watu walikua wanatoka Dar kwenda Dom
Jiwe alikuwa anaapishia viongozi mpk kijijini kwake Chato. Mwigulu Nchemba aliapidhiwa chumbani kwa jiwe, Chato.
Jiwe alikuwa mshenzi sana huyu.
 
Kama alizichuma hizo mali kwa njia ya wizi na alitumia mamlaka kuzilimda basi jua akifa lazima waliyoibiwa wachukue chao
Na kweli, alivyokufa tuu fastaa wakaanzia kwenye maandalizi ya mazishi yake
 
Kwani hile mibeewa used Nani aliagiza alafu tuendelee na usimamizi
Una mihemko brother hakuna aliyenunua mabehewa mabovu ningejaribu kukupa uelewa na hilo ila kwa bahati mbaya zaidi tayari kuna kitu umejijengea katika uelewa wako.
 
Mbona serikali ya awamu ya Sita inaendeleza?

Lawama zote ni kwa samia hapa
 
Mtazamo wa kuhamisha makao makuu ya serikali kutoka Dar es salaam kwenda Dodoma ulikuwepo tokea kipindi Tanganyika imepata uhuru na hayakuwa tu ni mawazo ya Nyerere.

Sababu zilizopelekea Nigeria kuhamisha serikali kutoka lagos kwenda Abuja ndio hizo hizo zilizopelekea serikali ya Tanzania kuhamia Dodoma.

Au unadhani wabrazil ni wajinga kuhamisha serikali yao kutoka jiji kubwa na zuri kama Rio de Janeiro na kwenda Brasilia.
 
Mleta mada hujakosea kitu. Sikufahamu ila unaonekana una akili sana.
Ana akili gani? Huyonl ni mtoto mdogo na hajui chochote. Unapoanza jambo productive usifikiri mambo yatakuwa mteremko. Hata unapozaa watoto utashangaa wengine wanakuwa na tabia za hovyo na hiyo haimaanishh kuwa kuwa na watoto ni jambo baya. Lazima uwe na mipango ya kumitigate matatizo yanapotokea
 
Ununuzi wa ndege na kuhamia Dodoma ndiye miradi isiyokuwa na tija, SGR na bwawa la Nyerere ni miradi mizuri kama ingefanywa kwa utaratibu mzuri na ikapata watu sahihi wa ikasimamiwa vyema.

Hamia dar tena, hamna aliyekuzuia
 
Kuna vichwa vinawaza kwakutumia makalio" in Masaburi voice.

Hivi sisi ni wa kwanza kujenga bwawa la umeme duniani? Mbona kwa wenzetu yanafanya vizuri?

Je sisi ni wakwanza kuwa na SGR?
Sisi ni wa kwanza kuwa na ndege?
Mbona mashirika ya wenzetu hayafi?
Mleta mada ni mtu wa kipekee sana!

Hujuma zinafanyika wazi wazi ili waletwe wawekezaji. Ili miradi ya serikali wakimiliki wao wenyewe kwa mgongo wa uwekezaji.
Kuhusu bwana la umeme wenye akili walishajua baada ya mwamba kufa huu mradi lazima utahujumiwa.
Umeme ukipatikana wakina IPTL, Symbion na ndugu zao watakula wapi?
 
Kichwa kikubwa kisicho na akili ni mzigo kwa mwili.
kijana unautesa mwili wako sababu ya bichwa lako kubwa lisilo na akili
 
Hujuma !
Mwendazake amewashika watu pabaya !
 
Hata huko mtera wameyaacha maji yajae kupita kiasi ili mitambo izimike !
 
Kulikuwa na haja ya kuanzisha TANOIL, kwa mfano?

Serikali ya Tz hata ingekuwa na visima vya mafuta kama vya Urusi au Saudia iviendeshe yenyewe obviously ingepata hasara ya mabilioni.
 
Noma kweli yaani !
 
Reactions: G4N
Upembuzi yakinifu wa Miradi ni wa mwaka 1970 wewe unakirupuka 2022 kufanya implementation.
 
Marehemu hasemwi vibaya lkn yule jamaa alikua anakurupuka sana matokeo yake anamtesa mama Sasa na madeni na hasara alizotuachia
Anamtesaje?

Ndio maana nakwambia miradi itafeli sababu ya akili visoda
 
Mama kajenga vituo cha afya kila wilaya hapa kwa fedha za uviko.

. Pia amemtua mama ndogo kichwani. Unasemaje juu ya haya?
Kabla ya hapo hizo zahanati hazikuwepo?

Yani mpaka ajenge kwa fedha za uviko?

Alafu zahanati ina tofauti gani na shule ya kata?

Nataka mimi nitajie mradi wowote wa uma unaoendeshwa kwa ufanisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…