Miradi yote mikubwa iliyoanzishwa kwa pupa na Hayati Magufuli sioni hata mmoja utakaokuwa na ufanisi

Kwamba dar to moro ni km 300!!! 😂

SGR na bwawa la umeme ni miradi yenye tija, shida imefanywa kisiasa na kiupigaji ndio tatizo lilipo.
Bwawa la umeme la JK Nyerere, Ndege,daraja la JPM na SGR hivi vina tija kubwa vikiendeshwa kwa weledi na kibiashara na vinagusa uchumi na maisha ya wananchi kwa ujumla. Ni viashiria vya maendeleo.
 
Ununuzi wa ndege na kuhamia Dodoma ndiye miradi isiyokuwa na tija, SGR na bwawa la Nyerere ni miradi mizuri kama ingefanywa kwa utaratibu mzuri na ikapata watu sahihi wa ikasimamiwa vyema.
Una mawazo kama yangu. Umeme wa uhakika na usafiri wa treni katika nchi yoyote ni mambo muhimu sana. Hii miradi hata mimi niliiunga mkono kwa nguvu zote ila tatizo ni kuwa ilifanywa kwa pupa, kibabe na ki-mhemko zaidi. Ndege ilikuwa ni uamuzi wa kipuuzi sana na nina uhakika hautadumu kwa sababu ulifanywa bila upembuzi yakinifu na bila kujua ni kwa nini tulikuwa tumefeli kipindi cha nyuma. Dodoma ndiyo kabisaa, hakukuwa na umuhimu wowote wa kuongeza gharama za serikali kwani sababu za makao makuu kuwa Dodoma hazi-exist tena kwenye hii karne ya sasa.
 
Leo ndio nimeamini una akili ndogo sana 😂😂😂😂😂
 
Ni vile tu hayupo.
Ngumu sana mtu kubeba mawazo yako mia kwa mia.
 
Una mawazo kama yangu. Umeme wa uhakika na usafiri wa treni katika nchi yoyote ni mambo muhimu sana.
Katika zama hizi za tabianchi huwezi kupata umeme wa uhakika kupitia vyanzo vya maji yatokanayo na mvua.

Jiwe alikuwa hana akili, alipaswa kutengeneza miradi ya umeme utokanao na upepo ama jua ambayo hata gharama zake ni ndogo.
 
Katika zama hizi za tabianchi huwezi kupata umeme wa uhakika kupitia vyanzo vya maji yatokanayo na mvua.

Jiwe alikuwa hana akili, alipaswa kutengeneza miradi ya umeme utokanao na upepo ama jua ambayo hata gharama zake ni ndogo.
Kwa uzoefu wangu, nchi nyingi ambazo ziko stable kwa umeme, huwa zinakuwa na sources nyingi. Hivyo basi, kutegemea source moja ni kosa. Tafakari: tunaweza kuwa na vyanzo vingi ili kuwa na umeme wa uhakika.
 
Reactions: G4N
Mleta mada anafikiri Kwa kutumia makalio
 
Matako ya bibiako, Mnapaswa kuona ainsi nyie vilaza wala rushwa mlioshindwa kuendeleza miradi kwa ifanisi. Mbgemuacha alafu muone kazi, Matako we
 
Lack of vision and exposure will eliminate you naturally!
 
Bora hata magufuli tumeona hela zetu zinafanya kazi madaraja majengo na vitu kibao kajenga.Ajabu anakuja shoga mmoja anaona JPM kakurupuka lakini hajiulizi je serikali ilikua haina mpango wa kujenga hilo bwawa tangu enzi za nyerere haya yote aliyo yafanya je hayakua katika mipango yetu ya nchi!!Llabda useme uwanja wa ndege chato lakini kwingine tumpe maua yake yule mzeee.Sasa hivi hizo hela alizo fanya yote hayo utakua unazisikia tu billion 100 zimetumika kuafanya utafiti jambo fulan watu wanajilia tu.
 
Bwawa la umeme asbh na mapema tayari limefeli dah my country Tañzania
 
w
AKILI KISODA
-wewe ni akili kisoda sana yaani biashara uanzishe ya mabilioni utegemee kupata faida ndani ya miaka miwili mitatu hata miaka kumi hupati faida biashara nyingine
-ni kampuni chache za kitechnologia na nyinginezo hupata faida kwa mda mfupi kama wamewekeza billions
-halafu kitu kingine wewe AKILI KISODA hasara kwenye biashara ni pete na kidole labda ukafanye umalaya ndio hutapata hasara.
AKILI KISODA MMOJA
 
Umeongea kwa ukweli ila umesahau, pesa inabadilika thamani yaani kama umezoea kupanda bajaji kwa 500 miaka 50 utapanda kwa 2000,huoni kama kunafaida yakujenga nchi mapema kabla thamani haijapanda.
 
Huna akili wewe KOBAZ
 
Bandar kauza Magufuli? Ngorongoro na Loliondo aliuza magufuli?

Kwamba wewe pale dar haupiti kwenye fly overs? Tatizo lako wewe na wenzako ni udini tu umewatawala. Ndo maana kule Gaza, Siria na Iran mnapigwa kila siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…