Miradi yote mikubwa iliyoanzishwa kwa pupa na Hayati Magufuli sioni hata mmoja utakaokuwa na ufanisi

Miradi yote mikubwa iliyoanzishwa kwa pupa na Hayati Magufuli sioni hata mmoja utakaokuwa na ufanisi

1. Bwawa la Nyerere, ndiyo hilo lililojengwa bila kangalia madhara yake kwenye mazingira. Matokeo yake mtambo mmoja tu uliowashwa kwa wiki 2 tu umeleta mafuriko ya kutisha, na Sasa umezimwa. Failure asubuhi na mapema.

2. Madege:-
Kwa mujibu wa ripoti ya CAG iliyotolewa karibuni madege haya yametuingizia hasara ya mabilioni kama inavyoonekana hapa:-

View attachment 2953612
3. SGR: Hii ndiyo pasua kichwa kweli kweli. Imesababisha hasara ya mabilioni ya shilingi kama inavyoonekana hapo namba 2. Mpk sasa kipande cha Dar -Moro kinashindwa kuanza kufanya kazi kwasabb zifuatazo:-
a. Vichwa vilivyoletwa ni chakavu.
b. Spidi ya treni ni 160kmph, na umbali toka Dar mpk Moro ni km 300. Sasa kwa speed hiyo, treni ikienda bila kusimama itatumia saa 1 na dak 52 (sawa na masaa 2). Lkn kwa kuwa itakuwa inapakia na kushusha itatumia masaa 3 na kitu.

Sasa nani atapanda hiyo treni ? Ufanisi wake uko wapi?

4. Ujenzi wa makao makuu Dodoma.

Hivi Kuna kipya kimeongezeka ktk utoaji wa huduma kwa wananchi baada ya makao makuu kuhamia Dodoma. Faida gani imepatikana ambayo tungeikosa kama makao makuu yangerndelea kuwa Dar?. Ni uendawazimu tu.

Acha niishie hapa, msinichoshe mie!
Kwa hiyo unatakaje sasa
 
Nchi yetu imekuwa kama ya waabudu mizimu kwa sababu kulikuwa hakuna sababu yoyote ya kung'ang'ania kuhamisha makao makuu ya nchi isipokuwa eti kwa kuwa ilikuwa ni malengo ya Nyerere kutokana na uamuzi wa Tanu!
 
Sio yeye tu wapo wapumbavu wengi tu nchi hii wakipata ka kitengo ka kuwawezesha kupata uhakika wa kula huwa wanajiona wamemaliza..... Jana nilienda pale chuo cha NIT Kuna jamaa yangu nilienda kumuona ambae tulisoma chuo Japo yeye kapata kitengo, sasa Kuna mwingine nae kaajiriwa kwa kumtangulia jamaa yangu japo na yeye tulisoma chuo kimoja, jamaa alikuwa ananiangalia kwa dharau sana kwa sababu anafahamu mimi sina kitengo hapa daressalam , sasa nikikumbuka ya Magufuri ya kuongezewa muda wa urais kutoka miaka mitano mpaka Saba huwa naishia kucheka😁😁😁😁
Mimi kuna mshikaji wangu nilisoma nae pia alikuwa ananicheka wazi na kunishangaa naendeshaje maisha kwakuwa mimi ni nurse..
Wakati binafsi ninatimiza majukumu yangu yote ya msingi pasipo mawaa yeyote..
Wakati huo yeye alikuwa mhasibu sasa hv yupo kolokroni jela kwa wizi
 
Kwamba dar to moro ni km 300!!! 😂

SGR na bwawa la umeme ni miradi yenye tija, shida imefanywa kisiasa na kiupigaji ndio tatizo lilipo.
 
1. Bwawa la Nyerere, ndiyo hilo lililojengwa bila kangalia madhara yake kwenye mazingira. Matokeo yake mtambo mmoja tu uliowashwa kwa wiki 2 tu umeleta mafuriko ya kutisha, na Sasa umezimwa. Failure asubuhi na mapema.

2. Madege:-
Kwa mujibu wa ripoti ya CAG iliyotolewa karibuni madege haya yametuingizia hasara ya mabilioni kama inavyoonekana hapa:-

View attachment 2953612
3. SGR: Hii ndiyo pasua kichwa kweli kweli. Imesababisha hasara ya mabilioni ya shilingi kama inavyoonekana hapo namba 2. Mpk sasa kipande cha Dar -Moro kinashindwa kuanza kufanya kazi kwasabb zifuatazo:-
a. Vichwa vilivyoletwa ni chakavu.
b. Spidi ya treni ni 160kmph, na umbali toka Dar mpk Moro ni km 300. Sasa kwa speed hiyo, treni ikienda bila kusimama itatumia saa 1 na dak 52 (sawa na masaa 2). Lkn kwa kuwa itakuwa inapakia na kushusha itatumia masaa 3 na kitu.

Sasa nani atapanda hiyo treni ? Ufanisi wake uko wapi?

4. Ujenzi wa makao makuu Dodoma.

Hivi Kuna kipya kimeongezeka ktk utoaji wa huduma kwa wananchi baada ya makao makuu kuhamia Dodoma. Faida gani imepatikana ambayo tungeikosa kama makao makuu yangerndelea kuwa Dar?. Ni uendawazimu tu.

Acha niishie hapa, msinichoshe mie!
Sio tuu bwawa limeleta Mafuriko ila hata speed ya maji yakiwa mengi yanayoingia yanasababisha mashine kujizima Sasa sijui control ya maji haipo au vipi.

Inamaana mpaka hapo hakuna uhakika wa reliable electricity

Huko kwingine ni maumivu Hadi Yesu anarudi 😁😁
 
  • Thanks
Reactions: G4N
1. Bwawa la Nyerere, ndiyo hilo lililojengwa bila kangalia madhara yake kwenye mazingira. Matokeo yake mtambo mmoja tu uliowashwa kwa wiki 2 tu umeleta mafuriko ya kutisha, na Sasa umezimwa. Failure asubuhi na mapema.

2. Madege:-
Kwa mujibu wa ripoti ya CAG iliyotolewa karibuni madege haya yametuingizia hasara ya mabilioni kama inavyoonekana hapa:-

View attachment 2953612
3. SGR: Hii ndiyo pasua kichwa kweli kweli. Imesababisha hasara ya mabilioni ya shilingi kama inavyoonekana hapo namba 2. Mpk sasa kipande cha Dar -Moro kinashindwa kuanza kufanya kazi kwasabb zifuatazo:-
a. Vichwa vilivyoletwa ni chakavu.
b. Spidi ya treni ni 160kmph, na umbali toka Dar mpk Moro ni km 300. Sasa kwa speed hiyo, treni ikienda bila kusimama itatumia saa 1 na dak 52 (sawa na masaa 2). Lkn kwa kuwa itakuwa inapakia na kushusha itatumia masaa 3 na kitu.

Sasa nani atapanda hiyo treni ? Ufanisi wake uko wapi?

4. Ujenzi wa makao makuu Dodoma.

Hivi Kuna kipya kimeongezeka ktk utoaji wa huduma kwa wananchi baada ya makao makuu kuhamia Dodoma. Faida gani imepatikana ambayo tungeikosa kama makao makuu yangerndelea kuwa Dar?. Ni uendawazimu tu.

Acha niishie hapa, msinichoshe mie!
Arooo!
We unareta za kureta?
 
Sawa miradi yote haina tija,

Tuelimishe mbadala wa Bwana ungekuwa nini? Gesi ambayo imeshauzwa?

Mbadala wa Ndege ungekuwa nini? Kuendelea kuitegemea Kenya airways na Ethiopia kwa safari za kimataifa za abiria na mizigo?

Mbadala wa reli ya kisasa ungekuwa nini? Malori? Meli au bajaji?

Mbadala wa stendi za mabasi ungekuwa nini? Mabasi yangepaki kwenye viwanja vya mpira?

Mbadala wa hospital za kanda mbadala ungekuwa nini? Wananchi watumie miti shamba kujitibu?

Mbadala wa flyover ungekuwa nini? Madaraja ya chini ya ardhi?

Mnapokosoa basi mje na mbadala
Tatizo ni moja tu Watanzania wengi ni wavivu kufanya kazi na wavivu kufikiri.

Wengi wanapenda kuletewa pilau mezani, na hata hapo wasiponawisha kabla ya kula, watalalamika.
Hawajui kuwa magufuli alifanya yake.
TATUA MATATIZO YAKO YANAYOTOKANA NA MAENDELEO
 
Kiukweli kabisa sioni tatizo lolote kwa moradi kama ya SGR, ATCL na Stigler's tusiongopeane kungekuwa na usimamizi bora na kuwa na dhamiri faida ni kubwa hata hivyo siumizi kichwa hasa kwa waafrika wanaotokea TANZANIA.
 
1. Bwawa la Nyerere, ndiyo hilo lililojengwa bila kangalia madhara yake kwenye mazingira. Matokeo yake mtambo mmoja tu uliowashwa kwa wiki 2 tu umeleta mafuriko ya kutisha, na Sasa umezimwa. Failure asubuhi na mapema.

2. Madege:-
Kwa mujibu wa ripoti ya CAG iliyotolewa karibuni madege haya yametuingizia hasara ya mabilioni kama inavyoonekana hapa:-

View attachment 2953612
3. SGR: Hii ndiyo pasua kichwa kweli kweli. Imesababisha hasara ya mabilioni ya shilingi kama inavyoonekana hapo namba 2. Mpk sasa kipande cha Dar -Moro kinashindwa kuanza kufanya kazi kwasabb zifuatazo:-
a. Vichwa vilivyoletwa ni chakavu.
b. Spidi ya treni ni 160kmph, na umbali toka Dar mpk Moro ni km 300. Sasa kwa speed hiyo, treni ikienda bila kusimama itatumia saa 1 na dak 52 (sawa na masaa 2). Lkn kwa kuwa itakuwa inapakia na kushusha itatumia masaa 3 na kitu.

Sasa nani atapanda hiyo treni ? Ufanisi wake uko wapi?

4. Ujenzi wa makao makuu Dodoma.

Hivi Kuna kipya kimeongezeka ktk utoaji wa huduma kwa wananchi baada ya makao makuu kuhamia Dodoma. Faida gani imepatikana ambayo tungeikosa kama makao makuu yangerndelea kuwa Dar?. Ni uendawazimu tu.

Acha niishie hapa, msinichoshe mie!
SGR bado haijaanza kazi iko kwenye majaribio.Dodoma ni chaguo sahihi shida ni watendaji.Rais mwenyewe haonyeshi njia yeye anaapisha watendaji wake Dar hivyo anaendelea kuleta hasara sababu watendaji wake wako Dodoma.Mradi wa umeme ni chaguo la mwalimu nadhani ukikamilika tutafanya tathmini shida mafisadi wanauhujumu ili majenereta yao yafanye kazi.hakuna uzalendo
 
1. Bwawa la Nyerere, ndiyo hilo lililojengwa bila kangalia madhara yake kwenye mazingira. Matokeo yake mtambo mmoja tu uliowashwa kwa wiki 2 tu umeleta mafuriko ya kutisha, na Sasa umezimwa. Failure asubuhi na mapema.

2. Madege:-
Kwa mujibu wa ripoti ya CAG iliyotolewa karibuni madege haya yametuingizia hasara ya mabilioni kama inavyoonekana hapa:-

View attachment 2953612
3. SGR: Hii ndiyo pasua kichwa kweli kweli. Imesababisha hasara ya mabilioni ya shilingi kama inavyoonekana hapo namba 2. Mpk sasa kipande cha Dar -Moro kinashindwa kuanza kufanya kazi kwasabb zifuatazo:-
a. Vichwa vilivyoletwa ni chakavu.
b. Spidi ya treni ni 160kmph, na umbali toka Dar mpk Moro ni km 300. Sasa kwa speed hiyo, treni ikienda bila kusimama itatumia saa 1 na dak 52 (sawa na masaa 2). Lkn kwa kuwa itakuwa inapakia na kushusha itatumia masaa 3 na kitu.

Sasa nani atapanda hiyo treni ? Ufanisi wake uko wapi?

4. Ujenzi wa makao makuu Dodoma.

Hivi Kuna kipya kimeongezeka ktk utoaji wa huduma kwa wananchi baada ya makao makuu kuhamia Dodoma. Faida gani imepatikana ambayo tungeikosa kama makao makuu yangerndelea kuwa Dar?. Ni uendawazimu tu.

Acha niishie hapa, msinichoshe mie!
Teh na kila kitu kitafeli chini ya mikono yenu......tatizo nyota
 
  • Kicheko
Reactions: G4N
Nchi hii wajinga ni wengi. Wewe mwandishi wa Uzi huu ni ishara ya kwamba nchi yetu wajinga Bado ni wengi Sana. Na kama ulizaliwa na wazazi basi ni hasara kwao na hautawasaidia kamwe kama umeshindwa kutambua umhimu wa miradi aliyoanzisha hayati Magufuli. Umeshindwa kutambua kwamba Shida ni hakuna Rais mwenye uwezo wa kusimamia kwasasa. Mimi naona wewe Bora ujifie tu na matapeli wenzako nchi ipone
Nilipoona neno Hayati, nkajua tayari ni wale wanaojiita wanyonge
,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
ununuzi wa ndege alichemka sana JPM. kuhamia Dom namuunga mkono.
sgr na bwawa ni makusudi ya upigaji awamu hii ndio wameleta upumbavu ktk hiyo miradi 2.
Mbona mama naye analeta madege?mkosoeni na yeye ili asiyalete badala ya kumkosoa tu JPm na kwa kufanya hivyo tunaanza kuwajua nyinyi ni wa kundi gani.
 
Tena alikurupuka sana
Mkuu huwezi kupambana na nature, yeye alijaribu kupambana nayo ndiyo maana baada ya kufa kila kitu kinarudi mahala pake. Kuhamia Dodoma lilikuwa jambo la kukurupuka sana. Ndiyo maana kila siku viongozi utawakuta wako Dar kwa sababu Dar kiuhalisia na kimatakwa ndiyo inapaswa kuwa makao makuu.

SGR bado haijaanza kazi iko kwenye majaribio.Dodoma ni chaguo sahihi shida ni watendaji.Rais mwenyewe haonyeshi njia yeye anaapisha watendaji wake Dar hivyo anaendelea kuleta hasara sababu watendaji wake wako Dodoma.Mradi wa umeme ni chaguo la mwalimu nadhani ukikamilika tutafanya tathmini shida mafisadi wanauhujumu ili majenereta yao yafanye kazi.hakuna uzalendo
Yeye magu hakuleta hasara alivyokua anaapisha Dom..?!maana watu walikua wanatoka Dar kwenda Dom
 
Kiukweli kabisa sioni tatizo lolote kwa moradi kama ya SGR, ATCL na Stigler's tusiongopeane kungekuwa na usimamizi bora na kuwa na dhamiri faida ni kubwa hata hivyo siumizi kichwa hasa kwa waafrika wanaotokea TANZANIA.
Kwani hile mibeewa used Nani aliagiza alafu tuendelee na usimamizi
 
Tena alikurupuka sana



Yeye magu hakuleta hasara alivyokua anaapisha Dom..?!maana watu walikua wanatoka Dar kwenda Dom
Kama walitoka Dar kwenda Dodoma hiyo ilikuwa gharama zao sababu yeye alitoa maagizo kwa watendaji wake wote wahamie makao makuu sababu hata yeye muda mwingi alikuwa huko.
 
Back
Top Bottom