Mirathi ya nyumba iliyojengwa na mjane yazua balaa; ukoo wa mume na ukoo wa mke wanaigombania

Kigezo kilichofanya akazikwa mahali Fulani ndio vigezo hivyohivyo vitakavyowapa umiliki hao wanaomiliki eneo Kaburi lake lilipo.

Unasema huoni mantiki, hujiulizi Kwa nini alizikwa Huko?
🤣🤣🤣Wachaga kwa kuteteana !! Utapeli mtaacha Lin?
 
Haki wanayo upande wa mke, kisheria mume akifariki warithi ni watoto , mke na wazazi wake kama wapo.

Hao wachaga ndugu yao kafa na mali zake zimerithiwa na mke wake pamoja na watoto .

Jiulize kama huyo mama angeolewa tena akazaa watoto wengine hao ndugu wa mume wangekuja hapo kufanya nini?


Hizo mali za huyo mama warithi ni ndugu zake hakuna kesi hapo hata wakienda mahakamani.
 
Hapana.
Hayo unayoeleza yangeliswihi iwapo mke angelitangulia kufariki.

Lakini baada ya mume kutangulia ikawa ndoa imevunjwa na Mungu na talaka ikawa kapewa na dunia.

Tuchukulie mfano wangelikuwa wazima, mwanamke akapewa talaka, baada ya mwanaume kufariki, je hao ndugu wa mume wangelikuwa na haki ya kufuatilia na kwenda kudai chochote toka kwa huyo mtalaka?

Tuanzie hivyo!
 
Hio uliyoquote inaongelea uhalali wa kuzikwa ukweni na sio uhalali wa ndugu wa mume kurithi mali. Mali iliyoachwa ni ya MKE ndie aliyeiendeleza mpaka ikafikia hapo. Ndugu wa Mume wanaendeshwa na tamaa tu
 

Upande wa huyo mama wanazingua. Mke kama aliolewa na mahari ilishatolewa, baada ya kufiwa na mumewe hakuolewa maana yake ni kwamba kila kitu hapo ni halali ya ukoo wa mume.

Hao wapogoro waache ujinga.
 
Kuzaa watoto wengi kuna umuhimu; busara itumike tu, wakae kikao pande zote mbili na wafikie maamuzi, ya kuuza au kupangisha na kugawana kilichopo
 
Upo sahihi kabisa.
 
🤣🤣🤣Wachaga kwa kuteteana !! Utapeli mtaacha Lin?

Sio Utapeli.
Kama MKE kazikwa upande wa mume, tafsiri yake bado ni Mali ya Ukoo wa mumewe.

Kama Ndoa ilivunjika au ilivunjwa, sio sababu ya kuzika MKE upande wa mumewe.

Hao Ndugu wa Mke ndio wanashida.
Sema ni vile Watu hawaelewi haya Mambo.
Mwanamke akishaolewa anakuwa hayupo Chini ya umiliki WA ukoo wake tena, anaenda kwenye umiliki wa ukoo WA mwanaume.

Ni vile kizazi cha sasa kimeshavurugwa
 
Hakuna Sheria kama hiyo. Nchi hii inaongozwa na Sheria ya ndoa.
Ila kama Kuna mkataba mliandikiana, ndiyo law of contract ita-supersede.
Kuhusu mirathi Kuna Sheria ya mirathi na hapo heirs wa mjane ni kaka na dada au baba na mama kama bado wapo.
Kaka/dada aombe usimamizi wa mirathi kwa kuteuliwa na ndugu zake.
Atakaejitokeza kupinga aende mahakamani.
 

Uelewa wako ungepaswa uanzie kwenye hoja ya Kwa nini huyo mjane hakuzikwa kwao badala yake akazikwa upande wa mumewe.

Hapo ndipo uanzie
 
Ungejaribu kufafanua kidogo utata uliopo hapo, kumbuka hao wote ni "third parties"

Kama issue ni mahari nafikiri alielipa ni mume, ambaye ni marehem pia.

Wewe ukioa, Kati yako na MKE wako Nani anahamia ukoo WA Mwenzake?
Unafikiri ni Kwa nini mum akifa hazikwi Upande wa Mkewe, lakini MKE akifa huzikwa upande wa mumewe?

Maana kizazi cha sasa kinatabia ya kujizima Data.
 
Kama wazazi wa mke na mume wapo ndio watakaorithi kwa kugawana hizo mali….na kama hawapo basi kaka dada wa marehemu watagawana hizo mali na kama hawapo pia watagawana watoto wa ndugu kwa ratio sawa.
 
Hakuna kitu kama icho ...Ndoa inatenganishwa na kifo hamna Tena ndo hapo.

Nyi ni matapeli hakuna asiye tambua kila siku nyie tu kwani mkiacha izo Mali mtakufa? Eti kaacha kiwanja mnataka nyumba zote
 
Hakuna kitu kama icho ...Ndoa inatenganishwa na kifo hamna Tena ndo hapo.

Nyi ni matapeli hakuna asiye tambua kila siku nyie tu kwani mkiacha izo Mali mtakufa? Eti kaacha kiwanja mnataka nyumba zote

🤣🤣🤣
Acha hasira sasa Mkuu.
Wewe unasema ndoa imekufa alafu muda huohuo mjane kazikwa alipozikwa mumewe na mtoto wao Huko Moshi.

Huoni ninyi ndio matapeli?
 
Hakuna kitu kama icho ...Ndoa inatenganishwa na kifo hamna Tena ndo hapo.

🤣🤣🤣
Acha hasira sasa Mkuu.
Wewe unasema ndoa imekufa alafu muda huohuo mjane kazikwa alipozikwa mumewe na mtoto wao Huko Moshi.

Huoni ninyi ndio matapeli?
Ndoa imekufa sio kila mpogolo wa morogora atazikwa huko.

Mbona huyo Tarimo wa juzi kazikwa mbeya yule aliyekufa Ukraine.

Huyu mliomzika bagamoyo mbona bado mnataka na Mali za marehemu na hamjamzikq huko Moshi?

Acheni utapeli mnauwana wenywe Vibinti vidogo vikatili ..huko machame wana sura za kijangili demu ana ngeu za uso kama jambazi .
 
Uelewa wako ungepaswa uanzie kwenye hoja ya Kwa nini huyo mjane hakuzikwa kwao badala yake akazikwa upande wa mumewe.

Hapo ndipo uanzie
Haijalishi kazikwa wapi. Ukweli ni kuwa alikuwa single na no longer wife wa late husband.
 
Kwa kuzikwa kwao mwanaume, kiwanja kilikuwa cha wote mke na mume, mume akafariki mama akakiendeleza,, hii mali wafaidika ni upande wa kiumeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…