Kwa mujibu wa sheria ya ndoa, mali inayopatikana KATIKA ndoa ni mali ya wanandoa-ni marital property. Hata mtu ujifanye unajenga kisirisiri. Ukifa ikajulikana hiyo nyumba au mali inakuwa ya mwenzako aliyebaki hai. Hata mkeo akihongwa ujue pesa au mali aliyohogwa ni yenu ninyi nyote wawili katika ndoa. Na mume wa mtu ukihonga ujue umemfanya hata mkeo akahonga😀
Kwa kesi ya huyu mama mali aliyopata baada ya mume kufa nadhani ni yake yeye peke yake, maana ndoa ilivunjwa na kifo, hivyo ndugu zake wana haki juu ya mali hiyo.
Ikiwa kuna mali walipata pamoja na mumewe, ni mali ya wanandoa....hivyo ndugu zao wote (nadhani hasa wazazi wao pande zote mbili) wana haki kwa mali hiyo.