James Martin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,206
- 1,509
Kuanzia uvaaji, nidhamu ya ibada hadi swala la kuzingatia muda maaskofu wa Katoliki wako vizuri.
Nimesikiliza mahubiri ya mhashamu baba askofu Ngalale Kumtwa hayakuwa na mbwembwe wala malalamishi bali yalijaa busara, hekima na Upendo.
Kiukweli ipo tofauti ya kutosha kabisa baina ya maaskofu wa haya makanisa rasmi na wale wa Huduma za kiroho.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Mkuu kwanza kutamka "kanisa" la Gwajima umempa heshima kubwa asiyostahiki. Mimi huwa nayaita makanisa ya kitapeli.