jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,342
Tutakusweka korokoroni kwa amri Hapi kwa kuchelewa ku replyHahaha vichekesho hivi balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutakusweka korokoroni kwa amri Hapi kwa kuchelewa ku replyHahaha vichekesho hivi balaa
Bwana mmoja alivuna pesa kutoka shamba la iptl akaziprunii vizuri kumbe wengine wanamuonea donge ...kwa kuwa wadanganyika washaambiwa kuwa noah zitadondoka kutoka kule ziliko ndo wakashadadiaa alipe alipe ili wanapate hata lita 5 za mafutaKuna baadhi yao bado hawajasadiki na wamefanya mioyo yao kua migumu, bado wanasubiri noah zao.
Hakika watakesha wakiomba kusubiri noah zishuke toka mbinguni kama vichwa vya treni lakini hakuna. kitakachotokea
Faru johhny 21:4
Teh teh tehTutakusweka korokoroni kwa amri Hapi kwa kuchelewa ku reply
Mkuu nakupa salute...Teh teh hiyo Punyeto unafikiria nimeweka kimakosa? Aliye tolewa bastola si ndie alisema ikulu tutaenda hata kwa bao la mkono? Sasa bao la mkono ni lipi kama sio Punyeto?
Na ndipo vichwa vya treni vikavuliwa baadae vikakosa mtu aliyevivua haya kweli ni maajabu ya utawala wa rafiki yake na ufunguo...Akawaambia nifuateni,nami nitawafanya kuwa wavuvi wa vichwa vya treni:[Shonza 4:19]
Kwan nyie mnavyosema vichwa vya treni vimeingia na kushushwa bandari bila kuwa na mwenyewe c mnaamini fikra zetu hazijakua na hata picha hatuoni.....basi tuacheni na fikra zetu hiz hiz,Mi nadhani ndugu zangu ifikie hatua tukue kifikra. Tunapaswa tuendeshe mijadala yenye tija kuhusu vichwa vya treni itakayomsaidia Rais wetu JPM na sio mizaha na kejeli za kipuuzi.
Bandar 6 mstari 3 mpk 4[emoji23]Joseverest andiko lako kitabu gani na mstari wa ngapi
Nae akajibu akiwaambia kweeni ninyi mkaile sabasaba,maana majira yangu mimi bado..mpaka nitakapokipata kichwa cha Harrison. Kwani hatakuwa na nafasi tena ktk ufalme wangu. Mtumbuzi 5:4Na baada ya hayo Mfalme alikuwa akitembea kanda ya ziwa,maana hakutaka kutembea nchi za nje.Na sikukuu ya saba saba ilikuwa ikikaribia,basi ndugu zake wakamtaarifu juu ya ujio wa vichwa vya treni.[Wadanganyika 7:1-4]
Nae akasema kwa saut kubwa huku wafuasi wake wakimsikiliza sio mimi nilievileta vichwa hivi vitakuwa vimeletwa na baba angu .makinia 12 ,mstar wa 6mpk 8Navyo vichwa vikamjibu,wewe umetutoa SA,iweje usitujue?yeye aliyeniona mimi amemuona aliyenileta.makinikia 12 :
Mwenye vicha vya treni kumbe tunae humu mbona povu linamtoka utafikiri hivyo vichwa vimedondoka naeKwan nyie mnavyosema vichwa vya treni vimeingia na kushushwa bandari bila kuwa na mwenyewe c mnaamini fikra zetu hazijakua na hata picha hatuoni.....basi tuacheni na fikra zetu hiz hiz,
Bahat yko cna andiko hpa.....ningekupa moja.
Nimerudia kusoma nimechekaa sanaYaani huu uzi umenichekesha kupita kiasi lol! HahahahahahahaWabongo ni kiboko yao🙂🙂🙂