Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

Imenipata songea mjin pale karibu na tanesko.nmb nilichemka folen ikabdi niende songea girls chin chin kule kwa mzee roberts
Yaani sijui wana matatizo gani kwasababu ikifika tu mda hawasubiriani hata kidogo wanajazana yaani wanafunzi wangekuwa wanafanya vile wangewachapa.
 
Siri kucheleweshewa haki zao bila taarifa? Siri ili kumlinda nani na kwanini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…