Yaani sijui wana matatizo gani kwasababu ikifika tu mda hawasubiriani hata kidogo wanajazana yaani wanafunzi wangekuwa wanafanya vile wangewachapa.Imenipata songea mjin pale karibu na tanesko.nmb nilichemka folen ikabdi niende songea girls chin chin kule kwa mzee roberts
Kabla ya hapo salary yake ilikuwa inasoma ngapi?Jamaa yangu kalipwa salary yake million 4 kaenda kutoa laki2 ya bia kujipongeza
Hiyo hiyo 4.2mKabla ya hapo salary yake ilikuwa inasoma ngapi?
Watu wanalipwa salary ndefu aisee. Huyu jamaa kitengo gani mkuuHiyo hiyo 4.2m
Yuko kwenye shirika Fulani la UmmaWatu wanalipwa salary ndefu aisee. Huyu jamaa kitengo gani mkuu
Yeye ni special case ya kutopata salaryYuko kwenye shirika Fulani la Umma
Kunakuwaga na Template ambayo inaeditiwa details chacheBarua inatolewa haraka as if ilikua ishaandaliwa
Bika shaka ni EWURA [emoji3][emoji3][emoji3]Yuko kwenye shirika Fulani la Umma
Duh mkuu mashirika ya umma ni mengiBika shaka ni EWURA [emoji3][emoji3][emoji3]
Utaolewa kufuatilia ya watuJamaa yangu kalipwa salary yake million 4 kaenda kutoa laki2 ya bia kujipongeza
Sijafuatilia ya watu, Ila huyo jamaa ni mdau wanguUtaolewa kufuatilia ya watu
Unaonekana chawa sana utaja *****Sijafuatilia ya watu, Ila huyo jamaa ni mdau wangu
Naam, ni mengi ikiwemo EWURA [emoji3][emoji3]Duh mkuu mashirika ya umma ni mengi
Siri kucheleweshewa haki zao bila taarifa? Siri ili kumlinda nani na kwanini?Kupitia kwenye hili sakata la kuchelewa kwa mishahara nimegundua kuwa watumishi wengi siku hizi wakiajiriwa hawapati mafunzo ya kiutumishi kitu kidogo mtu ameshapost yaani mpaka boda wanajua mshahara haujatoka nimeshangaa zaidi kusikia mtangazaji anaongelea hii issue kwenye redio hawa ajira mpya na watumishi wengine wa umma wanatakiwa waenda training hawana siri
Usimtukane mamba kabla haujavuka mtoMatusi yataisha na Uzi utapoa watu wakiona sms
Hii ngoma inasubiriwa na wengi ila wanasukumiziwa Walimu [emoji23][emoji23][emoji23]Leo just imagine unatumiwa msg uje na mapochopocho ushaandaliwa na utamu unarudi na mbupu tu home[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]