Mishahara Jeshini, inatolewa kwa kuangalia umri wa kazi au Cheo cha Askari?

Huyo mwenye saa na kirungu sio warrant officer cheo chake nimesahau


Hujui kitu raia.!Mwenye saa anaitwa Warrant Officer na huwa wana madaraja mawili

Na hicho ndio top most rank kwa men..baada ya hapo wanaanza officers
 
Kwani huyo mchepuko wako Luteni Usu amekudanganya analipwa ngapi?
 

Acha upotoshaji. Kama jenerali ni milioni 6 kivipi mkuu wa majeshi mil 15 wakati yeye ni Jenerali pia. Halafu unasema brigedia mil 5 na luteni usu mil 4. Unafaham naana ya luteni usu kweli mkuu? Nadhani kati ya luteni usu na huyo brigedia kuna vyeo vitano au sita kama sikosei.
Natamani modes wangefuta huu uzi maana unapelekea majibu ya kichochezi. Nadhani hata kule bungeni hawa jamaa mambo yao huwa hayaanikwi sana.
"Pro Patria"
 

Wewe huna maadili na hufai kuwa mtumishi
 
Mishahara ya jeshi wewe raia unahitaji ujue ili ikusaidie nini ndugu yangu ok kila mahali na hasa kwa watumishi wa umma hulipwa kulingana na muda aliokaa kazini
 
Ahsante mkuu
 
mambo ya siri hayo mkuu. . .hata mkimuuliza mjeshi ataishia kukwambia maisha mazuri full mamilioni we jua hivyo tu. hata wao hawasemagi ukweli
 

wewe!,,,tangu lini askari akamzidi mshahara afisa mwenye kamisheni?
 
ORDER
Imetolewa sasa hivi, hakuna ruhusa kujadili mambo ya kijeshi katika mitandao ya kiraia,
IMEZUILIWA.
 
ORDER
Imetolewa sasa hivi, hakuna ruhusa kujadili mambo ya kijeshi katika mitandao ya kiraia,
IMEZUILIWA.

Nimekukubali kwa lugha uliyoitumia wewe ni mjeshi wengine wote ni waongo.
 

Ni kweli mkuu yani nimesoma coments za watu humu..ni full kuongopeana!
 
Siku hizi vijana hawaendi jeshi kwa uzalendo bali maslahi,hawa ndio ikitokea vita na kupangwa front line wanajipiga risasi pajani kujivunja mifupa warudi kambini kama majeruhi:fencing:
 



commando anasifika lakini maisha yake yapo kama rehani mshara king'amuzi!

WTF
 


Think of me any how... then sort me but I am generally logical person I love science and computing...

Death is inevitable if that is scares the shit outta ya!
Lmfao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…