kama madaktari level ya degree walikua wanapokea mshahara mkubwa kuliko mwalimu Wa level ya degree sasa watashushwa hadi kufikia tgts hizo hapo juu!
Mshahara ukitoka uje hapa unikosoe mkuu.kweli aisee
nawewe uwe mkweli pia. du!
Umeconfirm wapi wakati mshahara hujatoka bado. Usiwapanikishe madaktari wetu.COMFIRMED.
Kwa docs nilizoziona ni kwamba hakuna badiliko lolote la mshahara.
Ndugu tujizue kuwa tunatoa taarifa za kuzusha.
Haina maana kudanganya kwenye mada serious kama hizi.
Mshahara wa mtumishi wa umma hutanguliwa na docs fulani fulani kwa maafisa husika na huonesha kiwango cha mshahara cha kila mtumishi kwa mwezi husika.Umeconfirm wapi wakati mshahara hujatoka bado. Usiwapanikishe madaktari wetu.
LAWSON tu inatoshaMshahara wa mtumishi wa umma hutanguliwa na docs fulani fulani kwa maafisa husika na huonesha kiwango cha mshahara cha kila mtumishi kwa mwezi husika.
Walaka hujatoka bado ni siri. Kama kunamtu kakuambia waraka umetoka amekudanganya .Mshahara wa mtumishi wa umma hutanguliwa na docs fulani fulani kwa maafisa husika na huonesha kiwango cha mshahara cha kila mtumishi kwa mwezi husika.
Wapi umeona neno waraka katika post zangu ndugu?Walaka hujatoka bado ni siri. Kama kunamtu kakuambia waraka umetoka amekudanganya .
Naomba uandike vitu vya ukweli ndugu utawaribia siku watu. Kama uko sehemu nyeti useme tukuamini na sio kuandika CONFIRM. weka confirm na ushahidi tutakuamini .Wapi umeona neno waraka katika post zangu ndugu?
Mkuu siwezi kuweka ushahidi hapa.Taratibu za kazi haziruhusu. Ukweli ndio huo HAKUNA badiliko katika mshahara wa mwezi Agosti.Naomba uandike vitu vya ukweli ndugu utawaribia siku watu. Kama uko sehemu nyeti useme tukuamini na sio kuandika CONFIRM. weka confirm na ushahidi tutakuamini .
So wewe ndo msemaji Wa serikaliMkuu siwezi kuweka ushahidi hapa.Taratibu za kazi haziruhusu. Ukweli ndio huo HAKUNA badiliko katika mshahara wa mwezi Agosti.
Unajua tetesi hizi za ongezeko kuna uwezekano kwa asilimia Kubwa zikawa kweli nji maana rahisi amekaa kimya,(bingwa wa majipu). Na mkuu huwa anapita huku .So raisi akiona jambo limeandikwa na linamuudhi lazima alitumbue kwa haraka. Sasa cha ajabu mtumbuaji yupo kimya, huenda ni kweli. NYONGEZA HIPO, NA NILAZIMA TUONGEZEWE KWA KUWA SERIKALI HII YA MAKUFULI NI MUELEWA WA UGUMU WA KAZI KUFANYA NA MAZINGIRA MAGUMU.COMFIRMED.
Kwa docs nilizoziona ni kwamba hakuna badiliko lolote la mshahara.
Ndugu tujizue kuwa tunatoa taarifa za kuzusha.
Haina maana kudanganya kwenye mada serious kama hizi.
Labda mama Jesca kashauriMadaktari wa rufaa mishara imepunguzwa kama tulivyoambiwa jana kule Bugando na katibu mkuu wa wizara ya afya (kama ilivyoandikwa humu Jf).
Sasa imekuwaje waalimu wao mishahara yao imepanda? (NB: Kwa wasiojua hizo salary scales alizo nukuu ni za mishahara ya waalimu tu.
Yaani mwalimu wa chini kabisa anayefundisha ngazi ya vidudu anaanzia zaidi ya Shs 0.5 m kwa mwezi zaidi ya graduate wa SAUT na anamkaribia saana daktari wa rufaa baada ya mshahara wake kuteremshwa.
muulize mkeo shuguli aliyopata hataweza kunisahau na wewe unataka???Na wewe pia ulikatiwa tehe tehe unayaweza hongera kwa hilo
mkeo atakuacha wewe kimeo tuuMama yako ulimkatia vizuri pia,alinipa taarifa
mwezi August???Mkuu siwezi kuweka ushahidi hapa.Taratibu za kazi haziruhusu. Ukweli ndio huo HAKUNA badiliko katika mshahara wa mwezi Agosti.
Bora wewe zako zinaweza otesha mpunga, huyo mwenye oil chafu anazitumiaje katika kudumisha uhai? Nimecheka tuza kwako zina oil chafu
Mkuu Na wewe ni Mwl?unataka mshahara uongezwe hahahaUnajua tetesi hizi za ongezeko kuna uwezekano kwa asilimia Kubwa zikawa kweli nji maana rahisi amekaa kimya,(bingwa wa majipu). Na mkuu huwa anapita huku .So rahisi akiona jambo limeandikwa na linamuudhi lazima alitumbue kwa haraka. Sasa cha ajabu mtumbuaji yupo kimya, huenda ni kweli. NYOGEZA HIPO, NA NILAZIMA TUONGEZEWE KWA KUWA SERIKALI HII YA MAKUFULI NI MUELEWA WA UGUMU WA KAZI KUFANYA NA MAZINGIRA MAGUMU.