Tetesi: Mishahara mipya kwa watumishi wa umma

Tetesi: Mishahara mipya kwa watumishi wa umma

Status
Not open for further replies.
Hizi scales ni ktk sekta ya ualimu, I think. Japo hii kitu ni ya kwako tu, haina uthibitisho na jamaa alishasema hakuna nyongeza za mishahara kwa watumishi wa umma!!

Tanzania Government Teachers' Salary (TGTS)
Hapo mwisho sio salary ni scale
 
Hakuna atayepandishiwa mshahara.Nyongeza ya mshahara ilikwisha tangazwa wakati wa sherehe za mei mosi ambapo ni wa kima chini tu ndio wameongezewa sha 7000.
Wengine wote waliobaki hamna nyongeza au ni kipunguziwa.Madaktari wameishaisoma namba.Kada zingine kufata.
 
Hakuna atayepandishiwa mshahara.Nyongeza ya mshahara ilikwisha tangazwa wakati wa sherehe za mei mosi ambapo ni wa kima chini tu ndio wameongezewa sha 7000.
Wengine wote waliobaki hamna nyongeza au ni kipunguziwa.Madaktari wameishaisoma namba.Kada zingine kufata.
tutaisoma kweli kweli
 
Hata aliyetuma hilo bandiko nina walakini nae. hizo ni ngazi za mishahara za walimu lakini hakuna ngazi ya mshahara inayoitwa TGTS A nchi hii labda kama ni nchi tofauti.
Ngazi ya chini kabisa ya mshahara kwa walimu ni TGTS B ambayo wanaanza nayo walimu wenye ngazi ya cheti na pia ilitumika kwa waalimu wa leseni waliokuwa maarufu kwa jina la "vodafasta" TGTS B kwa sasa basic salary ni 419,000/=.
 
Ualimu ni wito,kila mtu nadhan Kwa sasa anaitwa na ualimu,
Hahahaha Kwa mishahara hii
 
Kama ni kweli waalim wanavuta zote hizo, basi na mimi nitaenda kusomea hiyo kazi!
 
HABARI HII NI LIVE BILA CHENGA KUHUSU SALARY KWA MWEZI JULY 2016 1.TGTS A1-546,000 2.TGTS B1-694, 000 3.TGTSC1-782,500 4.TGTS D1-939,000 5.TGTS E1-1,319,000 6.TGTS F1-1,653,000 7.TGTSG1-1,970,000 8.TGTSH1-2,584,000 9.TGTSI1-2,865,000 PROVED.......... HAPA KAZI TU
TGS A1~ 746,000
TGS B1 ~894.000
TGS C1 ~982,500
TGS D1~ 1,139,000
TGS E1~ 1,219,000
TGS F1 ~1,4053,000
TGS G1 ~1,670,000
TGS H1~ 1,884,001~ 2,665,000.

Hiyo ndiyo mishahara mipya ambayo waraka umetoka IJUMAA. Inaanza kutumika Julai 2016. Asant
 
Naomba Mungu iwe kweli, Walimu ni kitu muhimu sana nchi yoyote, mwalimu akisema wanafunzi tutengeneze sanaa za helicopture watoto wetu wazitengeneze wakiwa watoto na sio wazee. wakiwa wakubwa watengeneze helcopture kama za kawaida na bora zaidi. walimu ndio nguzo ya nchi.
habar msisimko hizi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom