ila kwa habari ya kuwapa wahitaji naungana na wewe 100%, ni jambo zuri kusaidiana katika jamii........Ohhh kuna ukweli...lakini it works a lot...sio paap..nop..utaona tu mambo mengi yanafunguka sana...sijui lakini maana ni imani kila mtu anaamini kivyake
Nataka kujifunza any hands skills, apart from my professional, najua kazi ndogo ndogo za mtaani nitakuwa sikosiPole mtumishi mwenzangu. Hapo dawa pekee ni kuanzisha tu ofisi yako nje ya hiyo kazi unayoifanya. Kinyume na hapo, ni lazima utaumia sana.
Mimi hiyo 10% kiukweli siitoi direct kanisani..nachofanya kukiwa na michango naiongezea huko..au nanunua maua napeleka kanisani..masuala ya kumfaidisha mchungaji hapana...nanunua vitambaa vya kanisa au maua ila mostly kwenye michango ndo naimalizia zaidi huko...mchungaj aendeshe ndinga kali mie niishi kuswampa akuila kwa habari ya kuwapa wahitaji naungana na wewe 100%, ni jambo zuri kusaidiana katika jamii........
hiyo ya mafungu ya 10 daaah....... hadi kuna wakati huwa nahisi labda tafsiri yake hatuijui
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wachungaji wa kipentekoste watakuletea mahubiri mpk ukomeMimi hiyo 10% kiukweli siitoi direct kanisani..nachofanya kukiwa na michango naiongezea huko..au nanunua maua napeleka kanisani..masuala ya kumfaidisha mchungaji hapana...nanunua vitambaa vya kanisa au maua ila mostly kwenye michango ndo naimalizia zaidi huko...mchungaj aendeshe ndinga kali mie niishi kuswampa aku
Kwamba madaraja ni julyKunidanganya kuhusu nn?
Hahahahhaa....[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wachungaji wa kipentekoste watakuletea mahubiri mpk ukome
mda bado kawaida inatakiwa itoke th 26th Kila mwenzi ndo inakuwa BoraKwamba madaraja ni july
Hebu ongea kinachoeleweka ni Julai kufanya nini? Na kama Mm nmedanganywa usahihi upoje?Kwamba madaraja ni july
Lkn Watumishi mnapaswa Mumshukuru sana Hayati JPM .
Unajua mkuu tunamuibia sana Mungu wetu ? Sidhan km ni sawa kumuibia Mungu malimbuko yake/stahiki zake .hapo Mungu ndo anatupimaga uaminifu wetu kwake...Uko sawa. Kwamfano unamtaji wa laki 2 umetengeneza faida yako kwa siku
26, 000 halafu uende ukatoe msaada wa sh 40000... Tegemea biashara yako kuanguka.
Hope wewe sio mtumishi, mbona kwa huyo huyo mwenda zake ilishawahi kuvuka tarehe 23. Hata hivyo tarehe 23 inaangukia j2 mshahara ukitoka j3 kuna shida gani?Lkn Watumishi mnapaswa Mumshukuru sana Hayati JPM ambaye alihakikisha mnapata mishahara yenu kila ifikapo trh 22 mpaka trh 23 ya kila mwezi hili halijawahi kutokea tangu nchi yetu ipate uhuru.
tatizo lipo kwa watendaji/watekelezaji, endapo ukikuta watendaji/watekelezaji wana roho mbaya lazima mtaumizwa sana tena sana.
Ombeni sana kwa Mungu watu wenye roho mbaya amabo wamekabidhiwa majukumu ya kutekeleza haki zenu wabadilike kwa kuingiwa na roho mtakatifu au wapotee kabisa duniani.
mfano; ninge kuwa mimi nipo kwenye sekta ya malipo huko hazina, nigejiongeza kulipa mishahara ya watumishi wote leo trh 22 kwa kuwa kesho sio siku ya kazi, lkn wapi bwana....mijitu haibadiliki....roho za ajabu kabisa.
Lkn Watumishi mnapaswa Mumshukuru sana Hayati JPM ambaye alihakikisha mnapata mishahara yenu kila ifikapo trh 22 mpaka trh 23 ya kila mwezi hili halijawahi kutokea tangu nchi yetu ipate uhuru.
tatizo lipo kwa watendaji/watekelezaji, endapo ukikuta watendaji/watekelezaji wana roho mbaya lazima mtaumizwa sana tena sana.
Ombeni sana kwa Mungu watu wenye roho mbaya amabo wamekabidhiwa majukumu ya kutekeleza haki zenu wabadilike kwa kuingiwa na roho mtakatifu au wapotee kabisa duniani.
mfano; ninge kuwa mimi nipo kwenye sekta ya malipo huko hazina, nigejiongeza kulipa mishahara ya watumishi wote leo trh 22 kwa kuwa kesho sio siku ya kazi, lkn wapi bwana....mijitu haibadiliki....roho za ajabu kabisa.
Acha dharau mkuuDaah, ila jamani, 500k ni pesa ya kuingiza kwa siku, tena hapo siku hiyo umekosa sana πππ, daah, maisha haya
Barua hazijatoka,au wanaweza kubadili kabla ya barua kutoka?wanarekebisha kwanza mishahara ya wanaopanda madaraja(wanaostahili)
kwaiyo mshahara mpk tar 25 au 26
Siri ya utajiri ni ubahili. Sasa we endelea kutoa, utakuja kutoa hadi pumbΒ₯utoa sana haimaanishi kwamba hutoaanguka au biashara haitoshuka.
Mbona wengine tayari. Upo sector gani ndugu.Si kawaida mshahara kupitiliza tarehe, ilikuwa tar 23 ikiangukia weekend mnapewa siku ya kazi ya mwisho wa weekend, mfano tar 23 itakuwa Juma pili mshahara ulikuwa unatoka tar 21 ya Ijumaa. Huenda mpaka ijumaa mfuko ulikuwa haujatuna.
Tumpe muda tuone.
That's is trueThere is power in giving. Hili somo halieleweki kwa tulio wengi. The more you give the more you receive.
Wajuzi wanatukana! Na kukebehiThat's is true
Kila mbuzi anakula kulingana na urefu wa kamba yakeDaah, ila jamani, 500k ni pesa ya kuingiza kwa siku, tena hapo siku hiyo umekosa sana πππ, daah, maisha haya