Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
23 Hadi 23 ya mwezi unaifuata si siku 30 hizoYani umshukuru mtu kwa kukupa mshahara tarehe 23 kweli ni akili au matope. Anayepewa tarehe 23 na 30 tofauti yenu ni nini? Badala umshukuru mtu anaeongeza maslahi ya watumishi umshukuru mtu anaehakikisha unapata mshahra tarehe 23.
30 Hadi 30 si no siku 30 hizo
Mwendazake ashukuriwe kwa lipi[emoji15]