Misri yaiomba Israel iachie nafasi ya misaada kutoka Uarabuni kuwafikia Wapalestina

Misri yaiomba Israel iachie nafasi ya misaada kutoka Uarabuni kuwafikia Wapalestina

Mbona nyie mmepokea siraha kutoka USA kwamara yakwanza nasimama na palestina wanahujumiwa
kwahiyo kwenu unakimbizaga mwizi pekee yako ? yaan nyiny watu juz tu mlikuwa mnashabikia hamas kuua raia wema , leo mnaona haram Israel kujibu , sipat picha baba yako angekuwa miongoz mwa hao 260 sijui kama ungekuwa unaandika ujinga huu , na unajuwa kbs baba yako sio mwanajeshi wala mwanasiasa ila Hamas wanamchinja bila sabab maaalum na wanaacha kushambulia kambi za jeshi za waisrael
 
Vipi huyo ushoga Yesu wenu eti ni Mungu wenu ambae akashindwa kujiokoa msalabani akaishi kujinyea [emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji12][emoji12]
wajomba mnaandikaga ujinga na mnasahau kuwa yesu pia ni nabii kwenu , sijui kama kwel mnaamin mungu yupo , mtu anaeamin mungu yupo haez msemea mtu mwingine uongo maana anajuwa kwa mungu ana hukumu yake , Naamin waislam wote wanajuwa hakuna mungu ndio maana mnachinja na kuwadhuru wasio na hatia
 
Vipi huyo ushoga Yesu wenu eti ni Mungu wenu ambae akashindwa kujiokoa msalabani akaishi kujinyea 🤪🤪🤪🤪😜😜
Hamueshimiani. Taratibu mpaka mtaanza kulipuana kama gaza kisa dini.
 
Kwa nini Misri isifungue mpaka wake na gaza na irihusu wakimbizi kutoka gaza kwenda Misri?

Misri ni wanafiki, kama wanawapemda waarabu wenzao wafungue mipaka wakimbizi wakimbilie kwao. Misri haitaki kabisa kufungua mipaka kusaidia watu wa Gaza.

Misiri ni mnafiki pia kwa sababu alikua anajua Gaza wanapanga shambulio kubwa dhidi ya Israel, akaenda kuwaambia Israel sema Israel wakapuuza hiyo taarifa ya Misri na yakatokea ya kutokea.

Sasa kama huo sio unafiki ni nini?

Waarabu n wanafiki kiujumla wanataka wapalestina wawe sadaka kwa israel !! Lakin hata siku moja huwezi ona nchi jiran zinazoizunguka palestina zikiwapokea
 
Haijalishi wanavyomuita anabaki kuwa ni yeye yule jana leo na hata milele kama ambavyo allah atabaki kuwa mungu wa mito ya pombe na mabikira 70 😭🤣😂
Hamueshimiani. Mkiheshimiana mtaheshimu imani zenu. Ng'ombe wana afadhali.
 
Mpaka sasa Israel inaendelea kusambaratisha kila kitu na kukata huduma zote, wakimbizi 250,000 wamekusanyika wakitegemea UN, misaada inaendelea kukata, mataifa ya Kiarabu yametanguliza Misri ibembeleze Israel iachie nafasi kidogo ya kufikisha misaada.

Hii ni hali ya hovyo sana, kuanzisha choko choko za dini kisha mnaanza kubembeleza.

===============

Debris and destruction on a street in the Jabalia camp for Palestinian refugees in Gaza City on Wednesday. AFP

Debris and destruction on a street in the Jabalia camp for Palestinian refugees in Gaza City on Wednesday. AFP

Egypt is negotiating with Israel over safe corridors in the Gaza Strip through which to send humanitarian aid to the coastal enclave, where hundreds have been killed in Israeli bombardments, security officials said.

The bombing followed a deadly weekend incursion into Israel by Hamas militants.

Egyptian officials said senior representatives from the intelligence services of Egypt and Israel were in talks over Cairo's request.

Egypt, they said, wanted to send food, tents, medical teams and supplies as well as ambulances. It also wants to take some of the wounded to be treated in its hospitals, given that Gaza's medical facilities are overwhelmed and running out of supplies.

If corridors can be carved out for humanitarian purposes, aid will come not only from Egypt, the officials said. Already, Jordan and several Gulf Arab countries are preparing to send aid to Egypt for delivery to Gaza, they said.


The National News
Arab league wapo kimya tu, walishawekwa mfukoni na USA kitambo.
 
Kwa nini Misri isifungue mpaka wake na gaza na irihusu wakimbizi kutoka gaza kwenda Misri?

Misri ni wanafiki, kama wanawapemda waarabu wenzao wafungue mipaka wakimbizi wakimbilie kwao. Misri haitaki kabisa kufungua mipaka kusaidia watu wa Gaza.

Misiri ni mnafiki pia kwa sababu alikua anajua Gaza wanapanga shambulio kubwa dhidi ya Israel, akaenda kuwaambia Israel sema Israel wakapuuza hiyo taarifa ya Misri na yakatokea ya kutokea.

Sasa kama huo sio unafiki ni nini?
ulijuaje mkuu ??
 
Ni kawaida samaki wakubwa kumeza wadogo, Israel wanatumia ubavu na nguvu kuonea na kuua watu bila ya haqi na uadilifu na hiyo imekua kawaida Yao Hali wanajua ukweli but nothing has got end one day wapalestine watalipwa maana justice never die
 
Kwa nini Misri isifungue mpaka wake na gaza na irihusu wakimbizi kutoka gaza kwenda Misri?

Misri ni wanafiki, kama wanawapemda waarabu wenzao wafungue mipaka wakimbizi wakimbilie kwao. Misri haitaki kabisa kufungua mipaka kusaidia watu wa Gaza.

Misiri ni mnafiki pia kwa sababu alikua anajua Gaza wanapanga shambulio kubwa dhidi ya Israel, akaenda kuwaambia Israel sema Israel wakapuuza hiyo taarifa ya Misri na yakatokea ya kutokea.

Sasa kama huo sio unafiki ni nini?
Mnaongeaga tu Kama walevi,hujaona Israel wakipiga makombora kivuko Cha kwenda misri na wamesema misri wakituma msafara wa misaada utashambuliwa....unaharisha tu!
 
Nipo na Palestine hadi mwisho kwn niwajinga tu watakuwa upande wa Israel. Miaka yote uonevu tu.
upo nao kwenye kibodi, nenda ukawasaidie kupigana, wenzako wanakufa, wanaishi kama digidigi we upo kwako/kwenu kwa raha zako unasema upo nao?
 
Bro tangu mwanzo humu nilitangulia kuwaambia ile kitu ni inside job. Israel alikuwa anatafuta sababu ya kuingia Gaza kumaliza kazi na kashaipata. We hujiuliz masaa sita Israel ilikuwa wapi hawa jamaa wanafanya yao. Mzee waarabu wametegwa wakajaa. Sasa shughuli yake sasa. Na misri hataki kufungua mpaka maana akifungua tu wapalestina watakimbilia huko. Na wakienda tu Israel inalichukua eneo lao biashara imeisha hiyo. Ndio maana hawataki kufungua bora mfe lakin mwisho wa siku Israel akimalizana na Hamas watakaosalia watakuwa na nchi yao. So fikiria nje ya box Mzee uache kulaumu laum hiz Mambo ni akili ya juu sana kuyaelewa.
Acha uongo mkuu, Kwa sifa zote hizo walizokuwa wanapewa hao Israel zimewavua nguo kwenye tukio hili tena Kwa wangmgambo tuu wasio na Silaha za maana.
 
Acha uongo mkuu, Kwa sifa zote hizo walizokuwa wanapewa hao Israel zimewavua nguo kwenye tukio hili tena Kwa wangmgambo tuu wasio na Silaha za maana.
Hiv umesoma BBC Leo. Misri aliwastua na hata walipovamiwa walikaa kimya masaa 6. Unajua nini hicho. Unahtaji akili ya juu kulielewa hili. Na ili uamin ngoja vita iishe kama hawatasogeza eneo utakuja kuniambia.
 
Back
Top Bottom