Misri yaiomba Israel iachie nafasi ya misaada kutoka Uarabuni kuwafikia Wapalestina

Misri yaiomba Israel iachie nafasi ya misaada kutoka Uarabuni kuwafikia Wapalestina

Usalama wa Israel kwa sasa unashikiliwa zaidi na Misri na Jordan. Misri akiudhiwa au akishindwa kuzuia hasira za wamisri ndio basi tena.
 
MK255 taarifa za ukraine huleti tena umeamia israel zelensky sasa hv anapgwa kmya kmyaa
Sasa mkuu pana tatizo akileta habari za Israel kwa sasa? Mbona wewe umekita kambi kwa hizi mada na haupo kwa mada za Zelensiky?
 
Usalama wa Israel kwa sasa unashikiliwa zaidi na Misri na Jordan. Misri akiudhiwa au akishindwa kuzuia hasira za wamisri ndio basi tena.
Comments nyingine unasoma unaishia kucheka tu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwanini mnaabudu shoga?
Uislam unakufa kwa ajili ya allah. Mungu wanaomuabudu wakristo alimtuma mtoto wake Yesu Kristo akafa kwa ajili yetu. Hatuna Haja ya kujiua kwa ajili yakumpigania Mungu. Yesu kristo anasimama yeye mwenyewe anatupigania na tuna maisha ya Milele kwa kuweka imani yetu ndani ya Yesu kristo.
YESU KRISTO NI MFALME WA WAFALME, BWANA WA MABWANA, MWANZO NA MWISHO, ALPHA NA OMEGA. NIKO AMBAYE NIKO. HALINGANISHWI NA YOYOTE WALA HAFANANISHWI NA CHOCHOTE
 
Kwa nini Misri isifungue mpaka wake na gaza na irihusu wakimbizi kutoka gaza kwenda Misri?

Misri ni wanafiki, kama wanawapemda waarabu wenzao wafungue mipaka wakimbizi wakimbilie kwao. Misri haitaki kabisa kufungua mipaka kusaidia watu wa Gaza.

Misiri ni mnafiki pia kwa sababu alikua anajua Gaza wanapanga shambulio kubwa dhidi ya Israel, akaenda kuwaambia Israel sema Israel wakapuuza hiyo taarifa ya Misri na yakatokea ya kutokea.

Sasa kama huo sio unafiki ni nini?
Waarabu wote ni wanafiki sana
 
Kwa nini Misri isifungue mpaka wake na gaza na irihusu wakimbizi kutoka gaza kwenda Misri?

Misri ni wanafiki, kama wanawapemda waarabu wenzao wafungue mipaka wakimbizi wakimbilie kwao. Misri haitaki kabisa kufungua mipaka kusaidia watu wa Gaza.

Misiri ni mnafiki pia kwa sababu alikua anajua Gaza wanapanga shambulio kubwa dhidi ya Israel, akaenda kuwaambia Israel sema Israel wakapuuza hiyo taarifa ya Misri na yakatokea ya kutokea.

Sasa kama huo sio unafiki ni nini?
Siyo wanafiki ni watu wapenda amani.
Amefanya hivyo ili wajifunze siku nyingine.
Huwezi kuvamia raia ukaua ovyo halafu uonewe huruma.
Wakikimbilia Misri wataanzisha vikundi vya kigaidi cha Islamic state na Misri haitaki huo ujinga
 
Bro tangu mwanzo humu nilitangulia kuwaambia ile kitu ni inside job. Israel alikuwa anatafuta sababu ya kuingia Gaza kumaliza kazi na kashaipata. We hujiuliz masaa sita Israel ilikuwa wapi hawa jamaa wanafanya yao. Mzee waarabu wametegwa wakajaa. Sasa shughuli yake sasa. Na misri hataki kufungua mpaka maana akifungua tu wapalestina watakimbilia huko. Na wakienda tu Israel inalichukua eneo lao biashara imeisha hiyo. Ndio maana hawataki kufungua bora mfe lakin mwisho wa siku Israel akimalizana na Hamas watakaosalia watakuwa na nchi yao. So fikiria nje ya box Mzee uache kulaumu laum hiz Mambo ni akili ya juu sana kuyaelewa.
Hata Taleban wanasema hii ilipangwa kabisa, maana Sensor zote zilikuwa off,wanajeshi wote walikuwa at ease, radar zilikuwa off
 
Ni kawaida samaki wakubwa kumeza wadogo, Israel wanatumia ubavu na nguvu kuonea na kuua watu bila ya haqi na uadilifu na hiyo imekua kawaida Yao Hali wanajua ukweli but nothing has got end one day wapalestine watalipwa maana justice never die
Mnapenda sana kuonewa huruma.
  • Mbona huzungumzi wanalibya walivyokuwa wanachinjana na kuana kama kuku?
  • Mbona huwa hamzungumzii Sudani wanavyouana wenyewe wakigombea madaraka?
  • Mbona huwa hamzungumzii Somalia?
  • Mbona huwa hamzungumii makundi ya kigaidi ya kiislamu yanayoua watu ovyo bila hatia kama Al qaeda, Boko haram, al shabb?
 
Usalama wa Israel kwa sasa unashikiliwa zaidi na Misri na Jordan. Misri akiudhiwa au akishindwa kuzuia hasira za wamisri ndio basi tena.
Aachie kama ana uwezo
 
Uislam unakufa kwa ajili ya allah. Mungu wanaomuabudu wakristo alimtuma mtoto wake Yesu Kristo akafa kwa ajili yetu. Hatuna Haja ya kujiua kwa ajili yakumpigania Mungu. Yesu kristo anasimama yeye mwenyewe anatupigania na tuna maisha ya Milele kwa kuweka imani yetu ndani ya Yesu kristo.
YESU KRISTO NI MFALME WA WAFALME, BWANA WA MABWANA, MWANZO NA MWISHO, ALPHA NA OMEGA. NIKO AMBAYE NIKO. HALINGANISHWI NA YOYOTE WALA HAFANANISHWI NA CHOCHOTE
Mungu wetu ana nguvu sana, anajitetea mwenyewe.
mungu wa waarabu hana nguvu
 
Usalama wa Israel kwa sasa unashikiliwa zaidi na Misri na Jordan. Misri akiudhiwa au akishindwa kuzuia hasira za wamisri ndio basi tena.

😀😀😀

Kuna Watu wanachekesha sana. Hao uliowataja hawana nguvu yoyote ni kama nchi za dunia ya tatu tuu.
 
Acha uongo mkuu, Kwa sifa zote hizo walizokuwa wanapewa hao Israel zimewavua nguo kwenye tukio hili tena Kwa wangmgambo tuu wasio na Silaha za maana.

Misri alishatoa taarifa zamani pamoja na CIA, Nentanyahu akaamua kuitumia kisiasa. Maana yeye na Hamas wanamsimamo mmoja wa kutotambua two state solutions. Kwa hivyo kawaruhusu waingie ili apate uhalali wa kuwafurusha na kuchukua eneo la Gaza. Ndio maana baada ya shambulizi wakatoa tangazo la kufanya operation itakayo badilisha kabisa siasa za Middle East. Ngoja tuone
 
MK255 taarifa za ukraine huleti tena umeamia israel zelensky sasa hv anapgwa kmya kmyaa

Zelesky au Urusi?. Kashindwa kumpiga ndani ya wiki moja itakuwa Sasa hivi?. Hapo Urusi ndio mwenye shida
 
Usalama wa Israel kwa sasa unashikiliwa zaidi na Misri na Jordan. Misri akiudhiwa au akishindwa kuzuia hasira za wamisri ndio basi tena.

Misri ipi?. Hii iliyonyanganywa Gaza na Sinai. Maana mmiliki wa Gaza kabla ya vita na waarabu alikuwa Misri ila akazidiwa akili na Israel.
 
ndio tunasema misri iache unafiki, ifungue tu mpaka wake wakimbizi waingie kwake. Kama haitaki kukaa nao iwapeleke kwenye nchi mmojawapo mwanachama wa arab league au huo umoja wao wagawane wakimbizi hao kuwahifadhi ndugu zao.
@FaizaFoxy achukue hata 10 tu awahifadhi kwake
 
Back
Top Bottom