Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mkuu pana tatizo akileta habari za Israel kwa sasa? Mbona wewe umekita kambi kwa hizi mada na haupo kwa mada za Zelensiky?MK255 taarifa za ukraine huleti tena umeamia israel zelensky sasa hv anapgwa kmya kmyaa
Comments nyingine unasoma unaishia kucheka tu [emoji23][emoji23][emoji23]Usalama wa Israel kwa sasa unashikiliwa zaidi na Misri na Jordan. Misri akiudhiwa au akishindwa kuzuia hasira za wamisri ndio basi tena.
Subiri basi uone atakavyo nyeshewa mvua.W
Wewe kama nani wa kuniambia hivyo? Ni bora ukamkoromee baba yako
Uislam unakufa kwa ajili ya allah. Mungu wanaomuabudu wakristo alimtuma mtoto wake Yesu Kristo akafa kwa ajili yetu. Hatuna Haja ya kujiua kwa ajili yakumpigania Mungu. Yesu kristo anasimama yeye mwenyewe anatupigania na tuna maisha ya Milele kwa kuweka imani yetu ndani ya Yesu kristo.Kwanini mnaabudu shoga?
Waarabu wote ni wanafiki sanaKwa nini Misri isifungue mpaka wake na gaza na irihusu wakimbizi kutoka gaza kwenda Misri?
Misri ni wanafiki, kama wanawapemda waarabu wenzao wafungue mipaka wakimbizi wakimbilie kwao. Misri haitaki kabisa kufungua mipaka kusaidia watu wa Gaza.
Misiri ni mnafiki pia kwa sababu alikua anajua Gaza wanapanga shambulio kubwa dhidi ya Israel, akaenda kuwaambia Israel sema Israel wakapuuza hiyo taarifa ya Misri na yakatokea ya kutokea.
Sasa kama huo sio unafiki ni nini?
Siyo wanafiki ni watu wapenda amani.Kwa nini Misri isifungue mpaka wake na gaza na irihusu wakimbizi kutoka gaza kwenda Misri?
Misri ni wanafiki, kama wanawapemda waarabu wenzao wafungue mipaka wakimbizi wakimbilie kwao. Misri haitaki kabisa kufungua mipaka kusaidia watu wa Gaza.
Misiri ni mnafiki pia kwa sababu alikua anajua Gaza wanapanga shambulio kubwa dhidi ya Israel, akaenda kuwaambia Israel sema Israel wakapuuza hiyo taarifa ya Misri na yakatokea ya kutokea.
Sasa kama huo sio unafiki ni nini?
Nenda kawasaidieNipo na Palestine hadi mwisho kwn niwajinga tu watakuwa upande wa Israel. Miaka yote uonevu tu.
Hata Taleban wanasema hii ilipangwa kabisa, maana Sensor zote zilikuwa off,wanajeshi wote walikuwa at ease, radar zilikuwa offBro tangu mwanzo humu nilitangulia kuwaambia ile kitu ni inside job. Israel alikuwa anatafuta sababu ya kuingia Gaza kumaliza kazi na kashaipata. We hujiuliz masaa sita Israel ilikuwa wapi hawa jamaa wanafanya yao. Mzee waarabu wametegwa wakajaa. Sasa shughuli yake sasa. Na misri hataki kufungua mpaka maana akifungua tu wapalestina watakimbilia huko. Na wakienda tu Israel inalichukua eneo lao biashara imeisha hiyo. Ndio maana hawataki kufungua bora mfe lakin mwisho wa siku Israel akimalizana na Hamas watakaosalia watakuwa na nchi yao. So fikiria nje ya box Mzee uache kulaumu laum hiz Mambo ni akili ya juu sana kuyaelewa.
Mnapenda sana kuonewa huruma.Ni kawaida samaki wakubwa kumeza wadogo, Israel wanatumia ubavu na nguvu kuonea na kuua watu bila ya haqi na uadilifu na hiyo imekua kawaida Yao Hali wanajua ukweli but nothing has got end one day wapalestine watalipwa maana justice never die
Aachie kama ana uwezoUsalama wa Israel kwa sasa unashikiliwa zaidi na Misri na Jordan. Misri akiudhiwa au akishindwa kuzuia hasira za wamisri ndio basi tena.
Hao na dini yao hawana akiliComments nyingine unasoma unaishia kucheka tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu wetu ana nguvu sana, anajitetea mwenyewe.Uislam unakufa kwa ajili ya allah. Mungu wanaomuabudu wakristo alimtuma mtoto wake Yesu Kristo akafa kwa ajili yetu. Hatuna Haja ya kujiua kwa ajili yakumpigania Mungu. Yesu kristo anasimama yeye mwenyewe anatupigania na tuna maisha ya Milele kwa kuweka imani yetu ndani ya Yesu kristo.
YESU KRISTO NI MFALME WA WAFALME, BWANA WA MABWANA, MWANZO NA MWISHO, ALPHA NA OMEGA. NIKO AMBAYE NIKO. HALINGANISHWI NA YOYOTE WALA HAFANANISHWI NA CHOCHOTE
Usalama wa Israel kwa sasa unashikiliwa zaidi na Misri na Jordan. Misri akiudhiwa au akishindwa kuzuia hasira za wamisri ndio basi tena.
Acha uongo mkuu, Kwa sifa zote hizo walizokuwa wanapewa hao Israel zimewavua nguo kwenye tukio hili tena Kwa wangmgambo tuu wasio na Silaha za maana.
MK255 taarifa za ukraine huleti tena umeamia israel zelensky sasa hv anapgwa kmya kmyaa
Ushahidi uko wapi kwamba Misri iliitonya Israel.
Usalama wa Israel kwa sasa unashikiliwa zaidi na Misri na Jordan. Misri akiudhiwa au akishindwa kuzuia hasira za wamisri ndio basi tena.
@FaizaFoxy achukue hata 10 tu awahifadhi kwakendio tunasema misri iache unafiki, ifungue tu mpaka wake wakimbizi waingie kwake. Kama haitaki kukaa nao iwapeleke kwenye nchi mmojawapo mwanachama wa arab league au huo umoja wao wagawane wakimbizi hao kuwahifadhi ndugu zao.