Misri yaiomba Israel iachie nafasi ya misaada kutoka Uarabuni kuwafikia Wapalestina

Misri yaiomba Israel iachie nafasi ya misaada kutoka Uarabuni kuwafikia Wapalestina

Vipi huyo ushoga Yesu wenu eti ni Mungu wenu ambae akashindwa kujiokoa msalabani akaishi kujinyea [emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji12][emoji12]
Inna lilah wainalillah raajun Issa bin Mariam akusamehe tuu.
 
Hiv umesoma BBC Leo. Misri aliwastua na hata walipovamiwa walikaa kimya masaa 6. Unajua nini hicho. Unahtaji akili ya juu kulielewa hili. Na ili uamin ngoja vita iishe kama hawatasogeza eneo utakuja kuniambia.
Ni mpumbavu pekee atakue amini hicho unacho kihubiri..
 
MK255 taarifa za ukraine huleti tena umeamia israel zelensky sasa hv anapgwa kmya kmyaa
 
Watu MK254 hawana tofauti na mandondocha.
MK255 taarifa za ukraine huleti tena umeamia israel zelensky sasa hv anapgwa kmya kmyaa
IMG_20231012_105641.jpg
 
Hiv umesoma BBC Leo. Misri aliwastua na hata walipovamiwa walikaa kimya masaa 6. Unajua nini hicho. Unahtaji akili ya juu kulielewa hili. Na ili uamin ngoja vita iishe kama hawatasogeza eneo utakuja kuniambia.
Sio watasogeza washaapa kuwa gaza hiatakua ilivyokua mwanzo soo hapo wanaweza ichukua mazima
 
Hiv umesoma BBC Leo. Misri aliwastua na hata walipovamiwa walikaa kimya masaa 6. Unajua nini hicho. Unahtaji akili ya juu kulielewa hili. Na ili uamin ngoja vita iishe kama hawatasogeza eneo utakuja kuniambia.
Sio watasogeza washaapa kuwa gaza hiatakua ilivyokua mwanzo soo hapo wanaweza ichukua
 
Kwa nini Misri isifungue mpaka wake na gaza na irihusu wakimbizi kutoka gaza kwenda Misri?

Misri ni wanafiki, kama wanawapemda waarabu wenzao wafungue mipaka wakimbizi wakimbilie kwao. Misri haitaki kabisa kufungua mipaka kusaidia watu wa Gaza.

Misiri ni mnafiki pia kwa sababu alikua anajua Gaza wanapanga shambulio kubwa dhidi ya Israel, akaenda kuwaambia Israel sema Israel wakapuuza hiyo taarifa ya Misri na yakatokea ya kutokea.

Sasa kama huo sio unafiki ni nini?
Ushahidi uko wapi kwamba Misri iliitonya Israel.
 
Vipi huyo ushoga Yesu wenu eti ni Mungu wenu ambae akashindwa kujiokoa msalabani akaishi kujinyea 🤪🤪🤪🤪😜😜
Mtume wenu akianza kudhihakiwa usikasirike na kuanza kujilipua hovyo.
 
Kwenye hili Misri ni the biggest hypocrite.... Misri ana mpaka wa moja kwa moja na Palestina, anashindwa nini kufikisha hiyo misaada.

In short, Misri kanunuliwa na mataifa ya Magharibi

Hata ingekua wewe usingeweza ungana na jirani kwa adui aliyewahi kukupiga kukufukuza kwako na baadae kukurudisha kwako.

Lazima uwe mpole
 
Neta nyau anasema every hamas member is a deadman na alikua hatanii babu ananongwa yule
 
Mbona nyie mmepokea siraha kutoka USA kwamara yakwanza nasimama na palestina wanahujumiwa

Nani aliayeanza kushambulia,na marekani katangaza hadharani anamuunga mkono israel kujilinda na kupatia silaha,na wao watangaze wazi sio kufanya kimya kimya.
 
Nyau anasema na huo ni mfano wa kisasi[emoji16][emoji16][emoji16], kisasi kamiliki kinakuja [emoji15][emoji15][emoji15]
Aruhusu misaada lakini isambazwe na UN
Wanaweza kutumia mwanya huo kupenyeza silaha
 
ngojeni kwanza dawa iwaingie, next time watakuwa na adabu. Kosa lao ni kuwafuga hao magaidi majumbani mwao. Kitendo cha kuchinja watoto wa ki Islael na kubaka mabinti wadogo huku wakirusha video na kushangilia mitaani ni cha kishetwaini kabisa - hakikubaliki kwa sheria za Mbinguni na za Duniani. waadabishwe kunguru hao.

IMG_3909.jpg
 
Ni kawaida samaki wakubwa kumeza wadogo, Israel wanatumia ubavu na nguvu kuonea na kuua watu bila ya haqi na uadilifu na hiyo imekua kawaida Yao Hali wanajua ukweli but nothing has got end one day wapalestine watalipwa maana justice never die

Wakati hamas wanashambulia na kuua raia hovyo mlikua mnakenua na kusema ala akbar,sahivi mnalilia wapuuzi nyie.
 
Back
Top Bottom