Hiyo signature kanisa likikutenga usije lalamika
Nisomee mi kwenye kitochi changu sioni signecha
Naomba kuwa mwalimu wa washiriki. Hii sehemu niko fiti. Niwafundishe jinsi ya kutembea, kuvaa, kuongea, kukaa, kutabasamu. Etc.
Upande wa wadhamini nimejitokeza sitoshindwa kumsmartisha mshindi.
Lo haya makubwa sasa
Hahaha. Kwa nini Mpendwa? Hiyo imetumika metaphorically.Hiyo signature kanisa likikutenga usije lalamika
Samahani kaka????usitusemee wote, mimi na tecno yangu hapa..
Hao wote uliowataja ni mabibi bomba hakuna miss hapo
nipo pamoja nawe... zawadi za pesa ziwepo lakini
Ha ha ha kumbe my gelofriend Heaven Sent ni nyuki wa canteen? ���� ����Hahahaa nani huyo... I hope sio my Heaven Sent
Baba wa taifa aliwahi kusema
"Mshindi hawezi kutokea kaskazini" hahahaha
Mi nadhani kigezo kikuu kiwe mchango wa mshiriki katika shughuli za kijamiii (jamii ya JF) like;
#1. Kuchangamsha/kuburudisha jukwaa
#2. Kutoa smart comments/analysis
#3. Kusaidia kimawazo watu wenye matatizo maalum (kuachwa, kutendwa, msongo wa mawazo nk)
modality; members wote wapewe fursa ya kupiga kura then panel maalum ita screen the top 10 scorers kupata miss jf
Good sana!! utaisaidia sana kamati.
Ujue mambo mengine bwana magumu sana....ukiangalia vigezo ambavyo huwa vinatumika kwenye hili zoezi then ukajiangalia na ulivyo mwenyewe,licha ya kwamba hawakuoni na vigezo husika haviangaliwi.....unajikuta unaona aibu kidogo kushiriki