Miss JamiiForums: Shindano lirudi! Ustaarabu utawale

Miss JamiiForums: Shindano lirudi! Ustaarabu utawale

Mi nadhani kigezo kikuu kiwe mchango wa mshiriki katika shughuli za kijamiii (jamii ya JF) like;
#1. Kuchangamsha/kuburudisha jukwaa

#2. Kutoa smart comments/analysis

#3. Kusaidia kimawazo watu wenye matatizo maalum (kuachwa, kutendwa, msongo wa mawazo nk)

modality; members wote wapewe fursa ya kupiga kura then panel maalum ita screen the top 10 scorers kupata miss jf

Hapo nampa Evelyn Salt
 
Last edited by a moderator:
Ujue mambo mengine bwana magumu sana....ukiangalia vigezo ambavyo huwa vinatumika kwenye hili zoezi then ukajiangalia na ulivyo mwenyewe,licha ya kwamba hawakuoni na vigezo husika haviangaliwi.....unajikuta unaona aibu kidogo kushiriki
 
Ooohhhh jamani that's sooo sweet, yeah kuna babu yangu mzaa ba mkubwa wake rafiki angu ni wa tanga, so namie nna kautanga fresh flani hivi

Ama??? Huu undugu sijauelewa vizuri aisee...ila huyo mtoto wa kwny avatar anafanana sana na binti yangu, Huenda ndio maana huwa nashituka!
 
Ujue mambo mengine bwana magumu sana....ukiangalia vigezo ambavyo huwa vinatumika kwenye hili zoezi then ukajiangalia na ulivyo mwenyewe,licha ya kwamba hawakuoni na vigezo husika haviangaliwi.....unajikuta unaona aibu kidogo kushiriki
Cc: sitti mtemvu
 
Mi nadhani kigezo kikuu kiwe mchango wa mshiriki katika shughuli za kijamiii (jamii ya JF) like;
#1. Kuchangamsha/kuburudisha jukwaa

#2. Kutoa smart comments/analysis

#3. Kusaidia kimawazo watu wenye matatizo maalum (kuachwa, kutendwa, msongo wa mawazo nk)

modality; members wote wapewe fursa ya kupiga kura then panel maalum ita screen the top 10 scorers kupata miss jf

Kwa vigezo hivi Heaven Sent is my best
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom