Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Kama hivyo basi ngoja nitulie ninywe Pepsi baridi kusubiri ushindi,,,🤣🤣🤣Coments na likes
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hivyo basi ngoja nitulie ninywe Pepsi baridi kusubiri ushindi,,,🤣🤣🤣Coments na likes
Nakazia 😃😃📌Broo,ungeweka picha zao halisi ndio tungejudge vizuri zaidi
Hapa tutajua Nani kaonana na Nani
Poll nyingine ni duh!!!!
Naona bi faiza anawakimbizaKama hivyo basi ngoja nitulie ninywe Pepsi baridi kusubiri ushindi,,,🤣🤣🤣
Kwa hiyo wakuweke wewe au? Samia ni kibibi ila Bado mremboFaizafoxy mtoe hapo ni kibibi.
Naona anataka kunizibia njia🤨😂😂, ngoja niingie chimbo kwa babu nirudi kura zake zote zihamie kwangu😂😂😂Naona bi faiza anawakimbiza
Upuuzi mtupu wekeni picha zao tuwaone unaweza Kuta Wengine ni 🌈Kwema Wakuu!
Zikiwa zimebaki siku tano mwaka 2023 ukatike. Bila kujali kuwa humuwengi hatujuani na hatuna mpango wa kujuana. Lakini kuna ile kitu inaitwa Schema Yaani kujenga taswira ya kitu, jambo au mtu kabla hujamuona/hujamuona mtu huyo.
Je kwa Schema yako, unafikiri ni memba gani humu ingetokea tuzo ya u-miss JF angeshinda kwa mwaka 2023?
Wagombea ni kama ifuatavyo
1@Kalpana
2 To yeye
3. amu
4. Nifah
5. Leejay49
6. Lovebird
7. Donatila
8. FaizaFoxy
9. Mrs Besyige
10. Depal
11. Demi
Miss JF 2023. Ameng'arisha
Mshindi anapewa nini ?Naona anataka kunizibia njia🤨😂😂, ngoja niingie chimbo kwa babu nirudi kura zake zote zihamie kwangu😂😂😂
Kwani hii ni serious wakuuu😃😃??,, na vigezo gani vimetumika
Upuuzi mtupu wekeni picha zao tuwaone
Babe mbona jina lako halijawekwa nini shida dearFaizafoxy mtoe hapo ni kibibi.
mshindi anapewa likes na comments, na anapata tags nyingi nyingi kama hivi😂😂😂Mshindi anapewa nini ?
Kama Faiza anapambanishwa na watoto sawa na wajukuu zake unategemea kuna vigezo vilivyotumika?
Mratibu kigezo chake alichotumia ni majina yanayomvutia tu.
😂 ngoja tuonemshindi anapewa likes na comments, na anapata tags nyingi nyingi kama hivi😂😂😂
Kama sifa hizo ni za Leejay49 AOLEWE si tunataka Mrembo akivaa swimmingsuit tuone hipsKwanini GENTAMYCINE nampenda na namkubali sana na mno Member Leejay49?
1. Ni Mrembo hakuna mfano
2. Ni Mwerevu wa uhakika
3. Ni Mstaarabu wa Kutukuka
4. Hana Dharau
5. Ni Mkarimu
6. Hana Majungu, Chuki na Wivu
7. Siyo Mnafiki na Mzandiki
Tafadhali TEAM GENTAMYCINE wote na Wengine mpeni Kura zenu nyingi mno Leejay49 ili aibuke Mshindi wa Shindano la Mrembo wa JamiiForums kwa mwaka huu wa 2023.
Kila la Kheri Leejay49 utashinda tu.