Captain Fire
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 2,435
- 5,000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leejay49 uje hukuNakazia Mkuu. 🤣
Kwanini GENTAMYCINE nampenda na namkubali sana na mno Member Leejay49?Leejay49 moja kwa moja hana baya
Kwanini GENTAMYCINE nampenda na namkubali sana na mno Member Leejay49?hatukubali kura zimechakachuliwa.................................lazima bibi bomba abebe
Kwanini GENTAMYCINE nampenda na namkubali sana na mno Member Leejay49?Mkuu nimempa kura yangu....
Huyu mtoto ni mzuri wa tabia...
Hana baya...
Nikiangalia hiyo Avatar, hata sura nzuri ako nayo ...
Kila lakheri kwake ...
Mambo sio haba 😊Mimi hapa mkuu
SureNi kweli binadamu wote wanaweza kuwa Wazuri lakini linpokuja suala la shindano lazima kuna namba moja
Kwanini GENTAMYCINE nampenda na namkubali sana na mno Member Leejay49?
1. Ni Mrembo hakuna mfano
2. Ni Mwerevu wa uhakika
3. Ni Mstaarabu wa Kutukuka
4. Hana Dharau
5. Ni Mkarimu
6. Hana Majungu, Chuki na Wivu
7. Siyo Mnafiki na Mzandiki
Tafadhali TEAM GENTAMYCINE wote na Wengine mpeni Kura zenu nyingi mno Leejay49 ili aibuke Mshindi wa Shindano la Mrembo wa JamiiForums kwa mwaka huu wa 2023.
Kila la Kheri Leejay49 utashinda t
💯Kwanini GENTAMYCINE nampenda na namkubali sana na mno Member Leejay49?
1. Ni Mrembo hakuna mfano
2. Ni Mwerevu wa uhakika
3. Ni Mstaarabu wa Kutukuka
4. Hana Dharau
5. Ni Mkarimu
6. Hana Majungu, Chuki na Wivu
7. Siyo Mnafiki na Mzandiki
Tafadhali TEAM GENTAMYCINE wote na Wengine mpeni Kura zenu nyingi mno Leejay49 ili aibuke Mshindi wa Shindano la Mrembo wa JamiiForums kwa mwaka huu wa 2023.
Kila la Kheri Leejay49 utashinda tu.
Yeah, I can see 🙃🙃Mambo sio haba 😊
Mkuu nimempa kura yangu....
Huyu mtoto ni mzuri wa tabia...
Hana baya...
Nikiangalia hiyo Avatar, hata sura nzuri ako nayo ...
Kila lakheri kwake ...
Atutumiage tu hata huko kwa Prime Minister ili na sisi tuwe mabalozi wazuri kama alivyo Mtani wangu GENTAMYCINE. 😅😅Leejay49 uje huku
Hakika hili ni la msingi sana lisipuuzwe tuna kiu sana.Atutumiage tu hata huko kwa Prime Minister ili na sisi tuwe mabalozi wazuri kama alivyo Mtani wangu GENTAMYCINE. 😅😅
Cc. Leejay49.
Mkuu kwa uzoefu tu...Hahah hiyo sura yake umeionaje mkuu, wakati kinachoonekana ni miguu na mikono...
Jamani 😂😂😂.. Mbona kigezo cha picha hakipo hapo 😂😂Atutumiage tu hata huko kwa Prime Minister ili na sisi tuwe mabalozi wazuri kama alivyo Mtani wangu GENTAMYCINE. 😅😅
Cc. Leejay49.
Hahahaa. Lol.Jamani 😂😂😂.. Mbona kigezo cha picha hakipo hapo 😂😂
Mnataka niweke picha na sura yangu ilivyo personal kura ziharibike😂😂😂🤭Hahahaa. Lol.